Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Nyie mlikuwa mnamsema JPM na sio ccm. Vp mmeanza kubadili kauli baada ya chai ya Ikulu na vibahasha kuisha?
Utakuwa mlevi wa dengerua wewe hayo ulinisikia wapi nikiyasema, ninachojua dhalim magufuli ndiye aliasisi huu ushenzi na serikali ya chama chake bado inaendeleza udhalim huo lini nilisema CCM wameacha udhalim.
 
Dah!mwamba kama maskhara vile
Tokea jumapili hadi leo ndo anaonekana tena akiwa kwenye hali ngumu ivo
Hakika mungu yupo,inshallah Mungu akamrudishie afya.
#kikubwa uhai
 
Utakuwa mlevi wa dengerua wewe hayo ulinisikia wapi nikiyasema, ninachojua dhalim magufuli ndiye aliasisi huu ushenzi na serikali ya chama chake bado inaendeleza udhalim huo lini nilisema CCM wameacha udhalim.
Kwahy awamu za nyuma ya JPM kulikuwa hakuna haya mambo?
 
Wakuu Salama,

Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.

Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.

Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.


Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.

Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.

Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
Samia ana uroho wa madaraka na kupenda kusifiwa kuliko alivyokuwa Magufuli
 
yaani mtu hata akwa na matatizo yake binafsi mnasema mkosoaji katekwa sasa dawa ya hii kitu ajitokeze hazarani aseme alikuwa wapi na aliambiwa nini huko ili tujuwe kama kweli alitekwa sababu ya ukosoaji bila hivyo huyo ni mharifu tu kama wahalifu wengine
Unadhani ni rahisi, mwakyembe walimng'oa meno kwa plaiz hapa, alipofikishwa afrika kusini kupata tiba, akasema akirudi atasema yote atawataja woote, kiko wapi alirudi na akapoa, sijui yuko wapi siku hizi
 
Unadhani ni rahisi, mwakyembe walimng'oa meno kwa plaiz hapa, alipofikishwa afrika kusini kupata tiba, akasema akirudi atasema yote atawataja woote, kiko wapi alirudi na akapoa, sijui yuko wapi siku hizi
Kumbe mwakyembe alinyofolewa meno?
 
Hivi mwanaume unawezaje kusimamisha dushe kwa mwanaume mwenzako?

Mimi naamini hao wanaofanya michezo hiyo wameshafirika sana sasa wanalipiza kwa innocent people.
Watu wameajiriwa kwa ajili ya hy kazi afu ww unakuja kusema ety wameshafirika? Hao n wazima kabisa ila wanawafanyia hvy mana n kazi yao, sasa siku utekwe ndio utajua vzr
 
Kumbe mwakyembe alinyofolewa meno?
Hii hauijui n kwa sababu enzi hizo Chadema walipewa kila wanachotaka na awamu ile ila ingekuwa n awamu ya JPM ambaye hakutaka upuuzi wao wangeongea mpaka watoto wako ambao hawajazaliwa wangejua
 
yaani mtu hata akwa na matatizo yake binafsi mnasema mkosoaji katekwa sasa dawa ya hii kitu ajitokeze hazarani aseme alikuwa wapi na aliambiwa nini huko ili tujuwe kama kweli alitekwa sababu ya ukosoaji bila hivyo huyo ni mharifu tu kama wahalifu wengine
Kmmyk..msng ww
 
Maiti kukutwa kwenye sandarusi ni handwork ya magufuli na yule nyamitako wake
Sawa, naona bado marehemu anaendeleza handwork yake 😂
Sasa mm nasema hv, hiyo mimba mliyopewa na JPM hamuwezi kujifungua kamwe na imeshapita miaka mitatu bado mna mimba yake.
 
Samia ana uroho wa madaraka na kupenda kusifiwa kuliko alivyokuwa Magufuli
Eh c mlikuwa mnamsifia na kusema JPM ndio shetani, vp tena mkuu mbona ghafla hvy mnabadili kauli 😂
 
Sawa, naona bado marehemu anaendeleza handwork yake 😂
Sasa mm nasema hv, hiyo mimba mliyopewa na JPM hamuwezi kujifungua kamwe na imeshapita miaka mitatu bado mna mimba yake.
We ulevi wa dengerua haujakutoka narudia tena kuwa udhalimu alioasisi magu bado unaendelezwa na serikali ya chama chake au humsikiagi chura kiziwi kauli mbiu yake kuwa kazi iendelee?
 
Back
Top Bottom