OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Hahahaha mimi adi Chelsea ishinde 😂😂😂😂Mimi hadi liver ishinde 7 ndio nasikiliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha mimi adi Chelsea ishinde 😂😂😂😂Mimi hadi liver ishinde 7 ndio nasikiliza
Aisee hiyo Avatar ondoa, unatuaibisha sisi wana wa Israel na threads zako za kishambaBaada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.
Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.
Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.
Kazi ipo......!!!!!!
Ni muendesha/muongoza kipindi.Kwani lwambano ni mchambuzi
Saa 1 la michezo masaa mawili ni matangazoMuda wa kusikiliza redio masaa mawili kusikiliza kipindi cha Michezo unautoa wapi? Wew ni jobless?
Hapa ni wazi unatuambia kuwa Clouds inasikilizwa kwa kuwa wasikilizaji hawajaweza kufikiwa na mawimbi ya redio nyingine na sio kwa sababu ya ubora wa vipindi vyao.Sports Extra bado itaendelea kutamba kwa Maana Clouds wanasikika mikoa mingi zaidi yani kwa Tanzania bado Clouds ina wasikilizaji wengi kuliko E fm.
Hyo inaitwa both team to score
👍🏿Ahsante kwa taarifa...
Wote hawana substances kwenye content zao,huwa nasikilizia hivyo VIPINDI kipindi Cha usajili bongo na tukio Kama la Feisal,sababu wanakula na ubuyu flan wa siasa za mpira wetuBaada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.
Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.
Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.
Kazi ipo......!!!!!!
Wewe ni muongo sana kwasababu namna ya kuendesha hizo timu kwahuo mfumo alianza mzee mengi kutoa huo ushauriKiukwel hawa majamaa ni level nyingine kabisa
Kwanza kupitia kipindi chao wao ndo walishauri timu ziwe chache(16) ligi kuu kuleta ushindani
pia hao hao ndo walishauri huu mfumo mpya wa uendeshaji wa hiz timu zetu kubwa,simba waliwah kulichukua wazo mapema lakin yanga walichelewa kwasababu ya wazee wachawi kama Akilimali
Wewe kwani iyo mada umeambiwa na nani uilete?Sasa unamwambia nani na unataka tukusaidiaje labda? Umeulizwa? Miswahili bhana.....!!!!!
Nyie mnaofanya kazi hadi usiku ni waoga wa maisha,kazi mwisho jioni usiku ni muda wa kupumzika,au we ni kolokoloni nini?Muda wa kusikiliza redio masaa mawili kusikiliza kipindi cha Michezo unautoa wapi? Wew ni jobless?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa unamwambia nani na unataka tukusaidiaje labda? Umeulizwa? Miswahili bhana.....!!!!!
Naombea kipindi hicho yule SHOGA SAID asiwepo.Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.
Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.
Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.
Kazi ipo......!!!!!!