Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

WaTz sio wajinga wakubali kimchagua mtu anayesapoti ushoga....ushoga mwisho wake 'UFIPA' tumeeleawana...!! Next time mtajipanga vizuri .. AFRIKA NA USHOGA WAPI NA WAPI..?
Tatizo vijana wa ccm mnataka kutupotosha kwa ajili ya manufaa yenu binafsi na ikiwa ukweli wa mambo mnao acheni kujitoa fahamu ivi hizo fuvu zenu zimebeba mavi au kamasi ?
 
Watanzania tunajivunia kumpata kiongozi bora Magufuli
Rais Magufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Maono ya kujenga uwanja wa ndege Chato na kuteka, kuua na kubambikia watu makesi???
 
Tumuache magufuli amalizie miaka yake 5 tano tena ikishindikana CCM iridhie serekali ya pamoja alimuradi tu magufuli amalizie 5 tena CHADEMA WAO MPAKA SASA WANA COUNT DOWN KILA OVU LINALOFANYIKA TUKIO KWA TUKIO BADO KIDOGO TU BOOK LIJAE HUU NI KWA MTIZAMO WANGU JINSI NIONAVYO MBALI WANASUBIRI JAMBO MOJA TU ILI KESI ZA FEDHEA ZIANZISHWE NALO NI WATU WAUMIZWE HEKIMA YA POLISI NI MUHIMU SANA KWA WAKATI HUU
 
Tatizo vijana wa ccm mnataka kutupotosha kwa ajili ya manufaa yenu binafsi na ikiwa ukweli wa mambo mnao acheni kujitoa fahamu ivi hizo fuvu zenu zimebeba mavi au kamasi ?
Tatizo la CCM ni Akili zao ndogo kutaka kuongea na Akili kubwa za wananchi ambao wameamka zaidi ya CCM wapo makini hawataki kusikia propaganda zozote za CCM
 
Tumuache magufuli amalizie miaka yake 5 tano tena ikishindikana CCM iridhie serekali ya pamoja alimuradi tu magufuli amalizie 5 tena CHADEMA WAO MPAKA SASA WANA COUNT DOWN KILA OVU LINALOFANYIKA TUKIO KWA TUKIO BADO KIDOGO TU BOOK LIJAE HUU NI KWA MTIZAMO WANGU JINSI NIONAVYO MBALI WANASUBIRI JAMBO MOJA TU ILI KESI ZA FEDHEA ZIANZISHWE NALO NI WATU WAUMIZWE HEKIMA YA POLISI NI MUHIMU SANA KWA WAKATI HUU
Hata Nyerere alisema hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho akiamka atatuambia nini??? Kila siku maisha yetu ni kuwa rehani tu
 
Tatizo la CCM ni Akili zao ndogo kutaka kuongea na Akili kubwa za wananchi ambao wameamka zaidi ya CCM wapo makini hawataki kusikia propaganda zozote za CCM
28 lazima afe punda mzigo ufike wajiandae vyema ccm nimewachoka wanafaidi nchi kakikundi ka watu wachache tu afu wanajitapa kwenye media wao wanaendesha v8
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike

Tuliwaonya hamkusikia

Usaliti wake upo wazi, na ni bahati nzuri ilishaamuliwa hawezi kuwa hata diwani wa hii Nchi
Amesaliti nini ??? Embu tuambie
 
Back
Top Bottom