Uchaguzi 2020 Sasa ni dhahiri: Kwa miaka mitano tumekuwa tukidanganywa. Uwanjani mambo ni magumu, hayako kama tulivyoambiwa

Sijaelewa umekanusha nini na umeeleza nini. Kama hakuna ugumu wowote, kwanini kutumia nguvu kubwa kutafuta ushindi?
 
Hawa wanasemaje?View attachment 1576158
 
Watu walifika wengi, na hasa vijana akina mama, zaidi kuwaona wanamziki. Hawakumwona Diamond, japo walitangaziwa kuwa atakuwepo. Viparata Tabora ni kero kubwa kwani mkuu wa wilaya anawaamuru waajiri wa maduka, bar, migahawa na mamalishe kuwanunulia viparata watumishi wao. Tatizo la hospital ya Kitete kuwatoza wazazi sh 50000 na 45000 kujifungua watoto wa kiume na kike hakulijibu. Huenda ni kuongeza mapato ya serikali, kumbuka anawahimiza wanawake kuzaa zaidi.
 
Ngoja Lumumba wenzio watoke lunch, leo haki ya nani utabaki mapepe mtupu!
 
Utakuta hadi Lisu akisoma hapa anachekelea kwamba mambo ni magumu sana kwa ccm na atashinda kiulani sana
 
Ushindi wa 90 - 100% kwa uwizi? Sawa.
 
Punguza mahaba ya kichama,Mara nyingine hurodhurika kusema ukweli,mtaani Mambo ji magumu Sana.
 
Mwenzako ni mjumbe wa halmashauri kuu, na yupo kwenye kampeni

Na ni mmoja wa Watu ambao wanakula posho za kampeni

Sasa ww umekaa tu kwenu kilindi huko unaanza kubisha bisha tu
Huyo hana ujumbe wowote k,wenye Chama! Ngoja niingie chimbo nimfahamu vizuri na nitamuweka wazi hapa
 
Huyo hana ujumbe wowote k,wenye Chama! Ngoja niingie chimbo nimfahamu vizuri na nitamuweka wazi hapa

Kwa taarifa yako tu
Yy yuko kwenye msafara wa rais magufuli

So Wala usipate shida ya kuingia chimbo, huyo Mtu humuwezi na humfikii hata kwa dhambi zake
 
Kwa taarifa yako tu
Yy yuko kwenye msafara wa rais magufuli

So Wala usipate shida ya kuingia chimbo, huyo Mtu humuwezi na humfikii hata kwa dhambi zake
Kama yuko kwenye msafara ni sababu nyengine ya kumsaka , yeye ni msaliti ni lazima atafutwe!
 
Hahaha! huyu mzee bhana, eti 'ushindi wa kimbunga bila kupiga ukunga!'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…