Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Pole nyingi kwake!!!
Btw usibishane na serikali!!!
 
Erythrocyte usimfanananishe na huyo mbubujikwa machozi Mwamala unaposoma.
Kwangu ukishakuwa chawa wa mtu yeyote nakuweka kundi moja na wapuuzi wengne ndio mana wao wote nawafananisha mana wote ni walamba mataco kwa watu wao
 
Karibuni tena chai Ikulu...
Wakitoka hapo na vibahasha vilivotumwa kwenye akaunti zao wanakuwa wapole wanasubiri mpaka ladha ya chai iishe mdomoni na pesa kuisha ndio waanze kupiga kelele tena.
 
Maisha ya mbongo kweli yana thamani ndogo sana
 
Wakitoka hapo na vibahasha vilivotumwa kwenye akaunti zao wanakuwa wapole wanasubiri mpaka ladha ya chai iishe mdomoni na pesa kuisha ndio waanze kupiga kelele tena.
Wahuni tu kama wahuni wengine🚶‍♂️🚶‍♂️hii inji akili kumkichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…