Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

CHADEMA mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Endelea kurudia tu. Ila kadai tu upewe fedha zako unazodai Lumumba. Chadema ndo Chama tawala Tanzania 2020-2025. Utake usitake
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike

Endelea kurudia tu. Ila kadai tu upewe fedha zako unazodai Lumumba. Chadema ndo Chama tawala Tanzania 2020-2025. Utake usitake
 
Labda cabinet ya hotel yake ya Chato pale!! Magufuli ni Raisi Mstaafu kuanzia late October 2020. Wiki ijayo ijumaa tu anaanza kuona wapiganaji wakimkana live
Na ili 'Kuwakomesheni' sasa akipita tu 'CCM' tutaanzisha 'Kampeni' ili 'Katiba' ya Chama 'ibadilishwe' na 'aitawale' Tanzania hadi 'atakapochok'a tu.
 
Na ili 'Kuwakomesheni' sasa akipita tu 'CCM' tutaanzisha 'Kampeni' ili 'Katiba' ya Chama 'ibadilishwe' na 'aitawale' Tanzania hadi 'atakapochok'a tu.
Atatawala familia yake chato ingawa nasikia hadi huko hawamkubali
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Hawezi kuwa tena hata diwani Tanzania
Nakubaliana na wewe, nchi hii wasaliti ni lazima tuwatoe. Ila wasaliti ni wale wanaotumia hela za nchi bila utaratibu, bila kupitishwa na bunge. Wasaliti ni wale wanaobambikiza raia wake kesi za uwongo. Wasaliti hao pia ni wale wanaoruhusu watu kutekwa na kupotea, wenye kutumia vyombo vyetu vya usalama kubaki madarakani. Hawa wasaliti hawa wasipokubali kutoka kwe heri mwaka huu tutawatoa kwa nguvu zote. Labda watuuwe wote.
 
Amani iwe nanyi wadau!!

Kabla ya kwenda kwenye mada napenda kuwapongeza sana Jamii Forums. Pamoja na vikwazo na changamoto zote napenda kusema ni chombo pekee Tanzania ambacho kwenye uchaguzi huu kimejaribu kweli kusimama kwenye Haki na Kweli. Mijadala yote ya Ccm na Chadema inajadiliwa kwa kiwango kizuri ingawa Kuna changamoto ndogo za hapa na pale.

Baada ya kusema haya napenda nirudi kwenye mada.

Zikiwa zimebaki siku kama 4 tu watanzania kufanya maamuzi kuna mambo matatu nimeyaona, napenda kusema ni kielelezo tosha kuwa Ccm iko na hali mbaya sana mwaka huu. Mambo hayo ni

1. CCM kutumia silaha yake ya kujaribu kuleta mgogoro ACT Wazalendo katika hatua ya lala salama bila mafanikio.

Kwa wajuzi wa siasa za Tanzania suala la CCM Kuanza kuwaonesha mamluki wake wote waliopo ACT kabla hata kura hazijapingwa ni kielelezo tosha kuwa CCM wamebanwa sana mwaka huu na wameona ni bora watoe tu silaha zake zote. Alianza Membe na wamejitokeza wengine. Hii imewaonesha Watanzania kuwa kweli Ccm kwenye uchaguzi huu hawakujiandaa kihoja. Suala la Maalim na Zitto kumuunga mkono Lissu limewashtua sana CCM na imefika sasa hawana namna yeyote zaidi ya kujaribu kete ya mwisho ya kuharibu ACT. Hali ya Zanzibar na Bara kwa CCM ni mbaya sana na hawajui wafanyaje kupata ushindi.

2. Vyombo vya Habari nguli vya Tanzania kutorusha Habari za Tundu Antiphas Lissu kwa muda wa siku mbili mfululizo.
Hili jambo ni kielelezo kingine kuwa sasa hali ya Ccm na serikali yake sio Nzuri. Baada ya kampeni za Tundu Lissu za lala salama kuwa na mwitikio mkubwa wa wananchi na huku zikiungwa mkono na Sheikh Ponda, kiongozi wa dini anayeaminika zaidi na kukubalika zaidi na waislamu wa Tanzania imeonekana kuwa Ccm wameona tu watumie mbinu kufanya vyombo vya Habari vya Tanzania vikongwe visitangaze tu kampeni za lala salama za Tundu Lissu.

Was icho jua CCM ni kuwa hili limezidi kuwapa hasira zaidi watanzania na wengi wao wameoneka leo walivyokisema chombo kimoja cha Habari baada ya kutoonesha mikutano ya Tundu Lissu kwenye taarifa yake ya Habari ya sa mbili usiku.

3. NEC kutoka hadharani na kuanza kuomba Poo!
Baada ya mbinu chafu zote za wizi wa kura ikiwemo kuongeza vituo hewa na wapiga kura hewa kubumbuliwa mwaka huu huku NEC ikiwa imewaonea sana wapinzani kwa kuwaengua kwenye majimbo mbalimbali na kukataa kuwaapisha wasimamizi wa uchaguzi ikiwemo kuwasimamisha kufanya kampeni wagombea wao, Leo mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi ameona tu aanze kutengeneza mazingira kutengeneza huruma kama NEC wanasingiziwa. Kwa mbinu hizi zote inaonekana dhahiri Ccm wameshazidiwa sana mwaka huu na hali si hali huko kwao.

Nikiwai sema mwanzoni mwaka huu kuwa hakuna uchaguzi mgumu kwa Ccm Kama wa mwaka huu na mwaka huu inyeshe mvua liwake jua, Ccm hawawezi shinda uchaguzi wa mwaka huu, sasa baada ya haya yote nimeamini kuwa mwaka huu CCM inaenda kuanguka rasmi kuwa Chama tawala Tanzania.

Hongereni wapinzani kwa kujiandaa vyema mwaka huu, hongera sana Tundu Antiphas Lissu.

Mungu awasimamie kweli
Jaribu kutofautisha Kati ya kuwasililisha hoja na kulalamika

1. Kuwasililisha hoja hii ni unatoa maelezo ya kujitosheleza bila kulalia upande mmoja na kuambatanisha maelezo au vielelezo sahihi katika Jambo husika ili mchangiaji awe huru kutoa mchango wake katika mada.

2. Kulalamika hii hutokea kuwa maelezo yanakuwa yanasifia au yanakandia upande mmoja Yan kuleta shutuma za upande wa pili bila vielelezo au maelezo sahihi ya Jambo husika na kumfanya mchangiaji kuwa wa upande mmoja au kumfanya achangie bila kutumia weledi wa Jambo
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Hawezi kuwa tena hata diwani Tanzania
Msaliti wa nchi ni yule aliyejenga uwanja wa kimataifa wa ndege Chato kwa fedha za walipa kodi huku akisema hatopekeka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani
 
Mm ninao washangaa zaidi ni NEC wanajua kabisa hawajathubutu kumuondoa mgombea yeyote wa CCM,huku wakiwafanyia wagombea kutoka vyama vingine uharamia kwa kuwaondoa kwenye ugombea ili tu kuendelea kulazimisha watanzania walio wengi Eti waendelee kuipenda CCM Kwa maagizo ya serikali alafu bila hata AIBU wanakuja kwenye Media wanaongea vitu vya kijingajinga tu,Mara oo watu wanataka kuvuruga uchaguzi bila kujua walianza kuubomoa UCHAGUZI huu ni NEC Wenyewe,na harakati zao za kutaka kurudisha uhai wa mgonjwa aliye ICU.Nawakumbusha tena NEC HAKI NI MUHIMU,kuna baadhi ya wajinga wachache wanasema eti huwezi kuwa na HAKI bila wajibu,wajue kwenye UCHAGUZI huu HAKI na Wajibu vinaenda pamoja,wajibu wetu kama wananchi ni kuondoa viongozi wasiojali watu ila wanajali kwao walikotoka tu.HAKIKA MAJI YAKO SHINGONI BADO KUZAMA TU na hatutaona MTU.
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Msaliti wa nchi ni yule aliyejenga uwanja wa kimataifa wa ndege Chato kwa fedha za walipa kodi huku akisema hatopekeka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani
 
Jaribu kutofautisha Kati ya kuwasililisha hoja na kulalamika

1. Kuwasililisha hoja hii ni unatoa maelezo ya kujitosheleza bila kulalia upande mmoja na kuambatanisha maelezo au vielelezo sahihi katika Jambo husika ili mchangiaji awe huru kutoa mchango wake katika mada.

2. Kulalamika hii hutokea kuwa maelezo yanakuwa yanasifia au yanakandia upande mmoja Yan kuleta shutuma za upande wa pili bila vielelezo au maelezo sahihi ya Jambo husika na kumfanya mchangiaji kuwa wa upande mmoja au kumfanya achangie bila kutumia weledi wa Jambo
Hii ni hoja timamu. Kama unaipinga ipinge kwa hoja
 
Nchi hii haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Tanzania hatutaki ushoga pia
Nakubaliana na wewe, nchi hii wasaliti ni lazima tuwatoe. Ila wasaliti ni wale wanaotumia hela za nchi bila utaratibu, bila kupitishwa na bunge. Wasaliti ni wale wanaobambikiza raia wake kesi za uwongo. Wasaliti hao pia ni wale wanaoruhusu watu kutekwa na kupotea, wenye kutumia vyombo vyetu vya usalama kubaki madarakani. Hawa wasaliti hawa wasipokubali kutoka kwe heri mwaka huu tutawatoa kwa nguvu zote. Labda watuuwe wote.
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Msaliti ni aliyejenga uwanja wa ndege Chato huku akisema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani.

Kwa nini Awamu ya tano ilisema operesheni ya makonda dhidi ya mashoga sio msimamo wa serikali??
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Endelea kurudia tu. Ila kadai tu upewe fedha zako unazodai Lumumba. Chadema ndo Chama tawala Tanzania 2020-2025. Utake usitake
 
Nimeshangaa sana Membe ,goli la dk ya 89 ndo kuandika barua feki kuangua Zitto na maalim seif ACT ?kama kweli hii ndo goli la dk 89 nadiriki kusema huyo mzee Membe akili zimemruka
 
Amani iwe nanyi wadau!!

Kabla ya kwenda kwenye mada napenda kuwapongeza sana Jamii Forums. Pamoja na vikwazo na changamoto zote napenda kusema ni chombo pekee Tanzania ambacho kwenye uchaguzi huu kimejaribu kweli kusimama kwenye Haki na Kweli. Mijadala yote ya Ccm na Chadema inajadiliwa kwa kiwango kizuri ingawa Kuna changamoto ndogo za hapa na pale.

Baada ya kusema haya napenda nirudi kwenye mada.

Zikiwa zimebaki siku kama 4 tu watanzania kufanya maamuzi kuna mambo matatu nimeyaona, napenda kusema ni kielelezo tosha kuwa Ccm iko na hali mbaya sana mwaka huu. Mambo hayo ni

1. CCM kutumia silaha yake ya kujaribu kuleta mgogoro ACT Wazalendo katika hatua ya lala salama bila mafanikio.

Kwa wajuzi wa siasa za Tanzania suala la CCM Kuanza kuwaonesha mamluki wake wote waliopo ACT kabla hata kura hazijapingwa ni kielelezo tosha kuwa CCM wamebanwa sana mwaka huu na wameona ni bora watoe tu silaha zake zote. Alianza Membe na wamejitokeza wengine. Hii imewaonesha Watanzania kuwa kweli Ccm kwenye uchaguzi huu hawakujiandaa kihoja. Suala la Maalim na Zitto kumuunga mkono Lissu limewashtua sana CCM na imefika sasa hawana namna yeyote zaidi ya kujaribu kete ya mwisho ya kuharibu ACT. Hali ya Zanzibar na Bara kwa CCM ni mbaya sana na hawajui wafanyaje kupata ushindi.

2. Vyombo vya Habari nguli vya Tanzania kutorusha Habari za Tundu Antiphas Lissu kwa muda wa siku mbili mfululizo.
Hili jambo ni kielelezo kingine kuwa sasa hali ya Ccm na serikali yake sio Nzuri. Baada ya kampeni za Tundu Lissu za lala salama kuwa na mwitikio mkubwa wa wananchi na huku zikiungwa mkono na Sheikh Ponda, kiongozi wa dini anayeaminika zaidi na kukubalika zaidi na waislamu wa Tanzania imeonekana kuwa Ccm wameona tu watumie mbinu kufanya vyombo vya Habari vya Tanzania vikongwe visitangaze tu kampeni za lala salama za Tundu Lissu.

Was icho jua CCM ni kuwa hili limezidi kuwapa hasira zaidi watanzania na wengi wao wameoneka leo walivyokisema chombo kimoja cha Habari baada ya kutoonesha mikutano ya Tundu Lissu kwenye taarifa yake ya Habari ya sa mbili usiku.

3. NEC kutoka hadharani na kuanza kuomba Poo!
Baada ya mbinu chafu zote za wizi wa kura ikiwemo kuongeza vituo hewa na wapiga kura hewa kubumbuliwa mwaka huu huku NEC ikiwa imewaonea sana wapinzani kwa kuwaengua kwenye majimbo mbalimbali na kukataa kuwaapisha wasimamizi wa uchaguzi ikiwemo kuwasimamisha kufanya kampeni wagombea wao, Leo mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi ameona tu aanze kutengeneza mazingira kutengeneza huruma kama NEC wanasingiziwa. Kwa mbinu hizi zote inaonekana dhahiri Ccm wameshazidiwa sana mwaka huu na hali si hali huko kwao.

Niliwai sema mwanzoni mwaka huu kuwa hakuna uchaguzi mgumu kwa Ccm Kama wa mwaka huu na mwaka huu inyeshe mvua liwake jua, Ccm hawawezi shinda uchaguzi wa mwaka huu, sasa baada ya haya yote nimeamini kuwa mwaka huu CCM inaenda kuanguka rasmi kuwa Chama tawala Tanzania.

Hongereni wapinzani kwa kujiandaa vyema mwaka huu, hongera sana Tundu Antiphas Lissu.

Mungu awasimamie kweli
Jpm viva
JamiiForums-1819038495.jpg
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Msaliti na mropokaji ni aliyejenga uwanja wa ndege Chato huku akisema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani huku akisema atamgawa mama yake kwa mwanaume baada ya kupewa jogoo!!

Tundu Lissu atapigiwa kura na mamilioni ya watanzania ikiwemo wana Ccm waliochoka uuaji, utekaji na ubambikaji kesi!!
 
Back
Top Bottom