Wamepoteana ccm ,polisi,DPP,TISS,Mkurugenzi wa uchaguzi,mwenyekiti wa tume, mwanasheria wa tume,IGP,wasimamizi wa uchaguzi ngazi zote,wakuu wa wilaya,mkoa,wakuu wa idara mbalimbali za umma,wanasiasa uchwara,wanafunzi,vitambulisho vya Taifa,lesseni,pasipoti kwa wale waliopoteza,kupiga Mara mbili kama umekosea,tarehe za uchaguzi kuwa mbili 27 na 28 kwa Zanzibar,wakurugenzi,magazeti,TV,Globowatendaji wa kata,baadhi ya vyama vya upinzani uchwara,baadhi ya wanajeshi,wasiojulikana,vituo hewa,wapiga kura hewa,mabenki,mitandao ya simu,TCRA.wasanii wa mziki mbaya zaidi kila mbinu yao ovu yavuja kabla ya siku ya uchaguzi na mataifa ya nje ikiwachora kupitia kwa mwanasheria wa lissu anavyowalima barua kila tukio ovu wanalotaka kufanya gizani na kikinuka wajiandae wote waliandikiwa barua na wanawatuma