The Last Man Standing
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 475
- 525
Kama kweli ulikuwa hujaelewa Tofauti hizi basi wewe utakuwa ulikuwa na matatizo ya uelewa hata Shuleni ( kama ulipitia HUKO any way). Mbona tofauti ni kubwa na ziko bayana? Ulichelewa wapi kutambua hili Mkuu.Acha uongo braza haukusaidii chochote