Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

You are not serious dude..! Hata kama ni chuki hii yako imezidi, yaani unamlaumu Waziri wa Nishati kwa kupanda bei ya mafuta.? Unajua bei ya mafuta kwa sasa kwenye soko la Dunia?
Acha ukilaza
Ni bora ukae kimya
Zambia au rwanda wao wanachimba mafuta?
 
You are not serious dude..! Hata kama ni chuki hii yako imezidi, yaani unamlaumu Waziri wa Nishati kwa kupanda bei ya mafuta.? Unajua bei ya mafuta kwa sasa kwenye soko la Dunia?

Tatizo la Chadema ni elimu. Yaani hawajui hata Structure ya bei ya mafuta inapangaje.

Kuhusu kukatika umeme kajibu vizuri kabisa leo Bungeni.
 
Acha ukilaza
Ni bora ukae kimya
Zambia au rwanda wao wanachimba mafuta?

Onyesha ukilaza wangu kwa kuweka bei za leo za mafuta za huko ulipopataja na bei za leo za Tanzania. Ukishindwa wewe ndio RAISI wa CHAMA CHA VILAZA TANZANIA (CHAVITA)
 
Halafu ni tabia mbaya sana kwa waziri kujibu maswali ya mbunge au wabunge kama vile ni maswali ya mtu binafsi huko kwenye kantini ya bunge. Wabunge wa JMT wajibiwe kama wabunge wa JMT. Wabunge wa JMT ni wasemaji na wadhamini wa wananchi.
Kwa majibu ya jana, Makamba alitakiwa aachie ngazi. Inaonyesha hayupo tayari kubeba majukumu na dhamana na wizara.
Yeye anayaona maswali kama vile ni personal.
Maswali ya wabunge yanawakilisha maswali ya Wananchi wa JMT, Vyombo vya ulinzi na usalama, watumishi wa JMT, Walipakodi wakubwa wa JMT, Walipa kodi wadogo wa JMT, Wawekezaji ndani ya JMT, Wanaotaka kuja kuwekeza ndani ya JMT.
Maswali ya wabunge yachukuliwe serious.
Hakuna mtu mwenye shida na uwaziri wake.
Watanzania wanataka delivery.
 
Hakuna mtu anamchukia Samia wala Makamba.

Wanachotaka ni outcome tu.

Na kwake wananchi wanahitaji umeme.

Maswala ya kupendana au kuchukiana sidhani kama yana nafasi kwenye mambo ya msingi kama haya.
 
Kuishi Tanzania raha sana.

zipo sehemu ambazo sijawahi kuona umeme ukikatikatika japo naona baadhi ya watu kutoka maeneo mengine wanalalamika..

Tanzania hakuna siku ambayo mgao umeme uliisha tuache kudanganyana..

Shida kubwa ni miundombinu mibovu ya umeme, kutokuwa na back up ya vyanzo vingine vya umeme, wafanyakazi vilaza ndani ya Tanesco ambao wapo miaka nenda rudi.

Serikali iweke nguvu kwenye ujenzi wa Stieggler ili Taifa liwe na backup kwenye uzarishaji umeme, serikali iwekeze kwenye uboreshaji wa miundo mbinu ya umeme, Tanesco inadirishe mfumo wake wa kuajiri ( tuache kuajiri vilaza na kamlete, tuajiri based on exposure, competency na level of education), Tanesco ianze kuendesha shirika kibiashara na sio hizi blah, blah iwe na mtaji wake na budget zake yenyewe, watendaji wapimwe based on perfomance na walipwe pia based on their perfomace...
 
Uliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.

Makamba amelegea haswa, anapewa kero zinazoihusu wizara yake anajibu kama tatizo ni uwaziri au urais wa Samia, huyu jamaa anaficha udhaifu wake kwenye kivuli cha Rais, sasa wacha wote waangushiwe jumba bovu.
Inasikitisha sana kwakweli.
 
Sema makamba anajua kuongea na kupangilia maneno..unaweza kufikiri ni kiongozi mzuri..
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa

Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa zaidi haswa upandaji wa mafuta huku akijisifu kupunguza kodi wakati mafuta
Ulichelewa kumfahamu mtu huyu. Tangu aliposema anasubili crane yenye uwezo wa kuinua tani 27 itoke nje ya nchi, nilielewa usanii uko kwa anayeujua. Huyu ni msanii. Tahadhari kubwa sana kwetu ni kwamba watu wasiokuwa na aibu ya kuzungumza mambo wasiyoyajua, ni tatizo ktk jamii. Bahati mbaya huyu eti ni kiongozi wa Wizara.
 
Hakika imemshinda kwanza ana majibu ya hovyo anajibu kimajungu majungu kitu ambacho kama kiongozi hapaswi kufanya hiyo na kinachomponza ni kiongozi wa mitandao halafu anaonekana chief hangaya ni mtu wake kwa hiyo hatumtishi na hatuwezi kumfanya chochote.

katika sababu zote alizowahi kuzisema hakuna hata moja yenye ukweli ni porojo tu na wananchi tunateseka na umeme huwezi kucompare muda sijui nani kaka muda gani ni UJINGA uliopitiliza WANANCHI TUNAHITAJI UMEME WA UHAKIKA

ETI TUWAPE MUDA😕😕😕😕😕
 
Sijawahi kumuamini huyo jamaa, kifupi hana jipya
 
Back
Top Bottom