Ingia kwa kigogo Twitter ujionee,wanafunzi wako darasani wanaelekezwa kupiga kuraClip zipo YouTube ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia kwa kigogo Twitter ujionee,wanafunzi wako darasani wanaelekezwa kupiga kuraClip zipo YouTube ni kweli
Kifo cha nyani miti yote huteleza na mwisho wa ubaya ni Aibu walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha mabutu Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada wapo wapi leoMbinu zao zote zinagonga ukuta mwaka huu
Kweli kabisa!!! Nikiangalia ile clip ya zungu akiwaonesha watoto wadogo jinsi ya kupiga kura hadi nacheka kwa kweli😂😂😂Kifo cha nyani miti yote huteleza na mwisho wa ubaya ni Aibu walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha mabutu Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada wapo wapi leo
All in All;Bia yetu ana exercise free of speech and we have to respect that🤣🤣🤣,Ina chama ulichojiandikishia ndo shiida 🤣🤣🤣🤣
Hv unajua tangu umeanza andika message zote hakuna hata moja inayoeleza kwa nn unamchagua meko zaid ya blahblah?Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
Tunaenda nae anavyotaka. Wala msitie shaka😂😂Anaboa. Anarudia kitu kile kile.
Hata asipoombewa watu walishamwoma hazimtoshi ,ndo maana kwenye kampeni zake alikuwa hafikishi watu 15 ,chadema ni akili kubwa sana walimkataa hatua za awaliMembe anasomewa Albadiri kubwa na watanzania wapenda HAKI mda si mrefu anaenda kuokota makopo
Watanzania wa wapi unawasemea? Maana watanzania wenye Akili timamu hawawezi kuichagua CCMWatanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
Kipenzi gani wa watanzania anayesema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani huku akisema atamgawa mama yake kwa mwanaume baada ya kupewa jogoo???
Tundu Lissu atapigiwa kura na mamilioni ya watanzania ikiwemo wana Ccm waliochoka uuaji, utekaji na ubambikaji kesi.
WametepetaMbinu zao zote zinagonga ukuta mwaka huu
Wamedata maana mtukufu kaburu Mkoloni mweusi tarehe 28 ni bye bye to chato villageAnaboa. Anarudia kitu kile kile.
Watanzania wa wapi unawasemea? Maana watanzania wenye Akili timamu hawawezi kuichagua CCM
Ndo point yako inayokupeleka kuunga mstari asubuhi adi jion kupiga kura na Kuacha mambo yako mengine ya msingi yamesimama? Kweli wapiga kura wa Tanzania ni rubbishWatanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu
Hivi ni wapi tunaweza kulizika hili lichama jamani??Yaaani kweli Mungu mkubwa. Hakuna aliyedhani vya this time Ccm watakuwa na hali mbaya kiasi hiki 😂😂😂
Nchi inaenda kupata uhuru upya baada ya mateso unyanyasaji uonevu mwingi ndani ya miaka mitanoHivi ni wapi tunaweza kulizika hili lichama jamani??
Ndo point yako inayokupeleka kuunga mstari asubuhi adi jion kupiga kura na Kuacha mambo yako mengine ya msingi yamesimama? Kweli wapiga kura wa Tanzania ni rubbish
Bia yetuJamaa gani
Bia yetuJamaa gani
Why?ITV kumbe nao ni wapumbavu sana tu...