Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025.
Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani kudai katiba mpya vinginevyo wataishia kupiga kelele tu.
Kuna dalalili Rais Samia kachoka kuwavumilia na sasa kaamua kuanza kuanika madidu ya awamu iliopita lengo ni kuthibitisha hata awamu iliopita kulikuwa na wizi na ufisadi.
Ngoma inogile.