Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania

Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania

Hivi,kweli wewe ni wa kuuliza kama Tanzania kuna umasikini au shida?Na ukipewa majibu nusu kaputi utajinunisha?Na haujui kama kuna watu wapo kwenye vikundi vya TASAF?🤔
Mnaandamana Kwa sababu Tzn Kuna umaskini au Kwa sababu maisha ni magumu? Nchi gani haina maskini?

Nadhani Mwendazake alikuwa sahihi kuwafurusha,mnatumia uhuru wenu na mda vibaya yaani umeme uko bwerere badala mkazalishe mnaenda kuandamana? Maandamano ndio yataondoa huo umaskini wenu?

You can't be serious 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6WswpsrIa3/?igsh=MWh1eGgzM3Ewb2IyNg==
 
Sema asante raisi Samia kwa kuvumilia upuuzi wenu.

Kwa sababu anachofanya sio democracy, ni udekezaji.

Huko mbele anawapa wenzake kazi ngumu ya kuwarudisha kwenye mstari.

Uwezi kujiamulia tu kufanya maandamano na kutunga uongo, kwengine duniani ukaachwa kwa kivuli cha democracy.
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
God bless him JM always honest.

Huyo kamanda alikuwa anasema mambo kama yalivyo hakukuwa na kumum’ngunya kwenye ukweli kwake; it is what it is.

Shida ni kwamba pamoja na muungwana kuwapa nafasi ya kujibu hoja za muda huo CDM hamkua na lakusema mpaka leo zaidi ya kutumia hiyo clip ya muungwana kwa propagand zenu.

CCM chama sio sawa na upupu wa CDM unachofikiria uchangonishi tu ambao wananchi wameuchoka idiot.

CCM chama
 
God bless him JMK

Huyo alikuwa anasema mambo kama yalivyo hakukuwa na kumum’ngunya ukweli kwake; it is what it is.

Shida ni kwamba pamoja na muungwana kuwapa nafasi ya kujibu hoja za muda huo CDM hamkua na lakusema mpaka leo zaidi ya kutumia hiyo clip ya muungwana kwa propaganda.

CCM chama sio sawa na upupu wa CDN unaoweza chonganisha idiot.
Hilo ni onyo kwako, sasa endelea na ujinga
 
Hilo ni onyo kwako, sasa endelea na ujinga
Sasa nani mwendawazimu wewe unaetaka kuzushia watu mambo au uhalisia. JK alisema wapi huo upuuzi wako.

Wewe ni poyoyo kwenda kuokota vi quote aina maana ndio kauli za viongozi wa CCM. Mbaya zaidi kama kauli zenyewe za uzushi zinatoka kwa Erythrocyte bingwa wa uongo JF hakuna wakuamini.

CCM chama

You ain’t seen nothing yer muda ukifika
 
Sasa nani mwendawazimu wewe unaetaka kuzushia watu mambo au uhalusia

Wewe ni poyoyo kwenda kuokota vi quote aina maana ndio kauli za viongozi wa CCM. Mbaya zaidi kama kauli zenyewe za uzushi zinatoka kwa Erythrocyte bingwa wa uongo JF.

CCM chama

You ain’t seen nothing yer muda ukifika
Usilie, ndio kwanza tunaanza
 
Usilie, ndio kwanza tunaanza
Sitaki kuingilia vita vyako na madogo wanakushinda mpaka unawaita chawa (uwawezi poyoyo wewe) pambana nao kwa sasa.

Wewe mkongwe muda wa dozi zetu ukifika unajua dawa yako inakorogwa kwa sasa.👋
 
Hatimaye Utanganyika Umerejea kwa Spidi
 
Hatimaye Maandamano haya yamefunika kila kitu, Habari kubwa ni CHADEMA, wako wapi waliosema maandamano haya ni Matembezi ya Mshikamano au Jogging?
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Maandamano yanawachaganya sana CCM, nillikuwa mahali fulani na kukawa na mkutano wa ccm, kilichotokea kila aliyepanda jukwaani, alikuwa anaisema CDM au kumsifia Rais.
 
Maandamano yanawachaganya sana CCM, nillikuwa mahali fulani na kukawa na mkutano wa ccm, kilichotokea kila aliyepanda jukwaani, alikuwa anaisema CDM au kumsifia Rais.
Na hapa ni kama ndio tunaanza
 
Back
Top Bottom