Sasa ni Vita rasmi ya Sports Extra ya Clouds FM dhidi ya E-Sports ya EFM Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5

Sasa ni Vita rasmi ya Sports Extra ya Clouds FM dhidi ya E-Sports ya EFM Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5

Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
Aisee hiyo Avatar ondoa, unatuaibisha sisi wana wa Israel na threads zako za kishamba
 
Sports Extra nakumbuka kiko 3 mpaka 4 usiku. Nina muda mrefu sana sijasikiliza redio aisee! Siku hizi ni mpaka saa 5.!
 
Sports Extra bado itaendelea kutamba kwa Maana Clouds wanasikika mikoa mingi zaidi yani kwa Tanzania bado Clouds ina wasikilizaji wengi kuliko E fm.
Hapa ni wazi unatuambia kuwa Clouds inasikilizwa kwa kuwa wasikilizaji hawajaweza kufikiwa na mawimbi ya redio nyingine na sio kwa sababu ya ubora wa vipindi vyao.

Ni ile unalazimika kula chakula kibovu cha mama lishe kwa kuwa unakula kwa mkopo, ila ungekuwa na pesa ya kutosha ungekula chakula kizuri sehemu nyingine.
 
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
Wote hawana substances kwenye content zao,huwa nasikilizia hivyo VIPINDI kipindi Cha usajili bongo na tukio Kama la Feisal,sababu wanakula na ubuyu flan wa siasa za mpira wetu
 
Kiukwel hawa majamaa ni level nyingine kabisa

Kwanza kupitia kipindi chao wao ndo walishauri timu ziwe chache(16) ligi kuu kuleta ushindani

pia hao hao ndo walishauri huu mfumo mpya wa uendeshaji wa hiz timu zetu kubwa,simba waliwah kulichukua wazo mapema lakin yanga walichelewa kwasababu ya wazee wachawi kama Akilimali
Wewe ni muongo sana kwasababu namna ya kuendesha hizo timu kwahuo mfumo alianza mzee mengi kutoa huo ushauri
 
Muda wa kusikiliza redio masaa mawili kusikiliza kipindi cha Michezo unautoa wapi? Wew ni jobless?
Nyie mnaofanya kazi hadi usiku ni waoga wa maisha,kazi mwisho jioni usiku ni muda wa kupumzika,au we ni kolokoloni nini?
 
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
Naombea kipindi hicho yule SHOGA SAID asiwepo.
 
Back
Top Bottom