Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Sasa ni rasmi January Makamba Waziri wa ovyo kuwahi kutokea kwenye sekta ya Nishati

Uliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.

Makamba amelegea haswa, anapewa kero zinazoihusu wizara yake anajibu kama tatizo ni uwaziri au urais wa Samia, huyu jamaa anaficha udhaifu wake kwenye kivuli cha Rais, sasa wacha wote waangushiwe jumba bovu.
Samia anapanga mawazir watakao msaidia 2025, JPM alimkumbatia makonda lkn dogo alizidi kuaribu hatimae akamtema , hivyo hivyo kwa Samia atamtema Tu Makamba 🤣
 
Huyu kaja kwa mission ya wamarekani na vitalu vya gas, hayo mambo mengine hayamhusu!
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa

Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira...
Yaani siku zote ulikuwa hujui kuwa ni mbabaishaji hadi leo ndipo uelewe?
 
Hii wizara inahitaji MTU mpigakazi asiechoka sasa kawekwa bishoo MTU anaongea kavaa Suti modo namikono mfukoni!

Makamba kama anapeeendwa sana atafutiwe wizara laini hapo nishati liwekwe jembe lakazi li"jidulamabambasi" Fulani hivi sio vichalii Fulani vibishoo vyamjini vitoto vya vigogo umeme ukikata anaona poa maana mashoo ndoyanamnogea hajui wagumu tuko viwandani tunakomaa nakazi!!!
 
Uliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.
...
Akaacha na kujibu suali la Msukuma kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere akawa anaongea ujinga.

Hii nchi ina watu wa ajabu sana.
 
Kalemani aliiweza hiyo wizara kuliko mawaziri wengi waliopita. Labda Professor Muhongo ndio angefananishwa naye.

Kama mama ni msikivu, amrudishe Muhongo au Kalemani pale wizara ya nishati.

Hawa majunior hawaezi kitu.

Mama amejaza cabinet yake majunior sana.

Watamuangusha. Chukua watu wenye unafiki mdogo kuliko hawa wasaka fursa na vyeo vya UPM na Urais.
 
Makamba ni mbunge wa CCM na kachaguliwa kuwa waziri na Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM - Sisi twasema CCM ni walewale, sasa kama mna ugomvi bac malizaneni huko kwa huko sisi hautuhusu.
Sawa lakini umeme unahusu watanzania wote
 
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa....
Wizara ya mazingira alitumbuliwa baada ya kuchelewa kupiga marufuku mifuko ya plastiki hadi akalazimishwa na JPM. Ni kilaza tu
 
Halafu ni tabia mbaya sana kwa waziri kujibu maswali ya mbunge au wabunge kama vile ni maswali ya mtu binafsi huko kwenye kantini ya bunge. Wabunge wa JMT wajibiwe kama wabunge wa JMT. Wabunge wa JMT ni wasemaji na wadhamini wa wananchi...
HAKIKA🙏🙏🙏🙏🙏.
 
Uliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.

Makamba amelegea haswa, anapewa kero zinazoihusu wizara yake anajibu kama tatizo ni uwaziri au urais wa Samia, huyu jamaa anaficha udhaifu wake kwenye kivuli cha Rais, sasa wacha wote waangushiwe jumba bovu.
Kweli kabisa
Sasa sijui nani alimwambia kuwa tatizo ni uwaziri wake ama Raisi
 
Kama wanalipwa vizuri, wanakula vizuri, wanalala vizuri, wanalindwa wanapoiba na wanatetewa wanapowaambia ukweli unadhani utendaji bora kwaajili ya Watanzania unawahusu?

Ukweli ni kwamba wanajua hata wakikata umeme mwezi mzima ili wafanye yale mnayojua wanayafanya hakuna mnaloweza kuwafanya, mtapiga kelele Maisha yenu yote.

Ukomavu wetu katika mambo mengi bado! si uzalendo, uchungu kwa wananchi hasa wanyonge na kubwa zaidi ni mfumo wa kuwapata hao viongozi.

HAWAWEZI TETEA MASLAHI YA TAIFA NI LAZIMA WATETEE MASLAHI MAPANA YA FAMILIA ZAO NA VIZAZI VYAO NDANI YA JAMII YA WATU WENYE UPEO MDOGO WA MAMBO
 
January unatutia aibu diaspora kwa kuwa mmoja wa diaspora ambao wamerudi Tanzania. Acha utamaduni wa kulaumu ni Chama hichohicho kimeweka watangulizi wako huwezi kusema nipeni miaka minne! kwani waziri alikuwa wa chama gani

Tuo suluhisho acha kulaumu wananchi wanataka umeme
 
Kwanza alikwamishwa na Crain.
Baada ya Crain kuja, akasema bwawa lilijengwa with substandard.
Kama haitoshi akaja na swaga kwamba wakati anaingia wizarani alikuta mradi umechelewa kwa siku 400+
Baada ya kutusokota sanaaaaa...... mwisho amekuja na suluhisho la mradi wa umeme utakao gharimu dollars 1.9 billions.
Kwikkwwwiikkwwwwiiiiii🤣😜
 
January3101 ^Ma-come-bar^ hakuna mtu ambaye hajamwangusha! Juzi alisema tatizo la umeme ni kwa vile cables walizotumia zina unakisi wa unene (less width), ndiyo maana umeme unakatika hovyo. Dah!
 
Back
Top Bottom