Sasa ni Wakati wa wazee wa CCM kumshauri Rais Samia

Sasa ni Wakati wa wazee wa CCM kumshauri Rais Samia

si kwa CCM hii ndugu, hiyo ni hoja ya kufikirika - Kwa katiba hii hakuna sehemu yoyote ile ambayo Rais atawajibika kwa lolote lile.
Hata angewatukana zaidi ya hapo kwamfano agewaita wasenge hawawezi kujiuzuri hi ni bongo ukijiuzuri ni kama kujimaliza kiuchumi.......
 
hii itakuwa hadithi ya mwendawazimu.ni hawa mawaziri njaa wa nchi hii ambao wengine walisema waliokotwa majalalani.
 
Back
Top Bottom