Sasa ni wakati wa kuianika mikataba yote ya Magufuli kama wao walivyoanika mkataba wa Bandari ya Bagamoyo na mingineyo

Sasa ni wakati wa kuianika mikataba yote ya Magufuli kama wao walivyoanika mkataba wa Bandari ya Bagamoyo na mingineyo

Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Sidhani kama serikali inahitaji kufanyia kazi maneno ya mitandaoni,na kama wewe ni mmoja ktk viongozi yamkini ni mbunge tutaenda kusema bungeni huko

Tunachojua JPM alikua kiongozi shupavu na tutamkumbuka,hatuamini kama aliweza kua na makando kando

Nje na hivyo utakua unatupigia kelele tu
 
Sidhani kama serikali inahitaji kufanyia kazi maneno ya mitandaoni,na kama wewe ni mmoja ktk viongozi yamkini ni mbunge tutaenda kusema bungeni huko

Tunachojua JPM alikua kiongozi shupavu na tutamkumbuka,hatuamini kama aliweza kua na makando kando

Nje na hivyo utakua unatupigia kelele tu
Lazima tuipitie kwa masilahi ya Taifa.
 
Tena huyu ndiye kasaini mikataba lukuki bila hata bunge kuridhia. Ifumuliwe yote hasa ile itakayobainika kuwwumiza wananchi.
Ifumuliwe yote - tuanze na kufumua ukuta wa Mererani, ukuta wote uondolewe na matofali wawagawie wananchi. Baadae tufumue SGR yote maana ujenzi wake umeumiza wananchi, barabara ya mbezi ibaki lane moja tu, wote waliovunjiwa majumba warudishwe wajenge sehemu zao, wagawiwe kifusi kitakacho toka kwenye lane nyingine zitakazo vunjwa.
Ndege zipigwe mnada zote, maana ni maendeleo ya vitu si watu! Tusiishie kufumua mikataba tu tufumue vyote vilivyojengwa na hiyo mikataba. Tuanze alifu! Demokrasi itakuwa imetamalaki!
 
20210320_205744.jpg

Kisiachwe kitu hadi gharama ya juisi ya Ukwaju kutoka Madagaska ili Wazalendo wa Nchi hii tujiridhishe
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Hilo ni sawa
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
maoni yako ni sahihi kwa kiasi kikubwa ila unakosea kusema walivunja mkataba wa Bagamoyo kwani ule mkataba ulikuwa jaujakamilia kisheria. Serikali baada ya kuangalia terms za mktaba huo ndipo ikajitoa: siyo kuwa walivunja mkataba uliokuwa umekukwisha pita, bali waliamua kutokuusaini mkataba huo.
 
maoni yako ni sahihi kwa kiasi kikubwa ila unakosea kusema walivunja mkataba wa Bagamoyo kwani ule mkataba ulikuwa jaujakamilia kisheria. Serikali baada ya kuangalia terms za mktaba huo ndipo ikajitoa: siyo kuwa walivunja mkataba uliokuwa umekukwisha pita, bali waliamua kutokuusaini mkataba huo.
Magufuli alikosea sana kuziweka zile details za mkataba wazi... It was a blow in the asss kwa JK...

Sasa zamu yake imefika.. Sadly enough he is gone. Hamtaamini nawaambia.
 
Magufuli alikosea sana kuziweka zile details za mkataba wazi... It was a blow in the asss kwa JK...

Sasa zamu yake imefika.. Sadly enough he is gone. Hamtaamini nawaambia.
Zile details hazikuwa na privacy yoyote na wala hakukuwa na implications yoyote kwa Kikwete, kwani zilikuwa bado ni proposals tu kabla ya kufikia makubaliano. Inawezekana kabisa kuwa hata Kikwete mwenyewe angezikataa!!
 
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Mkuu umeandika mengi ila ni upupu mtupu. Hao unaosema wamejitokeza ni kutaka kuhakikisha kuwa mweli kaondoka.

Ile misafara yote na mitutu ya bundiki haikuwa kitu mbele ya kifo. Alifikiri walinzi wote wale wangeweza kumkinga na kifo. Ninyi ndiyo mjitafakari ktk hilo.

Aliwananga sana watangulizi wake juu ya mikataba. Sasa tunahitaji mikataba yake nayo iwe wazi ili tuchekeche. Je alikuwa na uhalali wa kuwananga watangulizi wake??
 
Siku hizi hamna chochote mnachojua bali ni uchawi tu.
Labda msubili huyu mama kama atakwama mpate pa kupumlia
Mbona mnatoa povu?? Kwani ni vibaya kujua alichofanya mzalendo wetu,shuja wetu!!. Ni wakati sahihi kuwajua wanufaika wa utawala iliopita kama ulivyofanya utawala wake kuwatumia kina msiba kuwatanaza kina makamba jr kwamba n majizi. Vivyohivyo tunataka kujua ukwel wa mikataba hiyo ni haki yetu.
 
Zile details hazikuwa na privacy yoyote na wala hakukuwa na implications yoyote kwa Kikwete, kwani zilikuwa bado ni proposals tu kabla ya kufikia makubaliano. Inawezekana kabisa kuwa hata Kikwete mwenyewe angezikataa!!
Zilichapwa kwenye magazeti au kuwa posted mtandaoni!??

They were deeply private.. Na ndo maana Magu alizitumia kupatia kiki... Kila akijisikia tu anaisoma..

Zamu yake imefika.
 
Hapo ndo Uwezo wenu wa kufikiria ulipoishia, wengi mnajiona mmesoma na kuelewa kumbe ni mateka wa fikra za elimu ya kidhalimu ya mkoloni.

Wengi wenu Barabarani Mnaonekana wenye utimamu wa akili kumbe kwa Ubungo ni empty minded, idiots & fools.

Mnajua kutamba nyuma ya keyboards but on the ground ZEROS.

Acheni Magufuli apumzike kwa Amani kwa Kazi Kubwa aliyoifanya Just for 5' yrs Consecutivelly.
 
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Vipi kuhusu familia ya saa8, Azory, Mawazo, Lissu Akwilina, waliopotea??? Nchi ilipalaganyika machache mkawa na sauti yakuamua mambo nyeti ya Nchi bila utaratibu wananchi tunahitaji mtu atakae-harmonize upepo huo kurudisha umoja na upendo. Sgr,hospital, Barbara havina maaana kama hakuna haki na upendo.
 
Niliuwaga muumini mzuri wa Upinzani,baadae niliona ni Usanii mtupu umewajaa! Sasa hivi JK kageuka kuwa Malaika kwao. Kweli JPM aliwanyoosha.
Kma ulikua upinzani basi ulikua liability..... Shida ya upinzani na JPM ni kuzuia mawazo mbadala kupitia vyama vya upinzani na media shida ilianzia hapo. Ni sawa na Rwanda tu kagame amepiga kazi kuliko hata JPM ila anachukiwa sababu tu ya kutumia mabavu kwenye kila kitu. Kwa staili hii utawapa watu maendeleo huku ukijenga chuki kubwa na baadhi yao.

Sasa kma ww hukuona hilo tatizo basi niseme tu ulikua liability upinzani maana kule ni ideology sio ushabiki.
 
Zilichapwa kwenye magazeti au kuwa posted mtandaoni!??

They were deeply private.. Na ndo maana Magu alizitumia kupatia kiki... Kila akijisikia tu anaisoma..

Zamu yake imefika.
Ninaishi Marekani takriban miaka 30 sasa. Serikali za huku (federal na state) zinafanya mikataba mingi sana na makampuni, taarifa inayotoka kwa waalipa kodi ni kuhusu malengo ya mradi, muda wa kukamilisha mradi huo, gharama za mradi wenyewe, na contractor aliyepewa mradi. Na ni kwamba contractor akimaliza kudeliver, kimsingi anaondoka labda anabaki kwa muda ule wa warranty tu!

Mradi wa Bagamoyo ulikuwa na washirika watatu, jambo ambalo ndilo lilikuwa baya kabisa; ilitakiwa kuwe na washirika wawili tu, yaani serikali na contractor, ile yule mshirika wa kati yaani financier alikuwa anaharibu kabisa maana ya mikataba ya miradi ya ujenzi!
 
Hapo ndo Uwezo wenu wa kufikiria ulipoishia, wengi mnajiona mmesoma na kuelewa kumbe ni mateka wa fikra za elimu ya kidhalimu ya mkoloni.
Mind you huyo JPM alisoma elimu ya mkoloni hadi kupewa PhD.... Na hata hyo pacemaker aliyowekewa ni kupitia elimu na vifaa vya mabeberu!!

Open Governance Initiative na hata rasimu ya warioba zina ruhusu mikataba iwe wazi kwa ajili ya review bungeni on behalf ya wananchi. Sasa mnapopinga wanaohoji mikatana tuwaeleweje? Yaani mnajiita wazalendo afu mnapinga uwajibikaji? Au ndio mnataka kumfanya JPM hakuwa erroneous hta kipunje?
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Mikataba sawa na manunuzi yote pia
 
Back
Top Bottom