Kesha sema alipelekwa oysterbay police akachukuliwa na watu wasiojulikana,,yaani mtu hata akwa na matatizo yake binafsi mnasema mkosoaji katekwa sasa dawa ya hii kitu ajitokeze hazarani aseme alikuwa wapi na aliambiwa nini huko ili tujuwe kama kweli alitekwa sababu ya ukosoaji bila hivyo huyo ni mharifu tu kama wahalifu wengine
Kumbe wewe nae ni bogus tu
Kumbe wewe nae ni bogus tu
Najiuliza tu maswali kama nipo salama katika nchi yangu?View attachment 3027885
Yaani tunaongea kwa hoja, halafu atokee mtu ANITUKANE.......!!!!!
Wakati tunawatetea WAOVU tusihamishe magoli, kila mtu ana kiwango cha ustahimilivu......... SASA HAPO NDUGU YENU "AMEKOSOA" au "AMETUKANA"??????
Ifike mahali tuonyooshe kidole cha haki..........
Kumbe ndio maana wanataka kufungia X ( formerly known as twitter)Nguvu ya wana-X (twitter) imeonekana
Najiuliza tu maswali kama nipo salama katika nchi yangu?
Naomba nikubaliane na wewe hapo juu kua wote tunaona kuwa hii post alie tukana kakosea.
Haya hapo juu kuna mchangiaji katoa taarifa kuwa jamaa alipelekwa police right?
Swali langu ukienda police kufunguliwa mashtaka lazima utoke kwa dhamana otherwise umepelekwa mahakamani then utaandikiwa maelezo yanayo husiana na kesi yako Kisha utaendelea na suala la kisheria,
Mambo muhimu yanayo hitajika katika dhamana ni taarifa za mzamini, mtuhumiwa etc so who did that?
Haya akati wenzake wameanza kumtafuta walitoa taarifa police walijibiwa nini? Inamaana taarifa za jamaa hazikuwepo kwenye vyombo vya usalama?
Kuna alie juu ya katiba/sheria ? Kwani ni Sawa mtuhumiwa kwenda kupewa adhabu nje ya mahakama?
Hujasoma vizuri ukaelewa nilicho andika, narudia tena kama alienda kwenye vyombo vya usalama wakaja hao wahuni unao sema why ndugu na ja maa walipo enda kutoa taarifa hawakupewa haya majibu yako?wapo "WAHUNI" wanaoweza kukuchukua na kukupeleka mahali fulani ili fikra zako zijiambatanishe kuwa watu hao ni wahusika wa hapo (kumbuka sehemu inayotajwa ni kwenye magari mabovu yaliyopata ajali) hata uende wapi umeshaona hao kuwa ni wahusika wa mahali husika
Hivi jamani hatujajua tu kuwa wapo MATAPELI kadhaa wanaojifanya WATUMISHI wa mahali tofauti .... na mtu akijaa ANAPIGWA PAREFU?
Hakika mkuuKumbe ndio maana wanataka kufungia X ( formerly known as twitter)
KAKA/DADAHujasoma vizuri ukaelewa nilicho andika, narudia tena kama alienda kwenye vyombo vya usalama wakaja hao wahuni unao sema why ndugu na ja maa walipo enda kutoa taarifa hawakupewa haya majibu yako?
If imetokea kwake wewe na mimi tuna usalama kiasi gani?
Ni KAKA nakujibu kistaarabu a hekima tu.KAKA/DADA
Huenda kweli sijasoma "vizuri" lakini nakukumbusha...... YEYE MWENYEWE ANAJUA KUWA HAKWENDA KITUO CHA POLISI
kuna KITUO CHA POLISI...... na kuna MAENEO YA KITUO CHA POLISI........
KAKA/DADA
Huenda kweli sijasoma "vizuri" lakini nakukumbusha...... YEYE MWENYEWE ANAJUA KUWA HAKWENDA KITUO CHA POLISI
kuna KITUO CHA POLISI...... na kuna MAENEO YA KITUO CHA POLISI........
@Sativa255
Inawezekana hamjui mhanga kabla ya siku ya tukioHiyo sauti anayehoji ni ded mpimbwe dc, naona amejitoa mhanga
I'm speechless