Sasa Ni Dhahiri Kocha wa Simba hampendi Kagere!

Katika mechi ya Leo na matokeo yanayotafutwa ,aina maechi ,ubora wa Kagere na Boko ! ....nimeanza kuamini kuwa huyu kocha ana timanyongo na Meddie Kagere!
Povu ruksa!

Hapana, mechi ya Plateau ilikuwa ni tactical match. Trust me, mechi inayokuja MK 14 atajaa kama pishi ya mchele.
 
Plateau timu nzima haijacheza mchezo wowote tangu mwezi wa 3 mbaka kuna wachezaji Wana vitambi Kama wabunge lakini bado wamecheza vizuri.
Vitambi vya kula ogbono soup, esiyebu, okra soup, nsala, abacha, gari, pounded yam e.t.c.
 
Kweli asee.. Sisi Yanga tunasapoti Mumtimue huyo kocha anawaharibia timu.
 
Tulisikia kuna mgogoro kati ya Kagere na kocha baada ya kocha kupigwa kichwa sasa unaweza kuta ndio matokeo ya kile kichwa.
 
Katika mechi ya Leo na matokeo yanayotafutwa ,aina maechi ,ubora wa Kagere na Boko ! ....nimeanza kuamini kuwa huyu kocha ana timanyongo na Meddie Kagere!
Povu ruksa!
Unajua hawa makocha wakiachiwa mamlaka yote wataharibu timu kbs anamsajili mtu yy hatakiwi alimwacha Deo kanda ma Shiboub akamwacha kahata kweli leo kaja pia kwa bwalya tusije shangaa anaenda yanga
 
Umenena kweli kbs
 
Binafsi baada ya kuona lisit niliomba tupoteze mechi ili aondoke Ila ss tunacheza round ya Kwanza tukipigwa atafukuzwa na uzuri tutashuka chini na tutapata kocha mwingine asiyembishi huyu nionavyo Mie anabebwa na vitu viwili tu
Mosi Simba ni Bora kulinganisha na timu zote tz
Pili timu zingine ni weak na hazina uwekezaji na matunzo ndio maana unaona yanga yuko pale
 
Sven anapalilia njia ya kwenda kwao.
 
Na itatuchukua muda kupata striker wa aina yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…