Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wasiojulikana na death squads ni coordination ya uvccm ,polisi na TISS
Ushenzi Sana hii nchi
Peleka us*nge wako huko...Una hamu ya kupigwa ban
Yeah ongeza 17 lazima kichwa kifanye nziiiiiiiii unasikia HONI za Treni tu Muda woteCannabis sativa
Una hamu ya kupakwa?Peleka us*nge wako huko...
Punguza ujinga basi... Unalipwa nn
Joined 2023... We ni form oneUna hamu ya kupakwa?
Sio justification ya kutekwa na kufanyiwa huo unyama ,ni ushenzi wa serikali ya ccm na vibaka wao ,wanaojiita vyombo vya usalama kufanya vitendo vya kijambazi kama hivi na kuleta justification za kipuuzi kama hizi
Unataka kupakwa?Punguza ujinga basi... Unalipwa nn
Ndio ulivyofundishwa na wala Bange wenzio?Joined 2023... We ni form one
Form one F joined 2023Unataka kupakwa?
Form one... What is civics?Ndio ulivyofundishwa na wala Bange wenzio?
Bange zinakuendeshaForm one F joined 2023
Hizo ni BangeForm one... What is civics?
Joined in 2023.. AmateurBange zinakuendesha
Hata mimi nimewaza hiyo risasi ya kichwa halafu mtu bado anaongea vizuri tuDuuh Risasi ya Kichwa?
Jones in 2023... Baby classHizo ni Bange
Kama kosa ni kutukana ,sheria zipo na sio huo upuuzi wa kuteka na kuua watu .Ndio unatukana watu mtandaoni ukitegemea kwamba utachekewa kituo Cha Polisi? Unatukana ukitegemea unaenda chekelea mahakamani si ndio? Na Wewe nenda katukane upigwe msako wa Mbwa udakwe ujikute upo huko msitu ambao haujahi hata kufika