Sasa ni rasmi ukiwa Waziri Tanzania usipokuwa Bilionea umejitakia tu Mwenyewe kwa Ujinga wako

Sasa ni rasmi ukiwa Waziri Tanzania usipokuwa Bilionea umejitakia tu Mwenyewe kwa Ujinga wako

Kuwa na kiasi cha Pesa cha Kuanzia Shilingi Bilioni Moja katika Akaunti zao ni jambo la kawaida mno kama ilivyo katika Kushindana Kwao kuitafuta Shilingi Trilioni ili wawe na uhakika wa Maisha yao ya Kiujumla na Fedha ya uhakika ya kuwarejesha tena Bungeni kwa Kushinda katika Majimbo yao kila Uchaguzi Mkuu ukiwadia.

Mtakaonielewa GENTAMYCINE hasa kwa huu Uzi wangu kwa Kuusoma between the lines nawatakieni kila la kheri huku Mimi mifukoni mwangu kwa sasa nikiwa na Shilingi Elfu Moja tu na sijui hata nyingine nitaipata wapi kutokana na Maisha magumu na ya Dhiki Kubwa niliyonayo.

Ewe Mwenyezi Mungu fanya Maajabu yako Kwangu GENTAMYCINE ili nami Jina langu kamili la Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura lifike rasmi kwa Mteuwaji Rais Samia nami niwe Waziri ili haraka sana nianze kuitafuta Shilingi Milioni 500 kisha niwatafute Wenzangu wenye Shilingi Bilioni katika Akaunti zao kisha baadae nianze kuitafuta Trilioni kama wanavyoitafuta walioko sasa.
Anza na kuomba kazi ya ufagizi ofisi ya Lumumba ukiwa na kadi yako ya chama mfukoni, sasa hapo kuwa mchangamfu ukifika tu jifagilishe kwenye mlango mkuu na jitahidi kupokea mikoba ya mabosi waingiapo ofisini, usiwe na aibu watakuzoea tu. Kuna siku mmoja atakuita ofisini kutaka kukufahamu zaidi hspo sasa unaingia rasmi kwenye mfumo kwani utaeleza elimu yako na kilichokulazimisha kufanya kazi ya ufagizi, amini usiamini wiki haitapita utaingizwa kazi za ofisini, hapo sasa piga magwanda ya kijani kila siku. Rudi tena kwa aliyekuingiza ofisini mwombe ushauri jinsi ya kugombea nafasi za chini na ipi itakufaa kutokana na elimu yako japo kwa CCM si kigezo.
Nakutakia kila la kheri.
 
Kuwa na kiasi cha Pesa cha Kuanzia Shilingi Bilioni Moja katika Akaunti zao ni jambo la kawaida mno kama ilivyo katika Kushindana Kwao kuitafuta Shilingi Trilioni ili wawe na uhakika wa Maisha yao ya Kiujumla na Fedha ya uhakika ya kuwarejesha tena Bungeni kwa Kushinda katika Majimbo yao kila Uchaguzi Mkuu ukiwadia.

Mtakaonielewa GENTAMYCINE hasa kwa huu Uzi wangu kwa Kuusoma between the lines nawatakieni kila la kheri huku Mimi mifukoni mwangu kwa sasa nikiwa na Shilingi Elfu Moja tu na sijui hata nyingine nitaipata wapi kutokana na Maisha magumu na ya Dhiki Kubwa niliyonayo.

Ewe Mwenyezi Mungu fanya Maajabu yako Kwangu GENTAMYCINE ili nami Jina langu kamili la Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura lifike rasmi kwa Mteuwaji Rais Samia nami niwe Waziri ili haraka sana nianze kuitafuta Shilingi Milioni 500 kisha niwatafute Wenzangu wenye Shilingi Bilioni katika Akaunti zao kisha baadae nianze kuitafuta Trilioni kama wanavyoitafuta walioko sasa.
Funguka gentaa fungukaa.......
Kama ni hela njoo mamtoni tusaidiane kwenye majumba ya kutunza wazee......wakimaliza ubunge miaka 5 angalau mtafanana salio...na kama sio mtu wa starehe unaweza kuwazidi...inshaallaash
 
Kuwa na kiasi cha Pesa cha Kuanzia Shilingi Bilioni Moja katika Akaunti zao ni jambo la kawaida mno kama ilivyo katika Kushindana Kwao kuitafuta Shilingi Trilioni ili wawe na uhakika wa Maisha yao ya Kiujumla na Fedha ya uhakika ya kuwarejesha tena Bungeni kwa Kushinda katika Majimbo yao kila Uchaguzi Mkuu ukiwadia.

Mtakaonielewa GENTAMYCINE hasa kwa huu Uzi wangu kwa Kuusoma between the lines nawatakieni kila la kheri huku Mimi mifukoni mwangu kwa sasa nikiwa na Shilingi Elfu Moja tu na sijui hata nyingine nitaipata wapi kutokana na Maisha magumu na ya Dhiki Kubwa niliyonayo.

Ewe Mwenyezi Mungu fanya Maajabu yako Kwangu GENTAMYCINE ili nami Jina langu kamili la Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura lifike rasmi kwa Mteuwaji Rais Samia nami niwe Waziri ili haraka sana nianze kuitafuta Shilingi Milioni 500 kisha niwatafute Wenzangu wenye Shilingi Bilioni katika Akaunti zao kisha baadae nianze kuitafuta Trilioni kama wanavyoitafuta walioko sasa.
Ufisadi wa awamu ya sita ni wa kihistoria.umewakusanya wapigaji wote wa awamu ya nne na wapya kwa pamoja wanashindana kutafuna kodi zetu. Just imagine kiongozi anavaa saa ya shs 111m mkononi aliwapungia masikini wasiomudu milo miwili kwa siku ili wamshangilie!
 
Utakuwa fala ukiwa waziri wa sekta kama mawasiliano, biashara na viwanda, usafirishaji na uchukuzi, fedha, nishati na madini kisha ukose angalau billion 100 kwenye account zako katika utawala huu wa kambale 😂!!! Utakuwa fala mno.

Uwaziri ambao hauna mchongo ni wa Sanaa na utamaduni kule aliko ndugu yetu Mwinjuma Khamis. Labda nae aunde program inayomake sense ya kuchota billions of money.
.. Kule deal ni Perdiem Foreign... Kama alivyoenda kwenye mashindano yq Shule zw Msingi ya Afrika.. Ambako Fountain Gate walichukua ubingwa.. Na timu zilishiriki 4,Mechi ya nusu fainali na fainali ziliopigewa siku moja😁
 
Anza na kuomba kazi ya ufagizi ofisi ya Lumumba ukiwa na kadi yako ya chama mfukoni, sasa hapo kuwa mchangamfu ukifika tu jifagilishe kwenye mlango mkuu na jitahidi kupokea mikoba ya mabosi waingiapo ofisini, usiwe na aibu watakuzoea tu. Kuna siku mmoja atakuita ofisini kutaka kukufahamu zaidi hspo sasa unaingia rasmi kwenye mfumo kwani utaeleza elimu yako na kilichokulazimisha kufanya kazi ya ufagizi, amini usiamini wiki haitapita utaingizwa kazi za ofisini, hapo sasa piga magwanda ya kijani kila siku. Rudi tena kwa aliyekuingiza ofisini mwombe ushauri jinsi ya kugombea nafasi za chini na ipi itakufaa kutokana na elimu yako japo kwa CCM si kigezo.
Nakutakia kila la kheri.
Na ashone mashati atie nembo ya ❤SSH
 
Kweli kama waziri wa ardhi alisema alipigiwa simu akiulizwa million 300 itumwe kwenye namba gani na watu ambao wamejenga sheli sehemu ambayo sio sahihi naunga mkono hoja.
 
Anza na kuomba kazi ya ufagizi ofisi ya Lumumba ukiwa na kadi yako ya chama mfukoni, sasa hapo kuwa mchangamfu ukifika tu jifagilishe kwenye mlango mkuu na jitahidi kupokea mikoba ya mabosi waingiapo ofisini, usiwe na aibu watakuzoea tu. Kuna siku mmoja atakuita ofisini kutaka kukufahamu zaidi hspo sasa unaingia rasmi kwenye mfumo kwani utaeleza elimu yako na kilichokulazimisha kufanya kazi ya ufagizi, amini usiamini wiki haitapita utaingizwa kazi za ofisini, hapo sasa piga magwanda ya kijani kila siku. Rudi tena kwa aliyekuingiza ofisini mwombe ushauri jinsi ya kugombea nafasi za chini na ipi itakufaa kutokana na elimu yako japo kwa CCM si kigezo.
Nakutakia kila la kheri.
Pia kuna zile ziara zao kwenye vitengo, wakurugenzi watendaji kwa kujikomba kwao na kutaka kubaki kwenye madaraka hutoa bahasha za kaki kulingana na hadhi ya taasisi, pia kwa wale wanaokaimu nafasi ili wathibitishwe kuwa wakurugenzi wa taasisi zao nao wana mchezo wa kuwakirimu maboss wao ili wapendekeze majina na kuwa maboss, mkuu si mawaziri tu hata wakuu wa mikoa hakuna masikini wote na matycoon.
 
Utakuwa fala ukiwa waziri wa sekta kama mawasiliano, biashara na viwanda, usafirishaji na uchukuzi, fedha, nishati na madini kisha ukose angalau billion 100 kwenye account zako katika utawala huu wa kambale 😂!!! Utakuwa fala mno.

Uwaziri ambao hauna mchongo ni wa Sanaa na utamaduni kule aliko ndugu yetu Mwinjuma Khamis. Labda nae aunde program inayomake sense ya kuchota billions of money.
Unadhani hawali? Wanakula sana sema kiwango chao hakifikii hao wengine. Wanashirikiana na viongozi wa wizara kupiga fedha vibaya sana.
 
Tumbua tumbua sasa hivi hakuna,ni mwendo mpoto mpoto ukija kwenye upande wa halmashauri nako uozo mtupu,TRA,POLICE, UHAMIAJI ,MAHAKAMA,ni viwango vya pro max
 
Back
Top Bottom