SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Basi jambo usilokuwa na reference nalo ni la kulikalia kimya, hivyo tu.
Wewe huna akili, mimi nikiweka matusi hapa kilamtu akija ataona nipo against Sativa na naungana na waliomteka hatujua tumeanzia wapi wakati mpishano wetu ulikuwa mdogo tu.....YOU CANT THINK THIS WAY.

Nimempa jamaa njia ya kufanya hat wewe unaweza kwenda kwenye page kusachi hayo matusi inatosha sio kulazimisha kunijengea agenda za kijingajinga hapa....USE YOUR BRAIN.
 
Walitaka aliwe na fisi hapo Katavi kusiwe na ushahidi. Katavi kuna fisi wengi mno, wanaotoka nje ya hifadhi kwa makundi mida ya jioni. Hivyo walijua wazi ataliwa na fisi msituni.

Amepona kwa miujiza sana huyu Jamaa, inasikitisha sana.
Ni wazi mbinu ya "Play dead" itakuwa imemsaidia, baada ya kupigwa risasi ni wazi alitulia, angeonyesha kupapalika wangempiga risasi nyingi zaidi.
Kiukweli inasikitisha sana.
Kama Lisu na school mate wangu Dokta Ulimboka.
 
View attachment 3027767
Edger Mwakalebela maarufu kama Sativa ambae anadaiwa kutekwa Dar es Salaam siku chache zilizopita amesema baada ya kutekwa alipelekwa kituo cha OysterBay.

Sativa ameyasema hayo wakati akiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe alipokuwa akipatiwa matibabu kabla ya kupelekwa hospital ya Rufaa Mkoa wa Katavi huku Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Martin Lohay akithibitisha kumpokea akiwa na majeraha.

Pia soma
Lakini Tz si Kisiwa cha amani?
 
Kama alipigwa risasi ya kichwa then ikaenda kidevuni ina maana hapo ni Mungu tu hakutaka jamaa aondoke(afe).

Ni kama ile hadithi kwenye Biblia ya "Shadraka, Meshaki, na Abednego,” waliotupiwa kwenye Chumba chenye Simba wakali wenye njaa ili waliwe wafe

Lakini Mungu muweza akawaokoa

Wakati wa Mungu ni wakati wa Mungu tu 🙏
Dah watu wasiojulikana wanalaumiana mida hii.
 
Mwananchi ampeleke Karakana ya Polisi Oesterbay hiyo Access mwananchi wa Kawaida anaitoa wapi??

Na bado asubuhi amchukue ampeleke Arusha ampeleke katavi pia akampige risasi???

Mwananchi wa Kawaida?? Really??
Atakuwa mwananchi anayemiliki kituo cha Polisi.

Hivi utaratibu ukoje kwa raia anayetaka kuwa na kituo chake binafsi cha Polisi?
 
Tukifa tutajibu nini kwa MUUMBA?.
Haya maisha ni zawadi tu tumepewa kwa kitambo kidogo.

Mambo ya dunia yasitufanye kusahau kuwa sisi ni kama ua huchanua na kupendeza ila mwisho hunyauka
20240627_190439.jpg
 
Kama alipigwa risasi ya kichwa then ikaenda kidevuni ina maana hapo ni Mungu tu hakutaka jamaa aondoke(afe).

Ni kama ile hadithi kwenye Biblia ya "Shadraka, Meshaki, na Abednego,” waliotupiwa kwenye Chumba chenye Simba wakali wenye njaa ili waliwe wafe

Lakini Mungu muweza akawaokoa

Wakati wa Mungu ni wakati wa Mungu tu 🙏
TUKANA UONE alafu onyesha Sura utatafutwa tu hata ujichimbie handaki ujifukie Chini watakufuata huko huko as long as Sura yako wanaijua
 
maelezo yake yanamwonyesha anamaumivu makali huwenda yakapelekea kutota picha kwa ufasaha au pengine waliomfanyia hayo(watu wenye hasira kali) wakawa wamemtisha na kumpa maelezo hayo ndio ayatoe kwa maslahi yao binafsi.
Mbona majibu yako ya ajabu sana?
 
Back
Top Bottom