Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania

Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania

Huruma uliwasaidia kutembea?Sampuli yako ni wale ma-hopelesses wanaosubiri wenzao watawaletea nini huku wao wamejibweteka kama wagonjwa wa safura.
Kutembea ni hiyari yao (kwa wengine tunasisitiza ni kwa huruma wa raisi) maana kwengine duniani; kwa desturi za siasa za democracy tafsiri ya kutoheshimu muda wa wenzako kufanya kazi yao ni ukorofi wa kisiasa.

Kwa matembezi ya CDM na kinachooneksna labda kwa shabiki maandazi ndio wanazani kuna tija; vinginevyo kwa watanzania walio wengi tunacho shuhudia ni ‘kifo cha mfa maji, eshi kutapatapa’.

Marudio ya maandamano kwenye mini ile ile hata miezi miwili aijapita na round two less support; halafu haya mapoyo yakishindwa uchaguzi yatadai yameonewa wakati hayana support ya wananchi.
 
huyo tahira nimeacha na kumjibu, kajaa kamasi kichwani. Nilikuwa nasubir ajibu hili swali na nimeshangaa mtu mwenye pumbu kamili kabisa kuuliza swali kama alilouliza😂 ! ndio maana nikasema vichaa hawaishi ni pamoja na huyo jamaa uliyemjibu
Msamehe tu.Hata vichaa wana haki ya kusikilizwa kwenye kesi mahakamani. Ikifika kwenye maamuzi ndiyo unamrudisha jalalani aendelee kufanya usafi(siyo kuokota takataka).🤣🤣🤣😂
 
Kutembea ni hiyari yao (kwa wengine tunasisitiza ni kwa huruma wa raisi) maana kwengine duniani; kwa desturi za siasa za democracy tafsiri ya kutoheshimu muda wa wenzako kufanya kazi yao ni ukorofi wa kisiasa.

Kwa matembezi ya CDM na kinachooneksna labda kwa shabiki maandazi ndio wanazani kuna tija; vinginevyo kwa watanzania walio wengi tunacho shuhudia ni ‘kifo cha mfa maji, eshi kutapatapa’.

Marudio ya maandamano kwenye mini ile ile hata miezi miwili aijapita na round two less support; halafu haya mapoyo yakishindwa uchaguzi yatadai yameonewa wakati hayana support ya wananchi.
Kwani walikualika au kukulazimisha utembee au kuwafuatilia?Hicho ni kiherehere mswede chako.Siku ingine ukiona wanaandamana rudi nyumbani kwenu uchambue maharage.
 
ndio unapasa ututafutie kwenye katiba ya Tanzania kwamba maandamano ni kwa huruma ya raisi?
Tofauti ipo wapi?

Huruma kwa sababu CDM imefanya maandamano kama nyimbo za taraab.

Hivi hata mwezi umepita, wanaporudia kupita leo.

Ina maana kila mwezi serikali inatakiwa kuzuia shughuli za uzalishaji, kuwatengea polisi maeneo ya uchumi, ili viongozi wa CDM upuuzi uliopo kwenye vichwa wajiridhishe hiyo ndio haki yao.

Mumshukuru huyu Samia mwenye moyo wa kuchekea huo upuuzi, kwengine duniani hizo sio siasa.
 
Hata wewe mlemavu wa miguu unaandika "my foot"?Acha vibweka wewe mjamaa!
Sema asante raisi Samia kwa kuvumilia upuuzi wenu.

Kwa sababu anachofanya sio democracy, ni udekezaji.

Huko mbele anawapa wenzake kazi ngumu ya kuwarudisha kwenye mstari.

Uwezi kujiamulia tu kufanya maandamano na kutunga uongo, kwengine duniani ukaachwa kwa kivuli cha democracy.
 
Sema asante raisi kwa kuvumilia upuuzi wenu.
Mama SSH ni mwenye hesabu.Siyo mjinga kama ninyi mnaochukulia maandamano kama ngono zembe mnazofanya kwenye mikesha ya mwenge.Maandamano ni serious issue na hufuatiliwa kwa umakini na watu wasioshikiwa akili kama wewe balozi wa nyumba mbili.
 
View attachment 2977093

Wakati Chadema wanatangaza kuandamana Nchi nzima, kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na Sheria mbovu na za kijinga za Uchaguzi, wako wale wenye Ubongo mfupi waliobeza na kutamka kila neno baya kuhusu maandamano hayo, huku wengine wakiyaita matembezi ya mshikamano, Jogging, matembezi ya waliokosa kazi, matembezi ya Wajinga, Wahuni, Washenzi na kila jina baya unalolijua.

Bali sasa imedhihirika kote duniani kwamba Maandamano hayo yamechoma serikali yote hadi imebaki Majivu , Hakuna kiongozi wa ccm ambaye hajaona Maandamano hayo kote yanakopita , Mijadala yote ya Mwezi April kwenye Maofisi ya serikali , maofisi ya ccm na Bungeni inahusu maandamano ya Chadema, huku Mijadala ya Bunge la Bajeti ikizimika kama Kibatari Jangwani.

Tafsiri ya Jambo hili ni kwamba, Maandamano ya Chadema yamefanikiwa na bila shaka Dunia nzima imefahamu kwamba Tanzania Imekumbwa na Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu kabisa za Uchaguzi kuliko nchi yoyote Duniani, Kilio cha Nape Nnauye leo Bungeni kuhusu Spana za Lissu ni sehemu ya Ushahidi wa Maandamano haya kugonga mfupa wa CCM.

Mungu Ibariki Chadema .
Mbona viongozi wenu wanahujumiana kwenye hayo maandamano. Tumemsikia Lissu juzi akiwa Babati akilalamika kupangiwa maandamano vichochoroni.


View: https://twitter.com/Jaguar_455/status/1784283365601853805?s=19
 
Mama SSH ni mwenye hesabu.Siyo mjinga kama ninyi mnaochukulia maandamano kama ngono zembe mnazofanya kwenye mikesha ya mwenge.Maandamano ni serious issue na hufuatiliwa kwa umakini na watu wasioshikiwa akili kama wewe balozi wa nyumba mbili.
Shida ni abuse anawapa huo uhuru, halafu ameheshimu mipaka. Sio tu mnataka maandamano iwe sehemu ya siasa za kila siku na uongo juu na matusi mumpe.

Ndio zama zenyewe hizi Magufuli alizosema, ngoja yeye atoke waje wa kuwambeleza.

Sasa huyu anaewabembekeza nae mnadhani hawapi haki, mpaka pale mtakapo mfikia na kumpiga masingi ndio haki.

Keep pushing ipo siku mtafikia kumtia masingi si ndio mama, kwa jinsi anavyowadekeza.

👋
 
Shida ni abuse anawapa huo uhuru, halafu ameheshimu mipaka. Sio tu mnataka maandamano iwe sehemu ya siasa za kila siku na uongo juu na matusi mumpe.

Ndio zama zenyewe hizi Magufuli alizosema, ngoja yeye atoke waje wa kuwambeleza.

Sasa huyu anaewabem
Abuse ni tafsiri ya kutoka mmoja hadi mwingine.Kila umri unapoongezeka unapaswa uwe na kifua kipana.Sina maana unyanyue vitu vizito au ufanyiwe surgery kuongeza matiti!Uvumilivu ni ushindi.
 
View attachment 2977093

Wakati Chadema wanatangaza kuandamana Nchi nzima, kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na Sheria mbovu na za kijinga za Uchaguzi, wako wale wenye Ubongo mfupi waliobeza na kutamka kila neno baya kuhusu maandamano hayo, huku wengine wakiyaita matembezi ya mshikamano, Jogging, matembezi ya waliokosa kazi, matembezi ya Wajinga, Wahuni, Washenzi na kila jina baya unalolijua.

Bali sasa imedhihirika kote duniani kwamba Maandamano hayo yamechoma serikali yote hadi imebaki Majivu , Hakuna kiongozi wa ccm ambaye hajaona Maandamano hayo kote yanakopita , Mijadala yote ya Mwezi April kwenye Maofisi ya serikali , maofisi ya ccm na Bungeni inahusu maandamano ya Chadema, huku Mijadala ya Bunge la Bajeti ikizimika kama Kibatari Jangwani.

Tafsiri ya Jambo hili ni kwamba, Maandamano ya Chadema yamefanikiwa na bila shaka Dunia nzima imefahamu kwamba Tanzania Imekumbwa na Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu kabisa za Uchaguzi kuliko nchi yoyote Duniani, Kilio cha Nape Nnauye leo Bungeni kuhusu Spana za Lissu ni sehemu ya Ushahidi wa Maandamano haya kugonga mfupa wa CCM.

Mungu Ibariki Chadema .
Baada ya hayo maandamano ya kijinga, maisha Sasa yamekuwa nafuu? Kikokotoo kimeondolewa? Sheria zimebadilishwa? Kwa kifupi, maandamano ya Chadema ni "the kick of the dying horse". Chadema wanajitutumua kuwa wapi kumbe ndio chama kinakufa hivyo!
 
Baada ya hayo maandamano ya kijinga, maisha Sasa yamekuwa nafuu? Kikokotoo kimeondolewa? Sheria zimebadilishwa? Kwa kifupi, maandamano ya Chadema ni "the kick of the dying horse". Chadema wanajitutumua kuwa wapi kumbe ndio chama kinakufa hivyo!
Hautaona matokeo jioni tu baada ya maandamano mtu wangu.Subiri serikali itajibu au kuweka nini kwa vitendo.Have a little patience,please!
 
Abuse ni tafsiri ya kutoka mmoja hadi mwingine.Kila umri unapoongezeka unapaswa uwe na kifua kipana.Sina maana unyanyue vitu vizito au ufanyiwe surgery kuongeza matiti!Uvumilivu ni ushindi.
Ndio wendawazimu anao deal nao huyo mama.

Political arguments unaongelea maumbile yake, inaonyesha jinsi gani usivyokuwa na adabu.

Wewe ungependa mtu aongelee matiti ya mkeo, mama yako au binti yako.

Kwanini uingize viungo vya kiongozi wa nchi katika muktadha wa maswala ya sheria. Katiba na mada ya siasa.

Ndio vijana wa CDM mkionwengi hamna adabu kabisa.

Mimi personal japo wewe ni popoyo I will never dare kumuingiza mama yako wala mkeo hata tuvuke vipi. Sawa mimi na wewe kutukanana lakini mama yako na mkeo wanahusika vipi.

Vijana wa CDM hamna adabu kabisa
 
Ndio wendawazimu anao deal nao huyo mama.

Political arguments unaongelea maumbile yake, inaonyesha jinsi gani usivyokuwa na adabu.

Wewe ungependa mtu aongelee matiti ya mkeo, mama yako au binti yako.

Kwanini uingize viungo vya kiongozi wa nchi katika muktadha wa maswala ya sheria. Katiba na mada ya siasa.

Ndio vijana wa CDM miło wengi hamna adabu kabisa.

Mimi personal japo wewe ni popoyo I will never dare kumuingiza mama yako wala mkeo hata tuvuke vipi. Sio mimi na wewe kutukanana lakini mama yako na mkeo wanahusika vipi.

Vijana wa CDM hamna adabu kabisa
Maumbile umeyataja wewe mjinga kwa sababu ya inferiority complexion unayojitwika.Hamna jema ninyi.Mpo tu kama mizuka.Hamueleweki kama mnatutisha au mnashangaa matokeo.
 
Maumbile umeyataja wewe mjinga kwa sababu ya inferiority complexion unayojitwika.Hamna jema ninyi.Mpo tu kama mizuka.Hamueleweki kama mnatutisha au mnashangaa matokeo.
Binafsi naweza pokea matusi, lakini mtu anaeweza tukana watu wazima hasa kwa miła zetu nampotezea value. Sio lazima awe na nafasi ya ‘bi-tozo’ hata awe mama ntilie nakuwa nashindwa nijibu nini tena.

You win
 
Maoni yangu
,1.maandamano nisehemu yakukitangaza na kukiimalisha chama chao
2, kuonesha mshikamano na wanachama/wananchi
3,Kuimarisha na kuwaamusha wanachama waliokata tamaaa
4,Ni njia ya kueleza matatizo ya watanzania na hivyo serikali inapewa taarifa ya mambo muhimu ambayo wananchi wanapaswa kufanyiwa. Shida Iko upande wa midia kueleza kuyapa umuhimu hayo maandamano naona kama vile wanaogopa
 
View attachment 2977093

Wakati Chadema wanatangaza kuandamana Nchi nzima, kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na Sheria mbovu na za kijinga za Uchaguzi, wako wale wenye Ubongo mfupi waliobeza na kutamka kila neno baya kuhusu maandamano hayo, huku wengine wakiyaita matembezi ya mshikamano, Jogging, matembezi ya waliokosa kazi, matembezi ya Wajinga, Wahuni, Washenzi na kila jina baya unalolijua.

Bali sasa imedhihirika kote duniani kwamba Maandamano hayo yamechoma serikali yote hadi imebaki Majivu , Hakuna kiongozi wa ccm ambaye hajaona Maandamano hayo kote yanakopita , Mijadala yote ya Mwezi April kwenye Maofisi ya serikali , maofisi ya ccm na Bungeni inahusu maandamano ya Chadema, huku Mijadala ya Bunge la Bajeti ikizimika kama Kibatari Jangwani.

Tafsiri ya Jambo hili ni kwamba, Maandamano ya Chadema yamefanikiwa na bila shaka Dunia nzima imefahamu kwamba Tanzania Imekumbwa na Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu kabisa za Uchaguzi kuliko nchi yoyote Duniani, Kilio cha Nape Nnauye leo Bungeni kuhusu Spana za Lissu ni sehemu ya Ushahidi wa Maandamano haya kugonga mfupa wa CCM.

Mungu Ibariki Chadema .
Hivi Tanzania hapa Kuna ugumu wa Maisha? Tusaidienk kujua huo ugumu upo angle ipi ikiwa misosi na vifaa vya ujenzi bei ni bwerere
 
Back
Top Bottom