Sasa nimeamini JKT hakuna na Chuo ni September/October

Kama chuo ni september/october kwa nini TCU hawajakanusha kuhusu tuhuma hizi mpaka sasa kama kweli ratiba iko palepale?
ukiona kimya ujue kuna kitu kinaendelea behind the scene.!
let us wait tuone nn kinafuata.
 

Nakuunga mkono asilimia mia nane mkuu..
 
Kama chuo ni september/october kwa nini TCU hawajakanusha kuhusu tuhuma hizi mpaka sasa kama kweli ratiba iko palepale?
ukiona kimya ujue kuna kitu kinaendelea behind the scene.!
let us wait tuone nn kinafuata.

like..! TCU inabd watoe nao tamko kma JKT walivyotoa
 
Kama chuo ni september/october kwa nini TCU hawajakanusha kuhusu tuhuma hizi mpaka sasa kama kweli ratiba iko palepale?
ukiona kimya ujue kuna kitu kinaendelea behind the scene.!
let us wait tuone nn kinafuata.

na kama chuo ni january mbona hawajasema chochote kuwa chuo ni january!
 

sources say Raisi katoa amri watoto wote waape tarehe 28, kwahiyo 29 na 30 mwezi huu wote makwao.
Pia kuna vyuo tayari vimeandika first year watapokelewa september.
Na tanzania haipo tayari kwa mabadiliko makubwa kielimu kama ya january badala ya september.
Ila cha msingi ni msubiri tu taarifa kamili itoke msije kufa kwa presha bado vijana.
 
na kama chuo ni january mbona hawajasema chochote kuwa chuo ni january!

ndo tusubir TCU nao watoe tamko! Ila co mbaya tukiwa tunaliongelea hlo swala kila cku coz ndo mda unasogeaa! Mpaka tujue hatma yake ! Binafs cna tatzo twende/tusiende baridaaa, coz serikal n ile ile mja iliyoamuaaa/iliyopanga
 

ni kweli hata mie walinieleza hvo hvo kuwa mwisho wao jesh ni tarehe 28 August
 
admission will out soon after official aproval,,b patient! tokeo soon soon xaxa iv laja tena funguen a/c zenu ovyo from 2mor mjionee..
 
Kama chuo ingekuwa january tcu wasingeharakisha selection kiasi hiki wanafanya hivi ili watu wajipange mapema kwenda chuo sept, kuna chuo kama mwenge nilisoma Almanac yao first year wanatakiwa kuanza kuripoti 15/9 vijana jiandaeni kupiga pasi ndefu.
 
Kama chuo ingekuwa january tcu wasingeharakisha selection kiasi hiki wanafanya hivi ili watu wajipange mapema kwenda chuo sept, kuna chuo kama mwenge nilisoma Almanac yao first year wanatakiwa kuanza kuripoti 15/9 vijana jiandaeni kupiga pasi ndefu.

tuombe mungu na mkopo tupate ila tukukikosa majanga
 
Kama chuo ingekuwa january tcu wasingeharakisha selection kiasi hiki wanafanya hivi ili watu wajipange mapema kwenda chuo sept, kuna chuo kama mwenge nilisoma Almanac yao first year wanatakiwa kuanza kuripoti 15/9 vijana jiandaeni kupiga pasi ndefu.

kumbuka kuwa huyo almanac zipo karibia vyuo vyote na zilikua fixed toka mwaka jana na hii changes inaanza mwaka huu jua hilo.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…