Sasa ni dhahiri ndani ya CCM kuna kundi la Rais Samia na la Hayati Magufuli

Sasa ni dhahiri ndani ya CCM kuna kundi la Rais Samia na la Hayati Magufuli

Yaan nyie mnao sema alishiriki ya awamu ya 5 huwa nawaona ni wajinga na wapumbavu hivyo tu.
Kwa sababu nina uhakika hata wewe kuna mengi umeyaamua ndan ya familia yako kama baba wa familia lakini hayampemdenzi mkeo wala watoto wako lakini kwa vile wewe ndiye baba mkaidi wamekuacha tu.
Hii comment iwe laminated
 
Mwenyekiti wa chama ndie mmiliki wa chama kwa wakati huo. Hao team mwendazake waanzishe tu chama kingine
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025.

Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani kudai katiba mpya vinginevyo wataishia kupiga kelele tu.

Kuna dalalili Rais Samia kachoka kuwavumilia na sasa kaamua kuanza kuanika madidu ya awamu iliopita lengo ni kuthibitisha hata awamu iliopita kulikuwa na wizi na ufisadi.

Ngoma inogile.
Upo sahihi, kundi la mwenda zake ni lile liloenda CCM kwa kisingizio cha kuunga mkono juhudi, hawa watu baada ya mama kurithi kiti hawathaminiki sana.
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025.

Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani kudai katiba mpya vinginevyo wataishia kupiga kelele tu.

Kuna dalalili Rais Samia kachoka kuwavumilia na sasa kaamua kuanza kuanika madidu ya awamu iliopita lengo ni kuthibitisha hata awamu iliopita kulikuwa na wizi na ufisadi.

Ngoma inogile.
Kikwete + Samia vs Team Magufuli na Tanzania ya wanyonge
 
Back
Top Bottom