Sasa ni dhahiri ndani ya CCM kuna kundi la Rais Samia na la Hayati Magufuli

Sasa ni dhahiri ndani ya CCM kuna kundi la Rais Samia na la Hayati Magufuli

Hakuna kundi wala wafuasi wa Magufuli ndani ya CCM.

Wanasiasa huangalia manufaa yao binafsi na ndio maana Kinana alipita kwa 100%.

Mwanasiasa pekee aliyeangalia masilahi ya umma ni Magufuli tu.

Kwani Kuna kiongozi yeyote ambae hakuwafanyia chochote wananchi waliomchagua? Hakuna kiongozi ambae hakuwahi watendea mazuri wananchi wake na ndio maana hata jpm mwenyewe hakuwahi kubisha kuwa hakuna mazuri yeyote yaliyofanywa na watangulizi wake licha ya yeye na wafuasi wake akuponda utwala tangulizi kwake na kuyafanyia kazi Yale aliyoyaona yy yakuwa mazuri huku nae akiyafanya mazuri yake na mabaya yake ambayo wafuasi wake hawataki yaongelewe kwa Sasa Kama ambavyo awamu ya tano ilivyoyaongelea mabaya ya awamu zilizotangulia hata kuuaminisha umma kuwa akina kikwete,Ben,mwinyi hawakuwahi fanya lolote zuri kwa wananchi zaidi ya ufisadi na kujijali wao tu.

Hoja yangu kubwa ni kwamba kiongozi ahukumiwe kwa haki kutokana na matendo yake na sio kuangalia sura kwamba huyu yasemwe mazuri tu Ila kwa yule yasemwe mabaya, kiufupi awamu ya tano inanyolewa na wembe ule ule na ulitumika na jpm kuwanyolea watangulizi wake. Acha awamu ya sita nayo iinyoe vya kutosha awamu ya tano kwakuwa ndio tabia zetu tulizojipa Sasa.
 
Kwani Kuna kiongozi yeyote ambae hakuwafanyia chochote wananchi waliomchagua? Hakuna kiongozi ambae hakuwahi watendea mazuri wananchi wake na ndio maana hata jpm mwenyewe hakuwahi kubisha kuwa hakuna mazuri yeyote yaliyofanywa na watangulizi wake licha ya yeye na wafuasi wake akuponda utwala tangulizi kwake na kuyafanyia kazi Yale aliyoyaona yy yakuwa mazuri huku nae akiyafanya mazuri yake na mabaya yake ambayo wafuasi wake hawataki yaongelewe kwa Sasa Kama ambavyo awamu ya tano ilivyoyaongelea mabaya ya awamu zilizotangulia hata kuuaminisha umma kuwa akina kikwete,Ben,mwinyi hawakuwahi fanya lolote zuri kwa wananchi zaidi ya ufisadi na kujijali wao tu.

Hoja yangu kubwa ni kwamba kiongozi ahukumiwe kwa haki kutokana na matendo yake na sio kuangalia sura kwamba huyu yasemwe mazuri tu Ila kwa yule yasemwe mabaya, kiufupi awamu ya tano inanyolewa na wembe ule ule na ulitumika na jpm kuwanyolea watangulizi wake. Acha awamu ya sita nayo iinyoe vya kutosha awamu ya tano kwakuwa ndio tabia zetu tulizojipa Sasa.
Magufuli aliweka mbele masilahi ya umma siku zote. Wengine ni Mkapa na Nyerere.
 
Magufuri ndio rais mbaya mwenye roho mbaya muuwaji mwizi wa Mali za uma kuwahi kutokea Tanzania.

Ndio maana mkapa au Nyerere hasemwi vibaya popote.

Ila magufuri ataendelea kutuksnwa mpaka kizazi hiki kipite.

Adhabu yake iongezwe mara dufu
 
Magufuli aliweka mbele masilahi ya umma siku zote. Wengine ni Mkapa na Nyerere.
Vp kuhusu ule uchaguzi wa 2020 ukiungalia je unaweza kusema ulikuwa ni kwa maslahi ya umma ama kwa maslahi yake?
Kama waliopendwa na wengi aliwaacha na kuwachagua anaowataka yeye hapo unawezaje kusema ni maslahi ya umma ikiwa.

Kulikuwa na haja gani ya kutenga bajeti kubwa ya uchaguzi ili itumike kuhalalisha aliowataka yeye binafsi? Kwann asingesema hakuna uchaguzi zile pesa za uchaguzi zielekezwe kwenye miradi ya kitaifa halafu wale wagombea watakaopitishwa na chama chake na atakaowathibitisha yeye waingie moja kwa moja kwa uongozi badala ya kupoteza muda kwa kutufanyia kiini macho?
 
Magufuri ndio rais mbaya mwenye roho mbaya muuwaji mwizi wa Mali za uma kuwahi kutokea Tanzania.

Ndio maana mkapa au Nyerere hasemwi vibaya popote.

Ila magufuri ataendelea kutuksnwa mpaka kizazi hiki kipite.

Adhabu yake iongezwe mara dufu
 
Magufuri ndio rais mbaya mwenye roho mbaya muuwaji mwizi wa Mali za uma kuwahi kutokea Tanzania.

Ndio maana mkapa au Nyerere hasemwi vibaya popote.

Ila magufuri ataendelea kutuksnwa mpaka kizazi hiki kipite.

Adhabu yake iongezwe mara dufu
Anatukanwa na akina nani ?? Fanya utafiti kwa GROUND ujiridhishe kama kweli anatukanwa na watu wengi ! Fanya tu utafiti ujionee !!
 
Hakuna kundi wala wafuasi wa Magufuli ndani ya CCM.

Wanasiasa huangalia manufaa yao binafsi na ndio maana Kinana alipita kwa 100%.

Mwanasiasa pekee aliyeangalia masilahi ya umma ni Magufuli tu.
Alitupiga 1.5 tr, Rais wa wanyonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anatukanwa na akina nani ?? Fanya utafiti kwa GROUND ujiridhishe kama kweli anatukanwa na watu wengi ! Fanya tu utafiti ujionee !!
Karibu kila mtu mwenye utimamu kichwani aliupinga utawala wa Jiwe. Wanyonge pekee ambao ni rahisi kumeza propaganda za jiwe ndiyo walikuwa wanamwelewa, pia sukuma gang
 
Vp kuhusu ule uchaguzi wa 2020 ukiungalia je unaweza kusema ulikuwa ni kwa maslahi ya umma ama kwa maslahi yake?
Kama waliopendwa na wengi aliwaacha na kuwachagua anaowataka yeye hapo unawezaje kusema ni maslahi ya umma ikiwa.

Kulikuwa na haja gani ya kutenga bajeti kubwa ya uchaguzi ili itumike kuhalalisha aliowataka yeye binafsi? Kwann asingesema hakuna uchaguzi zile pesa za uchaguzi zielekezwe kwenye miradi ya kitaifa halafu wale wagombea watakaopitishwa na chama chake na atakaowathibitisha yeye waingie moja kwa moja kwa uongozi badala ya kupoteza muda kwa kutufanyia kiini macho?
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa kwa masilahi ya umma.
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025.

Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani kudai katiba mpya vinginevyo wataishia kupiga kelele tu.

Kuna dalalili Rais Samia kachoka kuwavumilia na sasa kaamua kuanza kuanika madidu ya awamu iliopita lengo ni kuthibitisha hata awamu iliopita kulikuwa na wizi na ufisadi.

Ngoma inogile.
Sisi wengine kazi yetu ni kuchochea kuni tu
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025.

Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani kudai katiba mpya vinginevyo wataishia kupiga kelele tu.

Kuna dalalili Rais Samia kachoka kuwavumilia na sasa kaamua kuanza kuanika madidu ya awamu iliopita lengo ni kuthibitisha hata awamu iliopita kulikuwa na wizi na ufisadi.

Ngoma inogile.
Mchonganishi. Tunachokataa sisi team Dkt Magufuli ni kudhalilishwa kwa mpendwa wetu, tuliapa kumtetea mpaka kifo. Hata ikitokea kiongozi yeyote kafa sisi kama wana CCM hatutakubali kejeli. Kwa hiyo Mama yeye ajue sisi tunachochukia ni yeye kutaka kumfanya Dkt Magufuli alikuwa eti mwizi, asiye na upendo na nchi yake na wananchi etc, tunataka asimamie maslahi mapana ya nchi, tunahitaji ajali maslahi ya Watanzania walio wengi siyo kutangaza ongezeko la bei bila kuwa na utatuzi. Hata issue ya Covid-19 alikosea kuichukua kichwa kichwa, matokeo yake serikali kupitia polisi wamewalazimisha watu wa vijijini kuchoma chanjo ya Covid-19 ila wa mjini kwa sababu wanaelewa sheria waligoma hivyo kujustify mikopo. Yaani arudi kwenye misingi ya Dkt Magufuli ya kujali maslahi ya walio wengi na aache kabisa kumdhihaki Dkt Magufuli au asitumie vikundi vya kidini vya kiislamu kama akina Zitto kumdhihaki Dkt Magufuli.
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025.

Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani kudai katiba mpya vinginevyo wataishia kupiga kelele tu.

Kuna dalalili Rais Samia kachoka kuwavumilia na sasa kaamua kuanza kuanika madidu ya awamu iliopita lengo ni kuthibitisha hata awamu iliopita kulikuwa na wizi na ufisadi.

Ngoma inogile.
Hayati mwenyewe alituachia legacy ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI.

Hakuna atakayempinga MWENYEKITI
 
Back
Top Bottom