Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ni ngumu sana kupata mwanamke ambaye.
1. Ana akili
2. Ana rangi nzuri
3. Ana sura nzuri
4. Ana body nzuri
5. Anajiheshimu
Nimeshauriwa hapo nioe wanawake tofauti tofauti kama watano au zaidi kulingana na sifa.
Unakuta dada mzuri ila hana akili. So huyu nakuwa naye kipindi kile nahitaji tu burdani. Na mwenye akili unakuta hana shape. Huyu namtumia napotaka kukaa kujadiliana mambo ya akili.
Anayejiheshimu, mwenye busara, msafi, ana miguu, ana kiuno, ana matako, ana sura nzuri, ana rangi nzuri. Hawa wote natakiwa kuwa nao kulingana na mahitaji husika.
Sasa nmeelewa kwani ipo hivyo.
1. Ana akili
2. Ana rangi nzuri
3. Ana sura nzuri
4. Ana body nzuri
5. Anajiheshimu
Nimeshauriwa hapo nioe wanawake tofauti tofauti kama watano au zaidi kulingana na sifa.
Unakuta dada mzuri ila hana akili. So huyu nakuwa naye kipindi kile nahitaji tu burdani. Na mwenye akili unakuta hana shape. Huyu namtumia napotaka kukaa kujadiliana mambo ya akili.
Anayejiheshimu, mwenye busara, msafi, ana miguu, ana kiuno, ana matako, ana sura nzuri, ana rangi nzuri. Hawa wote natakiwa kuwa nao kulingana na mahitaji husika.
Sasa nmeelewa kwani ipo hivyo.