Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Cyber law zipo na adhabu zake.Ila huyo SATIVA ni mashine ya matusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cyber law zipo na adhabu zake.Ila huyo SATIVA ni mashine ya matusi.
Hatari sanaHii nchi ishakuwa mbaya, ukiwakisoa viongozi unatafutwa utolewe uhai..!!
Kweli! Chongo anaona kengeza...!Mtu chake
Mara nyingi nikiangalia picha ya huyu mtu, kwa jicho la tatu, huyu ameanza kutafunwa na nafsi yake. Damu alizomwaga ni nyingi sana. Hana raha ya kipato anachopata, watoto wake wanalipiwa kwa fedha ya damu za watu masomo yao hayana baraka ya Mungu. Mkewe akivaa akadhani kapendeza ni mavazi ya damu za watu.Nitaweka mfulizo wa posts za Sativa kutoka kwenye ukurasa wake wa Twitter akimshutumu ZCO Faustine Mafwele kuwa ndiye kinara wa utekaji na uuaji unaotekelezwa na taasisi za Serikali dhidi ya wakosoaji/ wanaharakati wa siasa.
1. Namna alivyomtambua ZCO MAFWELE
View: https://x.com/Sativa255/status/1833929192569790685?t=BVXlaYncA5lCPAmQwUV_tg&s=19
Click to expand...
Kusema ukweli ningekuwa mimi ndiyo Sativa, sasa hivi ningekuwa nakesha kwenye nyumba za ibada hata ya matambo na bifu ningeachana nayo
Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi
First Prev2 of 3Next Last
- Thread starterStuxnet
- Start date44 minutes ago
- Tagsfaustine mafwele mafwele sativa
Subscribe
•••
[IMG alt="Stuxnet"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/37/37228.jpg?1571598149[/IMG]
Stuxnet
JF-Expert Member
12. Yuko tayari kwa lolote katika battle hii
View: https://x.com/Sativa255/status/1834160655663772095?t=i7DBdZVnB5Bmb7O9mO37WQ&s=19
Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Lucha"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/502/502767.jpg?1708874513[/IMG]
Lucha
JF-Expert Member
Naamini huyo Mafwele atamtafuta Sativa wakiwa wawili tu wamalize tofauti zao
Thanks Quote Reply
Report
Reactions:Stuxnet and Seth saint
[IMG alt="Stuxnet"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/37/37228.jpg?1571598149[/IMG]
Stuxnet
JF-Expert Member
13. Anasema Polisi wakimuua yeye yuko mwenzie Tavina, na wakiwaua wote ipo Gen Z
View: https://x.com/Sativa255/status/1834164149535793497?t=ppoJS1kU4O09SdilG4Chsw&s=19
Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Bubu Msemaovyo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/2/2872.jpg?1205240816[/IMG]
Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
Mara nyingi nikiangalia picha ya huyu mtu, kwa jicho la tatu, huyu ameanza kutafunwa na nafsi yake. Damu alizomwaga ni nyingi sana. Hana raha ya kipato anachopata, watoto wake wanalipiwa kwa fedha ya damu za watu masomo yao hayana baraka ya Mungu. Mkewe akivaa akadhani kapendeza ni mavazi ya damu za watu.
Muuaji wa kwanza tangu ulimwengu kuumbwa alikuwa Kaini.
Baada ya Kaini kumuua Abel, Kaini alichimba shimo akamfukia, damu ya Abel ikamlilia Mungu, Mungu akasikia kilio cha Abel. Mungu akamuita Kaini, naye akaitika Mungu akamuuliza yu wapi Abel ndugu yako? Kaini akamjibu ovyo sana Mungu eti kwani mimi ni mlinzi wake?
Majibu ya ovyo ya Kaini kwa Mungu ni dailies ya kufadhaika kwa nafsi ya Kaini. Ndivyo wauaji wanavyofadhaika. Mwisho wataanza kuelezea kwa watu kuhusu maovu waliyotenda na kamwe haitasaidia.
Kama anaweza kuepuka kutukana aache. Kutegemea Cyber Law imlinde ni upuuzi mtupu. Watu wengi kwa sasa wamejikatia tamaa wanajichukulia sheria mkononi.Cyber law zipo na adhabu zake.
Haya sawa mkuu,wachatataMafwele si lazima awe Mkerewe, anaweza kuwa Mukara ( Omlegi) Muzinza, Mujita, Mkwaya au Mruri. Hebu tuache kwanza WAKEREWE.
bwachatataHaya sawa mkuu,wachatata
Ndo maana wewe si Sativa, kuna watu wameumbwa hivo huwezi wabadilisha. Kuna mwingine akiingia tu rumande ya polisi hatamani kurudia kosa. Lakini wengine anaiba anafungwa akiwa gerezani anaendelea kuiba na akitoka anaiba na kurudishwa tena jelaKusema ukweli ningekuwa mimi ndiyo Sativa, sasa hivi ningekuwa nakesha kwenye nyumba za ibada hata ya matambo na bifu ningeachana nayo