Umeona mkuu. Yaan hii hapana kabisaMkuu mara Mia upande basi tu
31800 kwa mil moja nauli ya Dar ni 7000 kwenda na kurudi 14000 dah wacha turudi kwenye ujima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona mkuu. Yaan hii hapana kabisaMkuu mara Mia upande basi tu
31800 kwa mil moja nauli ya Dar ni 7000 kwenda na kurudi 14000 dah wacha turudi kwenye ujima
Hii serikali inacheza na maisha ya watu aiseeNchi iliyolaaniwa
Yaani utafikiri ulikuwa umekopa unataka kulipa interest!!
Hatuna serikali kabisa
Ndungulile amebanwa mbavu, lawama kwa waziri wa fedha Mwiguru Nchemba kwa kuongeza Kodi kwenye miamala ya simu katika bajeti ya 2021/2022.Yeye kama waziri wa technojia ni lazima apitie mambo yote ya mawasiliano kwa ivo hii inamhusu kwa kiasi kikubwa!! Au lawama ziende kwa nani mkuu?
Tatizo mnalizunguka, ni Tume ya uchaguzi imetuletea viongozi hawa.The struggle is real
Sijui nani atasikiliza kilio hiki Ndugulile wizara haimfai 99.9%%
Internet bank ni nafuu kweli ila kwa benki kama CRDB hawataki kabisaa watu wajiunge na hiyo huduma kwakuwa inawakosesha mapato, niliomba hiyo huduma kwa mara ya kwanza, nilijibiwa baada ya miezi 6 kupita. Mfumo wao ukazingua, nikaenda wa-reset password tu, nikakalishwa kwenye foleni siku nzima, ikapita miezi 6 tena, kwenda kuulizia tena, wakanipa fomu nijaze upya, kimbembe kikawa kwenye sahihi, wanasema haifanani na niliyosaini miaka 10 nyuma, kuwa kuna tofauti kidogo hivyo hawawezi kunipa hiyo huduma mpaka nipige sahihi kama ile.Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa.
Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga internet banking ambayo ukienda cafe nusu saa 500 unafanya muhamala kwa Bei rahisi.
Gari pia nauza siwezi kununua mafuta.
Huku ndo kukuza biashara kwa madokta wetuu.Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa.
Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga internet banking ambayo ukienda cafe nusu saa 500 unafanya muhamala kwa Bei rahisi.
Gari pia nauza siwezi kununua mafuta.
Sasa nashawishika kukubali kwamba 3Phd + 2Pro = MsukumaHuku ndo kukuza biashara kwa madokta wetuu.
Nasema uwongo nguguzanguuu?
Kifuatacho ni ongezeko la wizi majumbani na utekaji mavazi na magari kwa tarajio la kupita hela. Ujio wa miamala ya mitandao na utitiri wa benki ulishawishi watu kuacha kutunza pesa kwenye vibubuna kusafiri nazo. Kwa makato makubwa haya watu wanarudi utaratibu wa awali, japo ni majanga.Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa.
Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga internet banking ambayo ukienda cafe nusu saa 500 unafanya muhamala kwa Bei rahisi.
Gari pia nauza siwezi kununua mafuta.
Daktari wa binadamu na tahama wapi na wapi! Utawala pekee anaojua ni kusimamia wagonjwa, na mgonjwa hana kauli. Akiambiwa vua nguo, hana swali.The struggle is real
Sijui nani atasikiliza kilio hiki Ndugulile wizara haimfai 99.9%%
Huyo ndungulile mtamlaumu bure tu, washauri wenyewe wa rais ndo hawa wakina mwigulu wapenda sifa wanaoutaka urais kwa njia yoyote ile, Na Akina Mpango waliokua wanatumia nguvu kukusanya mapato,.The struggle is real
Sijui nani atasikiliza kilio hiki Ndugulile wizara haimfai 99.9%%
Inaumiza sana.tutakuwa tunapeana pesa mkono kwa mkono maana haya ni maumivu makubwa sana.pesa hakuna mtaani alafu iingie hyo mkate pakubwa hvyo.hapana kabisa.View attachment 1846638
Tozo hizi hakika ni kubwa Sana na hazibebeki. Zitafanya watu wengi sana sasa waache kufanya miamala kwa njia za simu. Tutapanga foleni benki na tutapeana fedha mkononi.
Hata kama mpokeaji yupo mkoa jirani ni bora kupanda basi ukampelekea hiyo milioni moja kuliko kuituma.
Mfano nauli ya kwenda na kurudi
Moro-Dar, Mwanza-Shinyanga, Mwanza-Geita, Mwanza - Mara, Mbeya- Iringa, Mtwara-Lindi, Dar- Tanga, Tabora -Kigoma, Dodoma-Singida, n.k haizidi Shs 20,000/= wakati kutuma kwa simu hata mtaa wa pili tu ni Shs 31,000/=
Kama chaguzi zingekuwa zinafanyika kihalali ccm wangekuwa wanawaogopa wananchi na hivyo wangekuwa wanapanga mipano isiyowaumiza wananchi kama hivi.
Anyway, tunahitaji katiba mpya
Yaani inakatwa hela kubwa utadhani ulikopa kwa ribaInaumiza sana.tutakuwa tunapeana pesa mkono kwa mkono maana haya ni maumivu makubwa sana.pesa hakuna mtaani alafu iingie hyo mkate pakubwa hvyo.hapana kabisa.
Hana huo uwezoNafikiri kodi wanazotozwa ndio zinapelekea gharama zote hizi. Ndungulile kama ana uwezo wa asaidie