Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

You are not serious dude..! Hata kama ni chuki hii yako imezidi, yaani unamlaumu Waziri wa Nishati kwa kupanda bei ya mafuta.? Unajua bei ya mafuta kwa sasa kwenye soko la Dunia?
Mkuu hivi hilo soko LA dunia liko wapi? Mbona bei za mafuta nchi nyingine mfano Rwanda inayopitisha mafuta kwenye bandari ya Dar es salaam iko chini? Au wao hawanunui kwenye hilo soko LA dunia.
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa

Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa zaidi haswa upandaji wa mafuta huku akijisifu kupunguza kodi wakati mafuta yanapanda

Sasa Hili suala la umeme ndio limenifanya nimuone Waziri wa hovyo kuwahi kutokea sababu umeme umekuwa unakatika saana haswa Sisi wa mikoani kuwahi kutokea toka miaka 60 ya uhuru

Hali ya kuwa alitupa siku 10 suala la mgao Na ukatikaji wa umeme wa hovyo utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kama si kuisha. Ila cha ajabu ndio Kwanza spidi imeongezeka

Mfano hapa Dumila iliyopo Kilosa mkoa wa Morogoro yaani umeme unaweza katika hata Wiki mfululizo Na Tanesco Wapo Tu hata ukilalamika Hakuna lolote Na huku mtandaoni nimelalamika vya kutosha wanaishia kukuona takataka Na hata wakikujibu wanakwambia tunafanyia Kazi Ila hakuna lolote lile zaidi ya meseji zao za kukop na kupaste

Sasa binafsi naona kabisa hii wizara imemshinda Na haswa aliposema bungeni kuwa Waziri Kalemani alipewa miaka minne ndipo akafanya vizur hivyo naye tumpe Muda HIVI ANAJIELEWA KWELI?

Kwa nini asingeendelea mwenzake alipoishia au Na yeye kaanza upya ili tuamiani ile dhana ya Mzee wa 10%

MAKAMBA HII WIZARA IMESHAKUSHINDA IACHE KWA AMANI KABLA HAIJAKUHARIBIA ZAIDI
Ila yote Kwa yote TANESCO Rudisheni umeme Dumila
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Udhaifu au uimara wa Waziri wa Nishati na kukatika umeme uhusiano wao ni wa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji.
Tanesco ndiye mhusika na mtuhumiwa mkuu.
Kibaya kuliko kitu chochote ni pale umeme unapokatika kila siku, na watumiaji hawaambiwi sababu wala hawana mahali pa kutafuta taarifa.
Wateja wa Tanesco hawana hata mahali pa kueleza madhila yanayowafika.
Hii ni dharau kubwa sana kwa wateja wa Tanesco.
 
Mimi sio muumini wa watu Bali mifumo ya uongozi,unaweza kuwa kiongizi mzuri mfumo ukakukaba.....isijeikawa anchokisema Makamba akitaka kukiweka kwenye matendo,anakutana na mfumo
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa


MAKAMBA HII WIZARA IMESHAKUSHINDA IACHE KWA AMANI KABLA HAIJAKUHARIBIA ZAIDI
Ila yote Kwa yote TANESCO Rudisheni umeme Dumila
Wewe haupo dumila hii habari yako umeitunga. Wewe ni pro-Kalemani mnaumia sana kuona wizara ipo mikononi mwa mtu msiyempenda.
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa

Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa zaidi haswa upandaji wa mafuta huku akijisifu kupunguza kodi wakati mafuta yanapanda

Sasa Hili suala la umeme ndio limenifanya nimuone Waziri wa hovyo kuwahi kutokea sababu umeme umekuwa unakatika saana haswa Sisi wa mikoani kuwahi kutokea toka miaka 60 ya uhuru

Hali ya kuwa alitupa siku 10 suala la mgao Na ukatikaji wa umeme wa hovyo utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kama si kuisha. Ila cha ajabu ndio Kwanza spidi imeongezeka

Mfano hapa Dumila iliyopo Kilosa mkoa wa Morogoro yaani umeme unaweza katika hata Wiki mfululizo Na Tanesco Wapo Tu hata ukilalamika Hakuna lolote Na huku mtandaoni nimelalamika vya kutosha wanaishia kukuona takataka Na hata wakikujibu wanakwambia tunafanyia Kazi Ila hakuna lolote lile zaidi ya meseji zao za kukop na kupaste

Sasa binafsi naona kabisa hii wizara imemshinda Na haswa aliposema bungeni kuwa Waziri Kalemani alipewa miaka minne ndipo akafanya vizur hivyo naye tumpe Muda HIVI ANAJIELEWA KWELI?

Kwa nini asingeendelea mwenzake alipoishia au Na yeye kaanza upya ili tuamiani ile dhana ya Mzee wa 10%

MAKAMBA HII WIZARA IMESHAKUSHINDA IACHE KWA AMANI KABLA HAIJAKUHARIBIA ZAIDI
Ila yote Kwa yote TANESCO Rudisheni umeme Dumila
Alituhakikishia kwamba ndani ya wiki mbili suala la kukatika umeme lingebaki kuwa historia. Mambo yakawa kinyume cha hapo. Kabadilisha gia na kuweka historia ya watangulizi wake na kuwatwisha zigo hilo.
 
Sawa mkuu maana hata Leo tumelala bila umeme Na umerudi saa 2 Kamil asubuhi Sasa nimchukie Makamba kwa lip?

Simuwezi kwa Hela simuwezi kiuchawi Ila namzidi kimaarifa

Lingine SIO kila anayetoa hoja anachuki binafsi Ila kama una rafk au ndugu yupo Dumila Basi piga simu kuulizia hali ya umeme Na ukipata Majibu ukae kwa kutulia
Changamoto za Dumila zipo kila kona ya Tanzania. Maendeleo ni mchakato wa muda mrefu. Na suala la nishati siku zote ni nyeti sio kama masuala mengine.

Tuwe wavumilivu tu.
 
Changamoto za Dumila zipo kila kona ya Tanzania. Maendeleo ni mchakato wa muda mrefu. Na suala la nishati siku zote ni nyeti sio kama masuala mengine.

Tuwe wavumilivu tu.
Kwamba alipoingia alikuta umeme upo wa uhakika hata kama unakatika Ila Ni Kawaida Tu. Na Dumila ameikuta hata itokee nini Ila Ni ngumu kulala Giza yaani Ni suala lisilowezekana kutokana Na usalama wa Eneo husika

Halafu kuingia yeye Tu Mwanzoni Hali ilikuwa vizur Sana Ila baada ya Muda mchache Kata Kata ikaongezeka mwishowe kulala bila umeme ikaanza kuwa Hali ya kuzoeleka Na tumefikia kipindi tulikaa siku 4 mfululizo bila umeme yaani hata kurud Kwa dk Hakuna halafu unasema niwe mvumilivu wakati huo TRA ukiwaambia wanivumilie au mwenye pango anivumilie hataki ?

Swali Ni moja Kwa nini asingeendelea alipoishia Kalemani ?

Sisemi kuwa Kalemani alikuwa mzuri kihivyo la hasha ? Ila Kwa nini yeye kuingia kila kitu kimevurugika?

Na aliahidi Wiki 2 mgao ungekuwa Historia

Akaja akasema siku 10 Za ukarabati baada ya hapo kukatika katika kungepungua

Wakaona haitoshi Tanesco wakasema Morogoro tunaongeza siku 1 ili wanaotumia kituo cha Msamvu kukatika katika kutaisha Ila pamoja Na yooote hayo

Dumila Hali kila siku Ni kukata yaani ukiona umeme Dumila haukatiki katiki Basi ujue Ni haupo kabisa?

Na kama Hyo switch ya Dumila inasumbua si waifungie mipira kabsa itulie
 
Mimi sio muumini wa watu Bali mifumo ya uongozi,unaweza kuwa kiongizi mzuri mfumo ukakukaba.....isijeikawa anchokisema Makamba akitaka kukiweka kwenye matendo,anakutana na mfumo
Kama Kalemani aliweza...yeye anashindwaje!?
Hapo ndipo ubovu wake ulipo.
 
Kwamba alipoingia alikuta umeme upo wa uhakika hata kama unakatika Ila Ni Kawaida Tu. Na Dumila ameikuta hata itokee nini Ila Ni ngumu kulala Giza yaani Ni suala lisilowezekana kutokana Na usalama wa Eneo husika

Halafu kuingia yeye Tu Mwanzoni Hali ilikuwa vizur Sana Ila baada ya Muda mchache Kata Kata ikaongezeka mwishowe kulala bila umeme ikaanza kuwa Hali ya kuzoeleka Na tumefikia kipindi tulikaa siku 4 mfululizo bila umeme yaani hata kurud Kwa dk Hakuna halafu unasema niwe mvumilivu wakati huo TRA ukiwaambia wanivumilie au mwenye pango anivumilie hataki ?

Swali Ni moja Kwa nini asingeendelea alipoishia Kalemani ?

Sisemi kuwa Kalemani alikuwa mzuri kihivyo la hasha ? Ila Kwa nini yeye kuingia kila kitu kimevurugika?

Na aliahidi Wiki 2 mgao ungekuwa Historia

Akaja akasema siku 10 Za ukarabati baada ya hapo kukatika katika kungepungua

Wakaona haitoshi Tanesco wakasema Morogoro tunaongeza siku 1 ili wanaotumia kituo cha Msamvu kukatika katika kutaisha Ila pamoja Na yooote hayo

Dumila Hali kila siku Ni kukata yaani ukiona umeme Dumila haukatiki katiki Basi ujue Ni haupo kabisa?

Na kama Hyo switch ya Dumila inasumbua si waifungie mipira kabsa itulie
Mahitaji ya umeme huenda yakiongezeka na vyanzo hubaki pale pale, hapo ndio pa kuanzia.

Kumbuka kuwa miaka ya nyuma JPM alikuwa akiogopwa na watendaji wa TANESCO, kila mtu analinda ajira yake hivyo wakawa hawafanyii matengenezo miundo mbinu ya shirika lao.

Hakuna namna shirika litakuwa na uwezo wa kutoa huduma kwa ongezeko la wateja ili hali miundo mbinu haifanyiwi ukarabati mkubwa utakaoiwezesha kufanya kazi kulingana na wakati tuliopo.

Siasa ni nyingi kwa January Makamba, kama alivyosema apewe muda ili ahukumiwe kutokana na kuweza au kushindwa kulimudu shirika.
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa

Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa zaidi haswa upandaji wa mafuta huku akijisifu kupunguza kodi wakati mafuta yanapanda

Sasa Hili suala la umeme ndio limenifanya nimuone Waziri wa hovyo kuwahi kutokea sababu umeme umekuwa unakatika saana haswa Sisi wa mikoani kuwahi kutokea toka miaka 60 ya uhuru

Hali ya kuwa alitupa siku 10 suala la mgao Na ukatikaji wa umeme wa hovyo utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kama si kuisha. Ila cha ajabu ndio Kwanza spidi imeongezeka

Mfano hapa Dumila iliyopo Kilosa mkoa wa Morogoro yaani umeme unaweza katika hata Wiki mfululizo Na Tanesco Wapo Tu hata ukilalamika Hakuna lolote Na huku mtandaoni nimelalamika vya kutosha wanaishia kukuona takataka Na hata wakikujibu wanakwambia tunafanyia Kazi Ila hakuna lolote lile zaidi ya meseji zao za kukop na kupaste

Sasa binafsi naona kabisa hii wizara imemshinda Na haswa aliposema bungeni kuwa Waziri Kalemani alipewa miaka minne ndipo akafanya vizur hivyo naye tumpe Muda HIVI ANAJIELEWA KWELI?

Kwa nini asingeendelea mwenzake alipoishia au Na yeye kaanza upya ili tuamiani ile dhana ya Mzee wa 10%

MAKAMBA HII WIZARA IMESHAKUSHINDA IACHE KWA AMANI KABLA HAIJAKUHARIBIA ZAIDI
Ila yote Kwa yote TANESCO Rudisheni umeme Dumila
No way out. Makamba inabidi aendelee kuwa waziri nje ya hapo KIGOGO ataingia mitamboni kumchafua mama.
 
Kwamba alipoingia alikuta umeme upo wa uhakika hata kama unakatika Ila Ni Kawaida Tu. Na Dumila ameikuta hata itokee nini Ila Ni ngumu kulala Giza yaani Ni suala lisilowezekana kutokana Na usalama wa Eneo husika

Halafu kuingia yeye Tu Mwanzoni Hali ilikuwa vizur Sana Ila baada ya Muda mchache Kata Kata ikaongezeka mwishowe kulala bila umeme ikaanza kuwa Hali ya kuzoeleka Na tumefikia kipindi tulikaa siku 4 mfululizo bila umeme yaani hata kurud Kwa dk Hakuna halafu unasema niwe mvumilivu wakati huo TRA ukiwaambia wanivumilie au mwenye pango anivumilie hataki ?

Swali Ni moja Kwa nini asingeendelea alipoishia Kalemani ?

Sisemi kuwa Kalemani alikuwa mzuri kihivyo la hasha ? Ila Kwa nini yeye kuingia kila kitu kimevurugika?

Na aliahidi Wiki 2 mgao ungekuwa Historia

Akaja akasema siku 10 Za ukarabati baada ya hapo kukatika katika kungepungua

Wakaona haitoshi Tanesco wakasema Morogoro tunaongeza siku 1 ili wanaotumia kituo cha Msamvu kukatika katika kutaisha Ila pamoja Na yooote hayo

Dumila Hali kila siku Ni kukata yaani ukiona umeme Dumila haukatiki katiki Basi ujue Ni haupo kabisa?

Na kama Hyo switch ya Dumila inasumbua si waifungie mipira kabsa itulie
Jamaa una malalamiko ya msingi ila kuna wanaojidai vichwa ngumu hawataki kukuelewa.
 
Mahitaji ya umeme huenda yakiongezeka na vyanzo hubaki pale pale, hapo ndio pa kuanzia.

Kumbuka kuwa miaka ya nyuma JPM alikuwa akiogopwa na watendaji wa TANESCO, kila mtu analinda ajira yake hivyo wakawa hawafanyii matengenezo miundo mbinu ya shirika lao.

Hakuna namna shirika litakuwa na uwezo wa kutoa huduma kwa ongezeko la wateja ili hali miundo mbinu haifanyiwi ukarabati mkubwa utakaoiwezesha kufanya kazi kulingana na wakati tuliopo.

Siasa ni nyingi kwa January Makamba, kama alivyosema apewe muda ili ahukumiwe kutokana na kuweza au kushindwa kulimudu shirika.
Magu akaogopwa mpaka na mitambo na ndio maana Makamba alipo hojiwa alisema kwa kinywa chake "zamani umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara sababu kulikuwa hakuna schedule maintenance.........".

Juzi wabunge wamemuomba awape ripoti ya mantainace zilizokuwa zikifanyika miaka mitano iliyopita, anabaki anabwabwaja tu. Zamani kweli umeme ulikuwa unakatika ila sio kwa style hii ya Makamba sasa hivi too much.
 
Magu akaogopwa mpaka na mitambo na ndio maana Makamba alipo hojiwa alisema kwa kinywa chake "zamani umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara sababu kulikuwa hakuna schedule maintenance.........".

Juzi wabunge wamemuomba awape ripoti ya mantainace zilizokuwa zikifanyika miaka mitano iliyopita, anabaki anabwabwaja tu. Zamani kweli umeme ulikuwa unakatika ila sio kwa style hii ya Makamba sasa hivi too much.
Aliongelea schedule maintenance akiwa bado mgeni tofauti na hali alivyoikuta. TANESCO ni shirika linalohitaji kuwa na mshindani wa sekta ya nishati wao wenyewe wataendelea kulalamikiwa mpaka Mitume watakaporudi.
 
Aliongelea schedule maintenance akiwa bado mgeni tofauti na hali alivyoikuta. TANESCO ni shirika linalohitaji kuwa na mshindani wa sekta ya nishati wao wenyewe wataendelea kulalamikiwa mpaka Mitume watakaporudi.
Kwahiyo hii kauli yake ya "zamani umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara sababu kulikuwa hakuna schedule maintenance.........".

ALIROPOKA.
 
Kwani enzi za kalemani umeme ulikuwa haukatiki? ni lini Tanzania umeme ulikuwa haukatiki?, ni lini tanesco ilikuwa imara?.

Tusitake kumbebesha mtu mzigo kwasababu ya propaganda za kipumbavu kwa maslahi ya wajinga wachache..
Makamba mwenyewe alisema umeme ulikua haukatiki sababu ya kutishwa na kutokua na maintenance
Wewe unasema ulikua unakatika. Sasa hapo tuelewe vipi, mbona mnajichanganya wewe na makamba mwenyewe?
Unayemtetea ndio alituambua ulikua haukatiki
 
Wewe haupo dumila hii habari yako umeitunga. Wewe ni pro-Kalemani mnaumia sana kuona wizara ipo mikononi mwa mtu msiyempenda.
Kwa nini kila anayetoa dukuduku lake mnakimbilia kusema ana chuki kwa makamba?
Mbona watu wanapotoa dukuduku kuhusu maji hamsemi wana chuki na aweso?
 
Hii wizara inahitaji MTU mpigakazi asiechoka sasa kawekwa bishoo MTU anaongea kavaa Suti modo namikono mfukoni!!!
Makamba kama anapeeendwa sana atafutiwe wizara laini hapo nishati liwekwe jembe lakazi li"jidulamabambasi" Fulani hivi sio vichalii Fulani vibishoo vyamjini vitoto vya vigogo umeme ukikata anaona poa maana mashoo ndoyanamnogea hajui wagumu tuko viwandani tunakomaa nakazi!!!
Hii, nimeipenda harafu imenifanya nicheke saana, hadi hapa pembeni watu wamegeuka kunitazamana na kushangaa kwa mcheko.
 
Tukubal tukatae hii nchi ni masikin mno mno,kwahyo mambo kama haya ya umeme hatutayaweza kwa uchumi huu
 
Back
Top Bottom