Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hawaelewi hata black Americans hawampendi mwafrika. Muite Jamaica,Haiti,aka Caribbean people wenye asili ya black kuwa wewe Ni muafrika atakumaindi Ile mbaya.Mtu mweusi ni takataka tu mbele za watu wote duniani.
Hata Mayweather alisema yeye Ni mmarekani why wamuite African American wakati Kuna aliyetoka Germany hawamuiti Europe American