Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

Yaaani kweli Mungu mkubwa. Hakuna aliyedhani vya this time Ccm watakuwa na hali mbaya kiasi hiki 😂😂😂
Binadamu aliyepewa uwezo wa kutafakari na kutambua lililojema katika maisha hawezi kutishika na maneno haya yaliyokosa weledi ndani yake!

Tume ya Uchaguzi ni organ inayosimamia Uchaguzi, Kama huna imanani nayo ulikubalije kugombea?
Hekaya za kuunga unga hazitakufanya kufanikiwa dhidi ya ukweli!
Hakuna Rais aliye mzalendo zaidi ya Magufuli ukimwacha Mwalimu Nyerere! Siasa za kijinga Acha!
 
Kwa iyo kumbe mliandaa figisu mkitegemea Chadema tutajitoa mwaka huu??? Imekula kwenu mazima sasa!!😂😂😂

Uzalendo wa Magufuli ini upi??? Kuteka, kuua, kubambika watu makesi na kujenga uwanja wa ndege chato???
 
Mbowe alikosea sana kurudi kwenye uenyekiti.
Mbowe hafai kuwa mwenyekiti wa Chama Tawala.
Na Mbaya zaidi Lisu amesema Mbowe atakua Waziri Mkuu .
Hiyo imenifanya nibaki mdomo wazi.

Mbowe kabisa awe waziri mkuu wa nchi.
Ni ajabu kabisa.
Waziri Mkuu ni Rais wa Tanganyika.

Wapinzani hasa Chadema ilikosea sana kumpa Mbowe uenyekiti kuelekea uchaguzi huu. Mbowe alifanya siasa za kitoto Ndani na nje ya Bunge kwa miaka Mitano.
Siasa ni Sayansi.
Mbowe alihamasisiha watu wasijiandikishe ili ionekane kuwa watu hawatashiriki uchaguzi. Serikali na Chama cha mapinduzi wakahamasisha sana watu kujiandikisha.

Matokeo yake watu wengi wanaohudhuria mikutano ya Chadema hawajajiandikisha. Mbowe ni Mamluki wa CCM na amefilisi Chama chake na kama sio Lisu Mwaka huu kwa siasa za kinyonge za Mbowe Chadema ingekufilia Mbali.

Lisu ni Jemadari wa siasa barani Afrika na Dunia nzima.
Lisu anafaa kuwa Katibu Mkuu wa UN.
Lisu ni International Figure.


Lakini Pia Mbowe alitumia vibaya Ruzuku za Chama na kukifanya Chama kuwa na ukata mkubwa wa pesa.
Mbowe ameshindwa kabisa kukijenga Chama Kanda ya Kaskazini tangu alipofariki ghafla Ndesamburo(RIP) . Kanda ya Kaskazini hasa Kilimanjaro Chadema itapoteza majimbo karibu yote isipokuwa la Moshi mjini kutokana na ukaribu wa mgombea na wananchi.
Watanzania wengi bado wamelala siasa za Mbowe kwa miaka Mitano hazikua na tija kwa jamii.

Mbowe kuwa Waziri Mkuu ni Bora Chadema iangushwe na CCM.
Atakua ni waziri Mkuu wa hovyo kuliko wote Duniani.
Achaneni na mambo ya kuahidiana vyeo mana mtaboa watu.
 
Mbowe kakufanya nini wewe mtu???😂😂😂

Kwani ripori ya CAG ilisemaje juu ya hesabu za Chadema??? Alafu mbona umeleta hoja op kabisaa??? Umetumwa kuja kumsaidia Yehodaya kuhamisha mjadala nini???.😂😂😂
 
Ccm imebaki NEC tu.
 
 
Mbowe kakufanya nini wewe mtu???[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwani ripori ya CAG ilisemaje juu ya hesabu za Chadema??? Alafu mbona umeleta hoja op kabisaa??? Umetumwa kuja kumsaidia Yehodaya kuhamisha mjadala nini???.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumbuka kuwa kwa muda mrefu sijampiga za uso.

Aliendekeza Siasa za kikondooo sana mpaka sasa anapumulia mashine kwenye jimbo lake huku akipelekeshwa na Sabaya.
Nyumbani kwako unasumbuliwa na mgeni halafu unajiita Kamanda ,pumbavu sana.
 
Communication blackout is coming, lets be prepared.
Twitter, Whatsapp, JF, Telegram, Signal, Instagram will all not be accessible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…