Sijakubali..nimesifiwa mi mzuri naachaje kushukuru?Tatizo umeubali mbele yake
Moyoni hujafurahia?...umeenda kwny kioo umejigeuza ukaangalia bunyanga lako...umefurahiiSijakubali..nimesifiwa mi mzuri naachaje kushukuru?
weka picha zao halisi kwanza tujue huo Upini umeupimaje...Leo nimeona niwapambanishe hawa warembo wawili! Hebu tiririkeni katika huu mpambano unahisi nani ni mkali yaan pini, kabarikiwa toka juu hadi chini, akipita sehemu vidume wote lazima wageuke!! Kura yangu itakua ya mwisho
Bila hata kioo najikubali. Ujue inaweza pita miaka kumi hakuna aliyekusifia. So ukisifiwa shukuruMoyoni hujafurahia?...umeenda kwny kioo umejigeuza ukaangalia bunyanga lako...umefurahii
Kwahiyo siku zote hizo unapita hapa nakuona mzigo unacheza vzr namna hiyo...ulikuwa hujasifiwa siku nyng?!Bila hata kioo najikubali. Ujue inaweza pita miaka kumi hakuna aliyekusifia. So ukisifiwa shukuru
Ndio..sasa kumbe unaniona navyojishebedua kila siku kwanini humwagi sifa? Vibaya hivoo..Kwahiyo siku zote hizo unapita hapa nakuona mzigo unacheza vzr namna hiyo...ulikuwa hujasifiwa siku nyng?!
Ndio..sasa kumbe unaniona navyojishebedua kila siku kwanini humwagi sifa? Vibaya hivoo..
Wewe tongozwa tuu bhanaa..Natongozwa mbele yako unacheka? Seriously???
Haya subiri nikipitaBaadae ukipita ntakuomba tukakae sehem nikumwagie sifa kila sehem
Duh kweli..kutongozwa nako bahati!Wewe tongozwa tuu bhanaa..
Msipotongozwa si ndio mnakuja mmu kulia..?
Picha zao zipo kwenye avatar zao.Weka picha
Wanawake wengi wenye akili za kichwani sura zao wanazipendega mama zao tu.