Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi Lissu
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Huyo atakuwa mamko tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atakuwa mamko tu.
Lakini naona serikali ya JPM hapa ndo inatetea mashoga?Lissu kwan naye Yupo kwenye uongozi wa JPM?Aliyetetea ushoga akiwa ubeligiji anajulikana
Tanzania hatutaki ushoga,
Kipenzi gani wa watanzania anayesema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani huku akisema atamgawa mama yake kwa mwanaume baada ya kupewa jogoo???
Tundu Lissu atapigiwa kura na mamilioni ya watanzania ikiwemo wana Ccm waliochoka uuaji, utekaji na ubambikaji kesi.
Watanzania wa wapi unawasemea? au watanzania unaovuta nao Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
La mamko kum.
Pia pongezi nyingi ziwaendee umma wa Watanzania kwa ujumla wao kwa mwamko mkubwa walionao wa kutaka kujikomboaHongereni wapinzani kwa kujiandaa vyema mwaka huu, hongera sana Tundu Antiphas Lissu.
Watanzania wa wapi unawasemea? au watanzania unaovuta nao Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?
Mkoloni mweusi kaburu tokea chato ana hali ngumu sasa anamtumia membe kudhoofisha kuihujumu ACTPia pongezi nyingi ziwaendee umma wa Watanzania kwa ujumla wao kwa mwamko mkubwa walionao wa kutaka kujikomboa
Msaliti ni yule aliyekwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na kununua Ndege kwa cash kula 10% kwa njia haramuTanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Hawezi kuwa tena hata diwani Tanzania
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sanaAll in All;Bia yetu ana exercise free of speech and we have to respect that🤣🤣🤣,Ina chama ulichojiandikishia ndo shiida 🤣🤣🤣🤣
Na Mimi nitampigia kura yanguSisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Membe anasomewa Albadiri kubwa na watanzania wapenda HAKI mda si mrefu anaenda kuokota makopoNimeshangaa sana Membe ,goli la dk ya 89 ndo kuandika barua feki kuangua Zitto na maalim seif ACT ?kama kweli hii ndo goli la dk 89 nadiriki kusema huyo mzee Membe akili zimemruka
Clip zipo YouTube ni kweliYaaani naskia wameandaa watoto wa sekondari walio chini ya miaka 18 ndo wakapige kura. Kweli mwaka huu ndo msemo wa kifo cha nyani miti yote utekeleza unaenda kutimia
Mbaya zaidi clip za wakiwapa maelekezo hao watoto zinavuja na watanzania wanaoneshwa ushahidi wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli Ccm fungasheni virago tu. Watanzania wanewakataa hakika
Kipenzi gani wa watanzania anayesema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani huku akisema atamgawa mama yake kwa mwanaume baada ya kupewa jogoo???Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
Membe anasomewa Albadiri kubwa na watanzania wapenda HAKI mda si mrefu anaenda kuokota makopo
Mbinu zao zote zinagonga ukuta mwaka huuClip zipo YouTube ni kweli
Kipenzi gani wa watanzania anayesema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani huku akisema atamgawa mama yake kwa mwanaume baada ya kupewa jogoo???Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu