Sasa ni zamu ya Urusi kuokoa raia wao katika mji wa Kharson, Ukrean inapania kuchukua jimbo la Kharson lilonyakuliwa na mavamizi

Sasa ni zamu ya Urusi kuokoa raia wao katika mji wa Kharson, Ukrean inapania kuchukua jimbo la Kharson lilonyakuliwa na mavamizi

Wapi anakimbia? Yaani kuhamisha raia ili wasipatwe na madhara ya vita ni kukimbia, uelewa wako upo sawa uje uniambie wakiikomboa hio miji
Wanawahamisha halafu wanawapeleka Urusi kwa nguvu, huo ni uhalifu wa kivita, Putin ameamua kuwa gaidi, atashughulikiwa ipasavyo..

Yaani anaiba wananchi wa nchi nyingine, huyu jamaa ni hopeless.
 
Wanawahamisha halafu wanawapeleka Urusi kwa nguvu, huo ni uhalifu wa kivita, Putin ameamua kuwa gaidi, atashughulikiwa ipasavyo..

Yaani anaiba wananchi wa nchi nyingine, huyu jamaa ni hopeless.
Babu Putin kachanganyikiwa,Yani anaintroduce martial law kwenye maeneo ambayo hajayakamata,hiki ni kichekesho kingine kama kile cha referendums
 

Screenshot_20221019-230555_RT News.jpg
Screenshot_20221019-224915_RT News.jpg
 
Huyo huyo anaetegemea ndege za Iran atampiga nani huyo? Wameshaikimbia miji waliyodai wameichukua, hovyo kabisa!
Pro Russia ni kama waliokuwa wafuasi wa Kibwetere kule Uganda.Yani hata kama jambo lipo wazi kabisa utawaona wanaruka ruka na vijisababu vya uwongo na kweli ili mradi tu wakanushe kitu kilicho wazi.
 
Pro Russia ni kama waliokuwa wafuasi wa Kibwetere kule Uganda.Yani hata kama jambo lipo wazi kabisa utawaona wanaruka ruka na vijisababu vya uwongo na kweli ili mradi tu wakanushe kitu kilicho wazi.
Safari hii imekula kwao..
 
Kwasababu tu hujui, NATO wanachanganyikiwa kwanini hatumii arsenal yake anaamua kununua, usidhani hana akili.

Stock is full anasubiri NATO waingie ulingoni ndio ujue mziki wake.

Ndio maana toka hii OPS inanze westerners wanalalamika Russia anatumia silaha za zamani.

Can you imagined ile meli ya Russia ni ya miaka ya 1950's 😅😅😅
NATO mbona ameshaingia mda sana unataka NATO amtangazie Urusi kwamba Niko Ukraine we jamaa ni mjinga
 
Mpya zote zinatumika mara chache na kwa kazi maalum....ila mapambano ya kila siku anatumia za zamani tu.........angesema atumie mpya na aweke mziki wote kavita kangeisha mapema na tungekosa ladha sie washabiki

Mpya zote zinatumika mara chache na kwa kazi maalum....ila mapambano ya kila siku anatumia za zamani tu.........angesema atumie mpya na aweke mziki wote kavita kangeisha mapema na tungekosa ladha sie washabiki wake
Ushabiki kwenye roho za wafu👎🏿
 
BBC Homepage

Skip to content

Accessibility Help

Sign in

More menu

Search BBC

BBC News

Menu

World

Africa

Asia

Australia

Europe

Latin America

Middle East

US & Canada

Under-pressure Putin 'doubles down' with security decree

Published

6 hours ago

Share

Related Topics

Russia-Ukraine war

[https://ichef]IMAGE SOURCE,REUTERS

By Steve Rosenberg

Russia Editor

Vladimir Putin is under growing pressure.

His "special military operation" has not gone according to plan. As a result of the Ukrainian counter-offensive, Russia has been losing territory it had occupied.

Meanwhile, Russian regions bordering Ukraine have been coming under sustained shelling.

What's more, the Kremlin's announcement last month of "partial mobilisation" sparked widespread alarm in Russian society.

President Putin's response? It's not, "Sorry, I made a huge mistake by invading Ukraine." It is tighter security. Not just in occupied Ukraine, but across Russia.

He's doubling down.

With a Kremlin decree, Vladimir Putin has imposed martial law in the four Ukrainian regions he claims to have annexed: Luhansk, Donetsk, Zaporizhzhia and Kherson regions.

It's not clear what difference, if any, that will make there: it certainly won't persuade Ukrainian troops to lay down their weapons. Kyiv is determined to win back lost territory.

But the Kremlin leader has also tightened security across Russia, with the introduction of three different security levels.

In those regions close to the border with Ukraine, such as Belgorod, Bryansk, Krasnodar and Rostov regions, as well as in annexed Crimea, a "medium level of response" has been declared. Measures include boosting security and public order: the decree also envisages restrictions on the movement of traffic, as well as on entry into and exit from these regions.

The next level down is "heightened readiness". This applies to central and southern regions of Russia, including Moscow. The presidential decree mentions "vehicle searches and traffic restrictions", as well as "tighter public order security".

In a message on social media, Moscow's Mayor Sergei Sobyanin tried to reassure Muscovites that "there will be no measures restricting the normal rhythm of life". That remains to be seen.

The lowest security level applies to the rest of the country (in effect, northern Russia, Siberia and the Russian Far East.)

[https://ichef]IMAGE SOURCE,AFP VIA GETTY IMAGES

Image caption,

Belgorod is one of the areas on the highest security level

To carry out President Putin's decree, all regional governors have been ordered to set up "operational headquarters". These will include the heads of each region, representatives of the military and the police.

Regional governors have also been ordered to "meet the needs of the Armed Forces of the Russian Federation, other troops and troop formations". This would appear to hand the Russian military greater powers.

How will all of this work in practice? It may take some time for that to become apparent.

What is clear is that the security system President Putin has put in place can be used by the authorities to restrict freedoms across Russia and mobilise efforts for the "special military operation".

And if the security situation in Russia deteriorates, there's nothing to prevent regions being "upgraded" to a higher security level, including martial law.

What does this tell us about the Russian president?

There's no sign that Vladimir Putin is seeking an off-ramp in this crisis. What we do see - with this decree - is a Kremlin leader determined to keep control.

More on this story

What is Vladimir Putin thinking and planning?

7 days ago

[https://ichef]

Russians start leaving Ukraine's Kherson city

6 hours ago

[https://ichef]

A rare glimpse of daily life in occupied Ukraine

3 October

[https://ichef]

Related Topics

Russia-Ukraine war

Russia

Vladimir Putin

Ukraine

Top Stories

LIVE.

UK home secretary quits and MPs in fracking vote chaos

Under-pressure Putin 'doubles down' with security decree

Published

6 hours ago

Ukrainian troops under close gunfire. VideoUkrainian troops under close gunfire

Published

4 hours ago

Features

Can Bolivia's women inspire change in US Congress?

[https://ichef]

What these buzzwords say about Xi's China

[https://ichef]

'Hyenas are scavenging on the victims of war'

[https://ichef]

The 800-day US visa wait causing India despair. VideoThe 800-day US visa wait causing India despair

[https://ichef]

Can a non-Gandhi Congress chief take on India PM Modi?

[https://ichef]

What makes Nashville a magnet for entrepreneurs? VideoWhat makes Nashville a magnet for entrepreneurs?

[https://ichef]

Fuel protests gripping more than 90 countries

[https://ichef]

How Iran state TV tries to control story of protests. VideoHow Iran state TV tries to control story of protests

[https://ichef]

'A tragic plane crash; a stain on football's reputation'

[https://ichef]

Elsewhere on the BBC

How emotional cheating destroys couples

[https://ichef]

A controversial archaeological find

[https://ichef]

The US' puzzling, paranormal mystery

[https://ichef]

Most Read

1Under-pressure Putin 'doubles down' with security decree

2James Webb telescope spies 'Pillars of Creation'

3Kherson exodus and Putin letters to Berlusconi - Ukraine round-up

4Sweden ditches 'feminist foreign policy'

5Russians start leaving Ukraine's Kherson city

6What the world is saying about UK turmoil

7Five hours' sleep is tipping point for bad health

8MPs allege bullying during chaotic fracking vote

9Netflix’s big hits reverse subscriber losses

10Vodka and lovely letters: Berlusconi's gifts from Putin

BBC News Services

On your mobile

On smart speakers

Get news alerts

Contact BBC News

Home

News

Sport

Reel

Worklife

Travel

Future

Culture

Music

TV

Weather

Sounds

Terms of Use

About the BBC

Privacy Policy

Cookies

Accessibility Help

Parental Guidance

Contact the BBC

Get Personalised Newsletters

Why you can trust the BBC

Advertise with us

AdChoices / Do Not Sell My Info

[emoji2398] 2022 BBC. The BBC is not responsible for the content of external sites. Read about our approach to external linking.
 
Kwasababu tu hujui, NATO wanachanganyikiwa kwanini hatumii arsenal yake anaamua kununua, usidhani hana akili.

Stock is full anasubiri NATO waingie ulingoni ndio ujue mziki wake.

Ndio maana toka hii OPS inanze westerners wanalalamika Russia anatumia silaha za zamani.

Can you imagined ile meli ya Russia ni ya miaka ya 1950's [emoji28][emoji28][emoji28]
Nimesoma nikaishia hapo "west wanalalamika russia kutumia silaha za zamani" nimechek sana.
Wanalalamika au ndio wanafurahi?
 
Back
Top Bottom