Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Mtu mweusi ni takataka tu mbele za watu wote duniani.
Hawaelewi hata black Americans hawampendi mwafrika. Muite Jamaica,Haiti,aka Caribbean people wenye asili ya black kuwa wewe Ni muafrika atakumaindi Ile mbaya.
Hata Mayweather alisema yeye Ni mmarekani why wamuite African American wakati Kuna aliyetoka Germany hawamuiti Europe American
 
Comment ya kubabe sana hii

Ova
Mwafrika anashindwa kutibu mwafrika mwenzake like mtt mpaka apewe chochote uelewe.
Afrika inahitajika kutawaliwa. Viongozi huduma muhimu wameshindwa kuwapa wananchi wake ,Ila wanawaza kula na kusaza na kuua na wasipewe changamoto. Na hela zipo, somehow a half
 
Hebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu.

Jitafakari.

Cc: FaizaFoxy MK254 THE BIG SHOW
Mtoa sadaka anafanya kwa utashi wake binafsi, hajatumwa na dini.
Pia ukienda kuomba siyo lazima upewe, biblia imeandika asiyefanya kazi na asile.
Hujui maandiko wee mgalatia?
 
Yesu kristo anaamini katika Uislamu wewe unamfuata yesu yupi???

Na Pengine clip hiyo ni ya kutengeneza ili tu kuwachafua waarabu/waislamu waendelee kuchukiwa na nchi za kikafiri, kwa wayahudi weusi wamewapata akina Dr Matola PhD n.k 😁, si unajua tena nchi za kiislamu zinavyopitia wakati mgumu dhidi ya mayahudi na wamagharib!
Hapa brain wash imefanya kazi yake vizuri, Yani ukiona Mwarabu unatetemeka kabisa.

Inawezekana hujui kama kuna Waarabu Wakristo.
 
Mtu mweusi ni takataka tu mbele za watu wote duniani.
U kweli mchungu, bila kujisimamia lazima utadharauliwa tu, vijana wa Senegal wameanza vzr, kama huna kitu lazima utadharauliwa tu,
Hiyo clip, ni fupi kuweza kujua nini kilipelekea hiyo Hari kutokea, may be walivuka mstari,
 
Kwa Mwarabu mtu yeyote mweusi ni Kafir tu.

Waarabu wote wanaamini mtu mweusi amelaaniwa, hili wala siyo jambo la Siri.

Ni mawazo yako tu, na unajaribu kutumia nguvu kubwa kuwavuta wajinga/waarabu wachukiwe ila umefeli, na kwakua upo katika GIZA huwezi elewa chochote, ila umekaririshwa, na watoto wako utawakaririsha vivyo hivyo na kuwamezesha sumu kama baba alivyo, pole sana.
 
Waarabu walikuja Africa na wakaeneza uislam kwa waafrika, Sasa kama wangekuwa watu weusi wamelaaniwa wangeeneza uislam?
Dini haikuwa target yao, target yao kuu ilikuwa pembe za ndovu Kwa cover ya kueneza dini ambayo wanajuwa wazi wala haimuhusu mtu mweusi/Mwafrica.

Wahehe Leo viazi Lao la asili NI la Kiarabu Kwa sababu Chifu Mkwawa Mkwavinyika alikuwa ni rafiki wa Waarabu alifanya nao biashara ya pembe za ndovu Raha na Waarabu walimletea bunduki na manguo ya Kiarabu ambayo sasa ndio vasmi rasmi la asili la wahehe, lakini ukweli halisi ni vazi la Waarabu rafiki zake Chief Mkwawa.
 
Hebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu.

Jitafakari.

Cc: FaizaFoxy MK254 THE BIG SHOW
Dini ya kiislamu sio dini ya kiarabu. Hata wa Israel pia warabu na hakuna taifa lenye roho mbaya duniani kama wao, wa Israeli. Kuthibitisha hili, fuatiria kwanin walifukuzwa Uganda na idi amin na Hitler aliwafukuza pia ujerumani. Alafu, mmoja aki fanya kosa haimaanishi wote ni waasi. Kila mmoja ana nafsi yake na ataadhibiwa kwa dhambi zake, sio dhambi za jamii yake. Kwa upande mwingine, kweli hao washenzi wana tabia mbaya kuliko ivyo unavyoona, ila kumbuka tu dini ya kiislamu sio dini ya kiarabu. Mwisho, binadamu kuwa n roho mbaya ni kawaida.
 
Mimi sitetei Papa wala kipapa, hapa issue watu weusi tuache kuabudu hawa watu.

Ndugu zetu Congo wanakufa kinyama Jirani tu hapo, lakini mswahili yuko bize na Free Please.

Stupid.
Upo sahihi..kuna ile nyingine Kadinali mweusi anarukwa na Papa bila kupewa Salamu.
Mwenye nayo aiweke pia ili tuweke uzani sawa, kwamba watu weupe tunaowaabudu na kufuata Ibada zao tunajipendekeza
 
Back
Top Bottom