Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Bi Chura Kiziwi aliposema hajibu mtu mnafikir hakuwa na akili? Ule ulikuwa mtego maana anafinya kimya kimya.
Anajibu kwa vitendo, tutegemee watu kuanza kupotea na kukutwa kwa maiti kwenye sandarusi.
 
Constructive criticism ndio mpango mzima!!

System kama itaruhusu haya ita signal mawindo ya wao kwa kwa wao!!
Sequence and series ya matukio itafuata!
 
  • Thanks
Reactions: I M
Tuanze kupaza sauti sasa, hayo mambo yao ya kishamba ya kutekana kwanza ni uoga. Tusisubiri mpaka watu 10 wakapotea.

Anayeona hataki kusemwa na haongozi ipasavyo, aende akalee wajukuu. Hakuna anayemtaka kwanza atupishe chura kiziwi.
Dear Luv huogopiiii?
 
Wakuu Salama,

Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.

Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujiyolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.

Edgar anaishi Kimara kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.


Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.

Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.

Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila Bilà shaka ile kauli ya yule dogo wao inafanya kazi
 
Hapo wanapanga kumpelekw police kwanza kabla ya kumfikisha hospitali!
Unbelievable.
Wako sahihi mzee wangu, hosp zetu hawakutibu bila pf3. Hata ukimleta mgonjwa ukasema naenda kuleta pf3 ukirudi utamkuta mgonjwa wako yupo vile vile wakiona huruma sana labla wampe paracetamol
 
Back
Top Bottom