Chalii Wa Kipare
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 462
- 907
Nchi yetu sio salama tena kuishi kwa watu timamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
X huwa hatunaga kazi mbovu mkuu.Nguvu ya wana-X (twitter) imeonekana
Mtu anayekosoa serikali hawezi kufumaniwa?Huwa anaikosoa serikali kule X inakuwaje tena kafumaniwa na kupigwa?
Hakika mkuuX huwa hatunaga kazi mbovu mkuu.
Zinapinga lakini wenyewe ndio vinaraHalafu kuna mamlaka zinajinasibu zinapinga ushoga huku zikiuendeleza kwa vitendo. Walaaniwe wote wanaofanya huo uchafu.
Huwenda, maana kushikiliwa zaidi ya masaa 72 huwezi jua amefanyiwa nini na waliomshikiria. Siri anabaki nayo mhangaHawajamnanii kweli
Hawezi kusematayari huyo
Eti anamuuliza unawajua walio kuteka ili iweje kwa hali aliyokuwa nayo mgonjwa ?Hakika mkuu
Ndio maana wanatamani ifungiwe
Ivi kuna ulazima wa kuwafanyia hivyo wakiwakamata? Maana hata yule rapa wa Tanga aliepo marekani akusema ila si ajabu walimnanii.Unauliza makofi polisi
Kuna watu hawana utu mkuuEti anamuuliza unawajua walio kuteka ili iweje kwa hali aliyokuwa nayo mgonjwa ?
Roma kelele zote hajasema , huyo Mdude anakwepesha maneno mpaka leoHuwenda, maana kushikiliwa zaidi ya masaa 72 huwezi jua amefanyiwa nini na waliomshikiria. Siri anabaki nayo mhanga
Utu hauwezi kuwepo mbele ya tamaa mkuuKuna watu hawana utu mkuu