Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Ukimsikiliza ndani ya bunge alichoongea siku za karibuni ametoa maelezo very technical na way forward, labda tuamue tu kuwa wabishi ila kitalaam nimemuelewa sana..

Mwisho pia wa maelezo yake yakitalaam akawajibu mahasimu wake wa kisiasa na kutoa picha ya kinachoendelea kisiasa ndani ya CCM..

Kuna tatizo sasa hivi kwenye mifumo ambalo ni baya sana, Kuna watu ni Pro -JPM na wengine ni sukuma gang wanaoamini kwenye fikra za JPM kila alichosema na kufanya ni sahihi.... akija mtu mwingine na kusema hapa pamekosewa basi tayari ni tatizo, shida nyingine inayomuandama Makamba ni kuutaka kwake Urais na uswaiba wake na JK..

Makamba January ameeleza vizuri budget ya Tanesco kwenye R&M kwa miaka kadhaa, ukimsikiliza unapata picha R&M was poor na lilikuwa swala la muda tu, ameelezea uduni wa substations na distributions lines nk.....the speech was very clear and technically kwa wenye uelewa.....mengine ni siasa za kina msukumu na wengine dhidi yake baada ya ile reshuffle ya Makamba ndani ya Tanesco...
 
Makamba anatakiwa aeleze kwa kina mambo yote yanayokwamisha mradi wa bwawa la kufua umeme.
Pia aeleze kwa kina sababu zote zinazo sababisha umeme kukatika Mara kwa Mara na namna atakavyo shughulikia masuala hayo. Lakini kama atakuwa anatoa sababu moja leo baada ya hiyo kupatiwa ufumbuzi kesho anaibuka na nyingine hata, wale wanaomwamini watapata ukakasi
 
ukimsikiliza ndani ya bunge alichoongea siku za karibuni ametoa maelezo very technical na way forward, labda tuamue tu kuwa wabishi ila kitalaam nimemuelewa sana..

Mwisho pia wa maelezo yake yakitalaam akawajibu mahasimu wake wa kisiasa na kutoa picha ya kinachoendelea kisiasa ndani ya CCM..

Kuna tatizo sasa hivi kwenye mifumo ambalo ni baya sana, Kuna watu ni Pro -JPM na wengine ni sukuma gang wanaoamini kwenye fikra za JPM kila alichosema na kufanya ni sahihi.... akija mtu mwingine na kusema hapa pamekosewa basi tayari ni tatizo, shida nyingine inayomuandama Makamba ni kuutaka kwake Urais na uswaiba wake na JK..

Makamba January ameeleza vizuri budget ya Tanesco kwenye R&M kwa miaka kadhaa, ukimsikiliza unapata picha R&M was poor na lilikuwa swala la muda tu, ameelezea uduni wa substations na distributions lines nk.....the speech was very clear and technically kwa wenye uelewa.....mengine ni siasa za kina msukumu na wengine dhidi yake baada ya ile reshuffle ya Makamba ndani ya Tanesco...
Watu wanataka umeme siyo story.
 
ukimsikiliza ndani ya bunge alichoongea siku za karibuni ametoa maelezo very technical na way forward, labda tuamue tu kuwa wabishi ila kitalaam nimemuelewa sana..

Mwisho pia wa maelezo yake yakitalaam akawajibu mahasimu wake wa kisiasa na kutoa picha ya kinachoendelea kisiasa ndani ya CCM..

Kuna tatizo sasa hivi kwenye mifumo ambalo ni baya sana, Kuna watu ni Pro -JPM na wengine ni sukuma gang wanaoamini kwenye fikra za JPM kila alichosema na kufanya ni sahihi.... akija mtu mwingine na kusema hapa pamekosewa basi tayari ni tatizo, shida nyingine inayomuandama Makamba ni kuutaka kwake Urais na uswaiba wake na JK..

Makamba January ameeleza vizuri budget ya Tanesco kwenye R&M kwa miaka kadhaa, ukimsikiliza unapata picha R&M was poor na lilikuwa swala la muda tu, ameelezea uduni wa substations na distributions lines nk.....the speech was very clear and technically kwa wenye uelewa.....mengine ni siasa za kina msukumu na wengine dhidi yake baada ya ile reshuffle ya Makamba ndani ya Tanesco...
Hizo ni porojo tu za kisiasa, watu wanataka matokeo Chanya siyo maneno matupu, haingii akilini for more than 5 years hatukuwa na changamoto ya umeme then yeye ameingia mambo yamebadilika ghafla.

Utetezi anaotoa hau make sense hata kidogo, eti for 5 years service zilikuwa hazifanyiki ndio sababu umeme haukukatika. Kwa akili ya kawaida tu ni mfumo gani unaweza kuoperate kwa miaka 5 bila service.

Katika uongozi wake Kuna mambo mawili, kwanza inawezekana mfumo wake wa kuongoza ni too diplomatic kiasi kwamba wataalamu wanatake advantage kumlisha maneno yasiyokuwa na uhalisia kwa faida yao wenyewe.
Pili, inawezekana anajua kila kitu kinachoendelea na wanacheza michezo ya kutengeneza mazingira ya kuonyesha kuwa Kuna changamoto ya umeme ili waje na miradi yao ya dharula ya kifisadi.
 
ukimsikiliza ndani ya bunge alichoongea siku za karibuni ametoa maelezo very technical na way forward, labda tuamue tu kuwa wabishi ila kitalaam nimemuelewa sana..

Mwisho pia wa maelezo yake yakitalaam akawajibu mahasimu wake wa kisiasa na kutoa picha ya kinachoendelea kisiasa ndani ya CCM..

Kuna tatizo sasa hivi kwenye mifumo ambalo ni baya sana, Kuna watu ni Pro -JPM na wengine ni sukuma gang wanaoamini kwenye fikra za JPM kila alichosema na kufanya ni sahihi.... akija mtu mwingine na kusema hapa pamekosewa basi tayari ni tatizo, shida nyingine inayomuandama Makamba ni kuutaka kwake Urais na uswaiba wake na JK..

Makamba January ameeleza vizuri budget ya Tanesco kwenye R&M kwa miaka kadhaa, ukimsikiliza unapata picha R&M was poor na lilikuwa swala la muda tu, ameelezea uduni wa substations na distributions lines nk.....the speech was very clear and technically kwa wenye uelewa.....mengine ni siasa za kina msukumu na wengine dhidi yake baada ya ile reshuffle ya Makamba ndani ya Tanesco...

Hacha zako wewe maelezo gani ametoa ya maana Tangu ameingia kwenye wizara excuse zimekua nyingi full usanii na kutafuta Njia ya kupiga alianza na maji, crane , nyaya chakavu, servicing na sababu nyingi zisizo na maana za kiwizi wizi.

Hacha kuja kujitetea
 
ukimsikiliza ndani ya bunge alichoongea siku za karibuni ametoa maelezo very technical na way forward, labda tuamue tu kuwa wabishi ila kitalaam nimemuelewa sana..
Ukimsikiliza Makamba akatokea mtu akapinga ile taarifa lazima ukubali na kusema Bungeni hatuna watu Kule, kama mtu una mashaka na January si mnaomba Taarifa za Tanesco za miaka mitano.. yaani ameongea vitu ambavyo hata mtoto mdogo ana muelewa.
 
ukimsikiliza ndani ya bunge alichoongea siku za karibuni ametoa maelezo very technical na way forward, labda tuamue tu kuwa wabishi ila kitalaam nimemuelewa sana..

Mwisho pia wa maelezo yake yakitalaam akawajibu mahasimu wake wa kisiasa na kutoa picha ya kinachoendelea kisiasa ndani ya CCM..

Kuna tatizo sasa hivi kwenye mifumo ambalo ni baya sana, Kuna watu ni Pro -JPM na wengine ni sukuma gang wanaoamini kwenye fikra za JPM kila alichosema na kufanya ni sahihi.... akija mtu mwingine na kusema hapa pamekosewa basi tayari ni tatizo, shida nyingine inayomuandama Makamba ni kuutaka kwake Urais na uswaiba wake na JK..

Makamba January ameeleza vizuri budget ya Tanesco kwenye R&M kwa miaka kadhaa, ukimsikiliza unapata picha R&M was poor na lilikuwa swala la muda tu, ameelezea uduni wa substations na distributions lines nk.....the speech was very clear and technically kwa wenye uelewa.....mengine ni siasa za kina msukumu na wengine dhidi yake baada ya ile reshuffle ya Makamba ndani ya Tanesco...
Watu kama nyie ndio huwa mnanisababishia Ban!

Kwa akili hizi hushindwi kuuita uharo Pudding na ukalitetea hilo mbele ya kadamnasi licha ya harufu mbaya ya choo hiko!
 
Ukimsikiliza Makamba akatokea mtu akapinga ile taarifa lazima ukubali na kusema Bungeni hatuna watu Kule, kama mtu una mashaka na January si mnaomba Taarifa za Tanesco za miaka mitano.. yaani ameongea vitu ambavyo hata mtoto mdogo ana muelewa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Pro Makamba kumbe mpo wengi humu!

Huwezi kukwepa kuwajibika kulipa ada za wanao kwa kisingizio kuwa ulisimamishwa kazi. Oh mara mke alisema atalipa yeye ila hana kazi. You have to work your brains out to ensure hali ya maisha iko standard.

Kujificha kwenye Excuses hakuleti afya na tija.
 
Ukimsikiliza Makamba akatokea mtu akapinga ile taarifa lazima ukubali na kusema Bungeni hatuna watu Kule, kama mtu una mashaka na January si mnaomba Taarifa za Tanesco za miaka mitano.. yaani ameongea vitu ambavyo hata mtoto mdogo ana muelewa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Watu wanataka umeme kama walivyopewa na Kalemani.

Siasa za miundombinu wananchi haziwahusu.
 
Mbona Kalemani aliupata na Tanesco ni hiyo hiyo.

Wananchi wanataka umeme siyo ubishoo!

Kwani enzi za kalemani umeme ulikuwa haukatiki? ni lini Tanzania umeme ulikuwa haukatiki?, ni lini tanesco ilikuwa imara?.

Tusitake kumbebesha mtu mzigo kwasababu ya propaganda za kipumbavu kwa maslahi ya wajinga wachache..
 
kwani enzi za kalemani umeme ulikuwa haukatiki? ni lini Tanzania umeme ulikuwa haukatiki?, ni lini tanesco ilikuwa imara?.

Tusitake kumbebesha mtu mzigo kwasababu ya propaganda za kipumbavu kwa maslahi ya wajinga wachache..
Ulikuwa haukatiki.

Mwingine ukapelekwa hadi vijijini.

Wananchi wanataka umeme siyo janjajanja!
 
Kwanza alikwamishwa na Crain.
Baada ya Crain kuja, akasema bwawa lilijengwa with substandard.
Kama haitoshi akaja na swaga kwamba wakati anaingia wizarani alikuta mradi umechelewa kwa siku 400+
Baada ya kutusokota sanaaaaa...... mwisho amekuja na suluhisho la mradi wa umeme utakao gharimu dollars 1.9 billions.
Kwikkwwwiikkwwwwiiiiii[emoji1787][emoji12]
Mje huku jimboni kwake Bumbuli muone .... hajawahi kuja hata kutuona wananchi, hakuna alichokifanya tangu mwaka 2010 alipoanza kuchaguliwa....

Tukiwaambia hafai kuwa hata mbunge mkasema anafaa kiwa rais ajaye....

Hatujui hata anayempitisha kwenye hizo kura ni nani
 
Ataendelea kutuangusha, wizara hizi ilitakiwa zitolewe kwa merit sio favour matokeo yake ndio haya.
 
Watu kama nyie ndio huwa mnanisababishia Ban!

Kwa akili hizi hushindwi kuuita uharo Pudding na ukalitetea hilo mbele ya kadamnasi licha ya harufu mbaya ya choo hiko!

Ban utakuwa na shida nayo mwenyewe tu, labda utakuwa unahitajo kupumzika JF tu..

Technically maelezo ya Makamba bungeni yamejitosheleza, ameulizwa amejibu clear, aachwe apewe muda wa kutosha..ana miezi 4 ofisini, matatizo haya sio mapya kwenye hili shirika yapo miaka nenda rudi, tukiendekeza na kushabikia minyukano ya kisiasa bila fact hatutajenga..

umeshaambiwa budget ya R&M kwa miaka kadhaa ilikuwa kiasi gani, kifupi inaleta mwanga R&M haikuwa inafanyika effectively na matokeo yake ndio hizi frequent unplanned failures...hayo ni maelezo ya kitalaam na ukiwa muelewa utaelewa labda kama tumeamua kubishana tu..
 
Kwanza alikwamishwa na Crain.
Baada ya Crain kuja, akasema bwawa lilijengwa with substandard.
Kama haitoshi akaja na swaga kwamba wakati anaingia wizarani alikuta mradi umechelewa kwa siku 400+
Baada ya kutusokota sanaaaaa...... mwisho amekuja na suluhisho la mradi wa umeme utakao gharimu dollars 1.9 billions.
Kwikkwwwiikkwwwwiiiiii[emoji1787][emoji12]
Akiwa waziri wa Mazingira aliUKATAA MRADI HUU kwa kisingizio cha Unesco, bwana yule akamtumbua, si ajabu ni pippete wa kuuhujumu huu mradi. Lkn yupo mtu atakuja miaka hata iwe 100 ijayo na katiba itabadilishwa hata mifupa yake na kizazi chake itabidi IWAJIBISHWE.
CCM ni donda ndugu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom