Sasa Ni Dhahiri Kocha wa Simba hampendi Kagere!

Mimi si shabiki wa Simba lakini mpenzi wa AFYA ya mpira wetu....

Hivi inawezekanaje kwa mfungaji bora mara mbili mfululizo anawekwa UBAO namna hii ?!!!

Yaani kuwe na Sintofahamu kati ya mchezaji mzuri na kocha wake bila ya kufikia SULUHISHO?!!

Kama Meddy yu mgonjwa,mbona hatujasikia?!!

Hivi Meddy angekuwa ana miaka 25...Simba wangemfanyia hayo anayokumbana nayo?!!!

Sitaki kuamini Sven amekuwa na "tabia" za Pep Guardiola......
 
Katika mechi ya Leo na matokeo yanayotafutwa ,aina maechi ,ubora wa Kagere na Boko ! ....nimeanza kuamini kuwa huyu kocha ana timanyongo na Meddie Kagere!
Povu ruksa!
Bocco mzuri sema kocha kakosea kumpanga Mzamiru
 
Yeah hawo ni makocha ambao hawapendi mchezaji mwenye sifa/uwezo mmoja
 
Plateau timu nzima haijacheza mchezo wowote tangu mwezi wa 3 mbaka kuna wachezaji Wana vitambi Kama wabunge lakini bado wamecheza vizuri.
Baadhi ya wachezaji wa simba wamecheza kwa presha sana..mfano mzamiru, mkude nakusababisha kupoteza mipira mingi.
mwisho: plateau ni wabovu kila sector ilipaswa wafungwe hata magoli 2+
 
Baadhi ya wachezaji wa simba wamecheza kwa presha sana..mfano mzamiru, mkude nakusababisha kupoteza mipira mingi.
mwisho: plateau ni wabovu kila sector ilipaswa wafungwe hata magoli 2+
Ebana yule mchezaji wa Plateau ana "ndambi" kama mchoma nyama choma....looh
 
Sure....

Changamoto kubwa kwa wachezaji kwani ubao unachujisha uwezo uwanjani....
Ndio hivyo shida kubwa kwa wachezaji..na wakala wa kagere ali panic kipindi fulani sijui kama atasaini dili jipya.. huku ilanfya anaomba atolewe kwa mkopo.
 
Simba Mmetia aibu leo mnatokaje sare utazani mlizaliwa siku ya mapacha duniani.
 
Msimlaum tu kocha, pia mjiulize
"Kwan ile hiridhi bado anayo." 🚮
🚶🚶🚶
 
Embu ona wachezaji wana mavitambi wengine wanahema kama makuku matetea, tunashindwa kuwafunga, unamuingiza top scorer ligi dakika ya 90 hata aibu huna kama sio upuzi ni nini
Yaani watani mna "kashida" katika benchi lenu la ufundi...

MK 14 wa kuingizwa dakika ya mwisho?!!! Looh wonders shall never end ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…