NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Naona kitengo limeanza kumkosanisha namba moja na raia!!
Yaani wanamuondolea uanademokrasia uliomtambulisha na kuja na identity nyingine ya udikteta!!
Mama kataa wahuni wanakuingiza mkenge kiaina ili ukose uhalali wa state kukuunga mkono!!
Yaani wanamuondolea uanademokrasia uliomtambulisha na kuja na identity nyingine ya udikteta!!
Mama kataa wahuni wanakuingiza mkenge kiaina ili ukose uhalali wa state kukuunga mkono!!