Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Hapa brain wash imefanya kazi yake vizuri, Yani ukiona Mwarabu unatetemeka kabisa.

Inawezekana hujui kama kuna Waarabu Wakristo.
Nawauliza wakristo wote kuanzia wewe muha na mkristo mwenzio mwarabu mzungu mchina mhindi mlatini na wakristo wenzio wote duniani, na kama unajua kuwa kuna waarabu wakristo inawezekana hata huyo kwenye video akawa mkristo,
Usilazimishe kufananisha tabia mbaya na dini ya uislamu
 
Kwani wewe hujaona Video ya Papa akimbagua Askofu mweusi wakati Maaskofu wazungu walipewa hug/mabusu shavuni alivofika kwa Mweusi nini kilitokea? Tena uyu Papa wa Mambo yaleeeeeee
Ndio maana tunasema, ukristo na uislamu ni dini za kipuuzi.
 
Sasa utanifundishaje kitu hukijui nimekuuliza we unaweza kusoma kiarabu ukasema hapana sasa utanifundishaje??
Hivyo vitu vipo na vimeandikwa unabisha tu mana kwa tamaduni zetu Africa vinakinzana na utu ila ndo ukweli kwamba wao jamaa matendo maovu kwa binadamu wengine ndio njia nyoofu ya kuingia pepo..
 
Mbona sasa magaidi yanaua ili kusimamisha dini?
 
Nimeipenda hii
 
Hiyo ni tabia tu ya mtu mmoja wala haiusiani na uwarabu wake. Sawa na wizi wa Mali ya Uma unaoendelea kwenye nchi yetu huwezi sema jamii yote ya watanzania ni wezi.
 
Huku kwetu, "naam" anaitika mwanaume/mtoto wa kiume.

Wewe ukiitwa itika kwa namna ya kwetu, au huko uliko wanawake mnaitika "naam"?
Nilitalajia aitike Bee, anyway huwezi kujuwa hii ndio JF labda hiyo ni ID ya taasisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…