Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Kwa nini kila anayetoa dukuduku lake mnakimbilia kusema ana chuki kwa makamba?
Mbona watu wanapotoa dukuduku kuhusu maji hamsemi wana chuki na aweso?
Kwa kumshambulia Makamba wanadhani wanamshambulia Kikwete wasiyempenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…