Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania

🤧🤧🤧🤧🤧🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Hivi hata unaelewa ulichoandika wewe mwenyewe 🚮🚮🚮🚮🚮
 
Wakati huo huo waTanzania wakifuatilia maandamano hayo, wanaanza kujiuliza kuhusu hizi pesa za Abdul na mama yake hatma yake ni nini.

Ni vizuri kuwa wakweli; uko sahihi kabisa juu ya maandamano kufuatiliwa kwa karibu sana na wananchi, lakini wakati huo huo wananchi hao hao wanahofu kubwa na hizi pesa za waarabu zinazonunua viongozi, siyo serikalini na ndani ya CCM pekee, bali sasa ni hata huko kwenye vyama vya upinzani. Na hata makanisa hayakuachwa nyuma!
Matumaini ya waTanzania sasa wayaweke wapi?
 
Kwa Chadema baada ya Tamko la Lissu (aliyetumwa na chama), Mpango huo haramu umedhibitiwa rasmi.
 

Hela chafu vipi mmepata majibu
 
1.Kwanini Wabunge wa Zanzibar huwa wanajadili bajeti za Wizara zisizo za Muungano, Kama Wizara ya Kilimo?

2. Kwanini kwenye Baraza la Wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika kulinda Maslahi ya Tanganyika?

3.Kwanini Wazanzibar wanakuwa Wakuu wa Wilaya Tanganyika ilihali Watanganyika hawawezi kuwa Znz,assumption kwamba TAMISeMI ipo nchi ya Rais?

4.Kwanini Rais wa Jamhuri akitaka kugawa eneo labda Mkoa au Wilaya,Tanganyika anagawa tu,ila Kwa Zanzaibar ni lazima ashauriane na rais wa Zanzibar?
5.Idadi kamili ya wapiga kura ilikupata Jimbo la Mbunge wa bunge la JMT ni ngapi?

6.Kwanini Sukari bei chini Znz?

7.Kwanini Leseni ya udereva ya Tanzania haikubaliki Znz?

8.Kwanini Mh Rais hakubinafsisha bandari za Znz?..Znz hawataki Ufanisi?

9.Kwanini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,hatambuliki Znz ilihali ni wa Tanzania nzima?

10.Kwanini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania halijawahi kuwa na Spika wala Naibu Spika toka Zanzibar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…