Sasa nimeamini JKT hakuna na Chuo ni September/October

lile tangazo la jkt lillosema kuna awamu ya 3 kwenda jkt n kuwapa moyo ili wajue kuwa na sisi 2liobak kuwa 2taenda lakn ukwl kuwa hakuna jkt awamu ya 3 kwa huu mwaka kwaiyo chuo n sept au oct

ndiyo! Tangazo halifafanui kwa uwazi
 
hakuna ukweli wowote jeshi ni september kwa awamu ya tatu na chuo ni january

watawaweka kambi ngapi waenee watu 20000! Halafu ka hujui 2nd intake wameambiwa tarehe 28 mwezi huu wanahitimu hivyn wamepunguziwa kama mwezi mmoja hivi sa wewe unazani kwa nini wamepunguziwa mda...

Tafakari...
 
Acheni uoga vijana,,jeshi ni kawaida tu inabidi muende kuwa na uzalendo na nchi yenu frm AG4222 naongea hapa
 
Usiwaulize wale waliopo kwenye kozi,hawawezi kukupa majibu ya ukweli maana wale wameshadata na mafatiki ya jkt.
 
Usiwaulize wale waliopo kwenye kozi,hawawezi kukupa majibu ya ukweli maana wale wameshadata na mafatiki ya jkt.

hata tetesi za uwepo wa 2nd intake ilianza kuvuja toka waliokuwa kozi ya 1st intake kabla ht ya oficial information!
 
Chuo january haiwezekani kwa sababu kuna vyuo vya private vinategemea wanafunzi (wakiwemo wapya)kujiendesha hivyo vitakosa mapato na kushindwa kujiendesha
2;idadi iliyobaki ni kubwa
3;Tcu isingeharakisha selection
4;Budget ilishapitishwa.
 
admission will out soon after official aproval,,b patient! tokeo soon soon xaxa iv laja tena funguen a/c zenu ovyo from 2mor mjionee..
wewe unastahili kwenda JKT ukafundishwe na jinsi ya kuandika!!
 
Usiwaulize wale waliopo kwenye kozi,hawawezi kukupa majibu ya ukweli maana wale wameshadata na mafatiki ya jkt.

Umenivunja mbavu asee.Hata mi nikiongea nao huwa nahisi wamedata,labda zile wiki za kesha zimewadatisha.
 
Haya maswala dah!mara jkt,tcu,loan body.Jana nimeenda hosptal nimeambiwa ninataka kuwa na presha.Hakika nayalaani haya majina
 
Haya maswala dah!mara jkt,tcu,loan body.Jana nimeenda hosptal nimeambiwa ninataka kuwa na presha.Hakika nayalaani haya majina
Kijana una matatizo na sio madogo una pressure mambo ya kawaida sana na madogo kama hayo alafu bado mwanafunzi ukifika chuo itakuwaje unawe 2 out of 15 test, assignment haziendi mwalimu amekupa supplimentary haujielewi elewi si ndo utakufa kabisaa..
 
Kuna ukweli ndani yake kwamba Chuo kwa wahitimu wa form six waliokidhi viwango na vigezo vya kujiunga vyuoni this Sept, hii inatokana na aina ya Mafunzo ya Vijana waliopo jkt awamu ya pili.
Mfano.
Awamu ya kwanza time table yao ya mafunzo haikuwa ngumu sana kama hii.
Jkt ruvu (mdau kanijuza) wao kwa siku moja wanafanya vipindi karibia vinne kama ifuatavyo;
Asubuhi wanapiga kwata za pass out,baada ya chai wana soma silaha.
Mchana baada ya lunch wanasoma mbinu za kivita.
Jioni hawana Mabio wanaingia tena darasani.

Hali kama hii pia imejitokeza MGAMBO JKT, wao baada ya kuvuna mahindi na ufuta ndio wakaanza mafunzo na pia ile mikesha wao hawana ni bandika bandua ya vipindi hasa kwata za pass out.

KWA MANTIKI HII Unaona kuwa kama chuo ingekuwa ni Jan, Mwakani jeshi lisingekuwa na haraka ya kumaliza mafunzo kiasi hicho.
Kwakuongezea pia vijana waliopo Jkt ruvu tarehe 7 mwezi huu walipewa pass wakarekebishe maombi yao kama Tcu ilivyotangaza kwa second appl.

HIVYO YAFAA KUWA NA SUBIRA MAANA NDANI YA TAIFA HILI LOLOTE LAWEZA TOKEA.
NB:
Ni vyema kwa wahitimu kuendelea kujuzana kwa thread kama hii na sio kurusha hapa tetesi ambazo hazina mbele wala nyuma.SHUKRANI ZA DHATI KWA MLETA MADA.
 
Haya maswala dah!mara jkt,tcu,loan body.Jana nimeenda hosptal nimeambiwa ninataka kuwa na presha.Hakika nayalaani haya majina

Ni kwasababu unakurupuka, jaribu kuhusianisha matendo yako na ubongo wako hakika tatizo lako litakwisha.
 

haina shaka mkuu tuko pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…