DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Kwahiyo wewe ukiona mtu mweupe tu unajua mwarabu 😁 halafu ukisema mwarabu anambagua mtu mweusi ukajua ndio tabia zao basi moja kwa moja umefeli, hiyo ni nafsi ya mtu hata waafrika, wazungu, wahindi wapo wanaobagua race zingine, sometimes uwe unajiongeza na usiwe mtu wa kujiona unaonewa onewa.
Wewe unachuki sana na waarabu na uislamu kwa ujumla na huo ndio ukweli wenyewe, na sijui lini utabadilika, na hata watoto wako wasije wakarithi roho yako.
Wewe unachuki sana na waarabu na uislamu kwa ujumla na huo ndio ukweli wenyewe, na sijui lini utabadilika, na hata watoto wako wasije wakarithi roho yako.