Sasa zamu ya akina dada ikitokea fursa kuchagua mume hapa Jf utamchagua nani?

Kuwa famous raha wengine tunavuta sharubu tu [emoji23] [emoji23] wengine wanapiga beat et msiponitaja ntawatumbua [emoji23] [emoji23]
 
watu mnatoka nje ya mada kweli humu vilaz*a
 
Duh, hapa ndo ule msemo wa unampenda asiyekupenda unatimia. Yani kwenye ile thread inayofanana na hii wanaume wamewataja sana tena kwa kugombaniana, lakini huku zamu yenu mmeamua kukimbia!!!!!???? Mje muwataje huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…