Sasa zamu ya akina dada ikitokea fursa kuchagua mume hapa Jf utamchagua nani?

Nimetajwa na nani sasa, mwanaume hutakiwi kuwa muoga hivyo.
haaaaa tena unataka kutugombanisha nitarudi kujenga kambi ujue japo wewe wa wengiπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Niliemfikiria ameshatajwa!! bora nikae kimya!! imagine ametajwa tu na roho imeniuma lol.
 
jf mna mambo kweli kweli humu hamuishi vituko hahahahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…