The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Tuhuma uchwara kiaje wakati hayo yote yako kwenye ripoti za CAG..,kana kwamba haitoshi hata mwaka juzi ripoti ya CAG ilikuwa mbaya mkaanza kuropoka eti wanataka kufuta legacy, pumbavu..Kuna kitu serikali inatafuta, inaruhusu tuhuma uchwara ili kuchafua serikali.
Upumbavu kama huu unaotetea hauna afya kwa Nchi Kwa sababu ni nyie kenge ndio mlizuia media kuikosoa serikali na hivyo kutoa mwanya kwa wizi mlioufanya.
Jana umesikia bil.222 wazalendo wa Chato mumetafuna toka 2017