SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Duuuh Mwanaume huyo lakini sasa itakuaje? Atasimulia kwenye kilichompata au ndio inabaki Siri yake maana tape wamebaki nayo kule akifanya fyoko dooh salaaale imevu

We mbwah unapenda sana kutetea ujinga... Ume miss kuliwa matakor
 
Kale ka tabia ka kutekana enzi za mwendazake zimerudi kidogo kidogo
... watu wasiojulikana wameanza kupewa nafasi again
 
Kale ka tabia ka kutekana enzi za mwendazake zimerudi kidogo kidogo
... watu wasiojulikana wameanza kupewa nafasi again
Unatukana ukitegemea nini Wewe Fala unaonyesha na Sura Wewe Maandazi ya Wapi?
 
Sasa kama ni mjinga huyo apelekwe mahakamani aadhibiwe sio atekwe??
However chat za lini sio waliomteka wanafanya parody?
Nenda X tafuta utaona sio unaumiza kichwa kathibitishe mwenyewe
 
Mkuu sio member wa Twitter mimi however sioni haja ya kwenda?? Akikosea mtu Twitter anatekwa?
Adabu anafundishwa adabu, mwanao mdokozi unampeleka kituo cha Polisi si unamtia fimbo 2/3 kumfunza adabu
 
Adabu anafundishwa adabu, mwanao mdokozi unampeleka kituo cha Polisi si unamtia fimbo 2/3 kumfunza adabu
Nafikiri huo utaratibu sio sawa kila mtu akiamua kufanya hivyo tutageuka kama somalia tuheshimu mamlaka za maamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…