Sasa tuhamasike, kuwa na akaunti za Benki ni rahisi. Miamala ya simu gharama hazivumiliki

Sasa tuhamasike, kuwa na akaunti za Benki ni rahisi. Miamala ya simu gharama hazivumiliki

Vip wale wanao tumia airtel money na mpesa application kwenye smart phone vip nao wataanza kukwata kwenye kutuma pesa??? Na hayo makato mapya yanaanza lin?????

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Yeye kama waziri wa technojia ni lazima apitie mambo yote ya mawasiliano kwa ivo hii inamhusu kwa kiasi kikubwa!! Au lawama ziende kwa nani mkuu?
Ndungulile amebanwa mbavu, lawama kwa waziri wa fedha Mwiguru Nchemba kwa kuongeza Kodi kwenye miamala ya simu katika bajeti ya 2021/2022.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
The struggle is real

Sijui nani atasikiliza kilio hiki Ndugulile wizara haimfai 99.9%%
Tatizo mnalizunguka, ni Tume ya uchaguzi imetuletea viongozi hawa.
Mnhangaika na mtu mmoja. CCM yote inashiriki ktk hili.
Mungu ametuondolea masisi wa haya Ila bado hajatuondolea genge zima yaani CCM
 
Uzuri wake hii haichagui wewe ni chama gani!! Ccm hoyee!!
Ilaaniwe CCM na ma kandokando yake.
 
Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa.

Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga internet banking ambayo ukienda cafe nusu saa 500 unafanya muhamala kwa Bei rahisi.

Gari pia nauza siwezi kununua mafuta.
Internet bank ni nafuu kweli ila kwa benki kama CRDB hawataki kabisaa watu wajiunge na hiyo huduma kwakuwa inawakosesha mapato, niliomba hiyo huduma kwa mara ya kwanza, nilijibiwa baada ya miezi 6 kupita. Mfumo wao ukazingua, nikaenda wa-reset password tu, nikakalishwa kwenye foleni siku nzima, ikapita miezi 6 tena, kwenda kuulizia tena, wakanipa fomu nijaze upya, kimbembe kikawa kwenye sahihi, wanasema haifanani na niliyosaini miaka 10 nyuma, kuwa kuna tofauti kidogo hivyo hawawezi kunipa hiyo huduma mpaka nipige sahihi kama ile.

Nikaona sio kesi, nitakapofikia maamuzi, i will kiss them good bye
 
Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa.

Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga internet banking ambayo ukienda cafe nusu saa 500 unafanya muhamala kwa Bei rahisi.

Gari pia nauza siwezi kununua mafuta.
Huku ndo kukuza biashara kwa madokta wetuu.
Nasema uwongo nguguzanguuu?
 
Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa.

Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga internet banking ambayo ukienda cafe nusu saa 500 unafanya muhamala kwa Bei rahisi.

Gari pia nauza siwezi kununua mafuta.
Kifuatacho ni ongezeko la wizi majumbani na utekaji mavazi na magari kwa tarajio la kupita hela. Ujio wa miamala ya mitandao na utitiri wa benki ulishawishi watu kuacha kutunza pesa kwenye vibubuna kusafiri nazo. Kwa makato makubwa haya watu wanarudi utaratibu wa awali, japo ni majanga.
 
The struggle is real

Sijui nani atasikiliza kilio hiki Ndugulile wizara haimfai 99.9%%
Huyo ndungulile mtamlaumu bure tu, washauri wenyewe wa rais ndo hawa wakina mwigulu wapenda sifa wanaoutaka urais kwa njia yoyote ile, Na Akina Mpango waliokua wanatumia nguvu kukusanya mapato,.
 
View attachment 1846638

Tozo hizi hakika ni kubwa Sana na hazibebeki. Zitafanya watu wengi sana sasa waache kufanya miamala kwa njia za simu. Tutapanga foleni benki na tutapeana fedha mkononi.

Hata kama mpokeaji yupo mkoa jirani ni bora kupanda basi ukampelekea hiyo milioni moja kuliko kuituma.

Mfano nauli ya kwenda na kurudi
Moro-Dar, Mwanza-Shinyanga, Mwanza-Geita, Mwanza - Mara, Mbeya- Iringa, Mtwara-Lindi, Dar- Tanga, Tabora -Kigoma, Dodoma-Singida, n.k haizidi Shs 20,000/= wakati kutuma kwa simu hata mtaa wa pili tu ni Shs 31,000/=

Kama chaguzi zingekuwa zinafanyika kihalali ccm wangekuwa wanawaogopa wananchi na hivyo wangekuwa wanapanga mipano isiyowaumiza wananchi kama hivi.

Anyway, tunahitaji katiba mpya
Inaumiza sana.tutakuwa tunapeana pesa mkono kwa mkono maana haya ni maumivu makubwa sana.pesa hakuna mtaani alafu iingie hyo mkate pakubwa hvyo.hapana kabisa.
 
Inaumiza sana.tutakuwa tunapeana pesa mkono kwa mkono maana haya ni maumivu makubwa sana.pesa hakuna mtaani alafu iingie hyo mkate pakubwa hvyo.hapana kabisa.
Yaani inakatwa hela kubwa utadhani ulikopa kwa riba
 
Back
Top Bottom