Wewe unachanganya Opereshen Desert Storm ya kumtoa Sadam Kuwaiti 1990Hahaha wacha uwongo Saud Arabia Air force pia walikuwepo, Australia, Netherlands nenda katazame fact sio unaropoka tu.
Kuna mkataba wa UK kuilinda Sultanate of Oman wewe unafikiri hayo Majambiya yao yanaweza kuwalinda?!🤣UK aliomba akampige Yemen akambiwa haruhusiwi kupita katika Oman airspace
Hio ya Pili ndio walikuwa wengi mpaa Ukraine na Korea walikuwepo US hana ubavu wa kupigana bila kusaidiwa.Wewe unachanganya Opereshen Desert Storm ya kumtoa Sadam Kuwaiti 1990
Hii ya juzi juzi kumtoa Saddam kwenye shimo na kumnyonga ilikuwa ni US na UK.
US UK Australia Poland 2003Hio ya Pili ndio walikuwa wengi mpaa Ukraine na Korea walikuwepo US hana ubavu wa kupigana bila kusaidiwa.
Hizo ni nyimbo tu hakuna kitu hicho leta dalili wapi Oman yuko chini ya ulinzi wa UK. Nacho fahamu Oman wako na urafiki na kila nchi hana uadui na jirani zake.Kuna mkataba wa UK kuilinda Sultanate of Oman wewe unafikiri hayo Majambiya yao yanaweza kuwalinda?!🤣
Sa umezidisha nchi kwanza ulisema mbili, watu wa Mirembe noma sana.US UK Australia Poland 2003
Wewe ndiye unayajua Maslahi ya hizo nchi kuliko wao wenyewe?Habari ndio hio Al Hourh wa Yemen wamepeleka majeshi yao Al Hudaida bada ya kusikia fununu Saud Arabia. UAE. USA na Israel wamejipanga kuishambulia Al Hudaida. Saud Arabia kisha jiandaa na ground forcei na Air force wao ndio watanza kushambulia pamoja na UAE, na kuna fununu pia USA na Israel wameisha peleka askari Sourh Yemen, ili wamsaidie Israel. Hali imekuwa tete huko Israel. Hizo nchi zinataka kuondoa majeshi ya Yemen ya Al Houth pale Red Sea, sababu wamejua kumkaba Israel kwenye koo pale Red Sea.
Mimi naona Saud Arabia na UAE wanataka kupotezwa na US itakula kwao. Israel hatawasaidia kabisa maishani kwao. Adui atabaki kuwa adui hata wimbo wao wa taifa la Israel unasema warabu ni madui zao. Vipi hawa Saud Arabia, UAE, Jordan, Egypt na Morocco wanawaona ni bora kuliko Hamasi na Hezbullah, ajabu sana hi dunia adui una muona rafiki na adui una muona rafiki.
Wewe ulisema ni Nchi 44 nikakwambia unachanganya Vita ya kumtoa Saddam Hussain Kuwaiti na Vita vya kumkamata na kumnyonga Saddam vya 2003.Sa umezidisha nchi kwanza ulisema mbili, watu wa Mirembe noma sana.
Swali lilikuwa lini US alipigana peke yake kawaida ya muongo anaruka huku na kule.Wewe ulisema ni Nchi 44 nikakwambia unachanganya Vita ya kumtoa Saddam Hussain Kuwaiti na Vita vya kumkamata na kumnyonga Saddam vya 2003.
Bado Ayatolah View attachment 3143286
Wewe kenge hao viongozi wa hizo nchi hakuna hata mwananchi wao atakubali wafanye ujinga huo, isipokuwa hawana jinsi wakilalamika wanacharaxza viboko au wanatupwa jela.Wewe ndiye unayajua Maslahi ya hizo nchi kuliko wao wenyewe?
Nilikwambia wanaopigana ni US na UK Australia ni Commonwealth ya UK.Swali lilikuwa lini US alipigana peke yake kawaida ya muongo anaruka huku na kule.
Yuko wapi New Zealand basi we kweli kichaa na Netherlands ni nani na yeye Commonwealth ya UKNilikwambia wanaopigana ni US na UK Australia ni Commonwealth ya UK.
Yuko wapi New Zealand basi we kweli kichaa na Netherlands ni nani na yeye Commonwealth ya UK
Na Waliomnyonga Saddam ni Waislamu wa Mazehebu ya Mashia
Ulisema US ndio walimtoa Sadam haukutaja nchi zingine hata Ukraine walingia Baghdad we bwege sana.Nilikwambia wanaopigana ni US na UK Australia ni Commonwealth ya UK.
Lakini sota tunajua Majeshi yaliyoingia Baghdad ni ya US.
Na Waliomnyonga Saddam ni Waislamu wa Mazehebu ya Mashia
Nipe Ushahidi wa Ukraine kuingia Baghdad.Ulisema US ndio walimtoa Sadam haukutaja nchi zingine hata Ukraine walingia Baghdad we bwege sana.
Uandishi mbovu kabisaHabari ndio hio Al Hourh wa Yemen wamepeleka majeshi yao Al Hudaida bada ya kusikia fununu Saud Arabia. UAE. USA na Israel wamejipanga kuishambulia Al Hudaida. Saud Arabia kisha jiandaa na ground forcei na Air force wao ndio watanza kushambulia pamoja na UAE, na kuna fununu pia USA na Israel wameisha peleka askari Sourh Yemen, ili wamsaidie Israel. Hali imekuwa tete huko Israel. Hizo nchi zinataka kuondoa majeshi ya Yemen ya Al Houth pale Red Sea, sababu wamejua kumkaba Israel kwenye koo pale Red Sea.
Mimi naona Saud Arabia na UAE wanataka kupotezwa na US itakula kwao. Israel hatawasaidia kabisa maishani kwao. Adui atabaki kuwa adui hata wimbo wao wa taifa la Israel unasema warabu ni madui zao. Vipi hawa Saud Arabia, UAE, Jordan, Egypt na Morocco wanawaona ni bora kuliko Hamasi na Hezbullah, ajabu sana hi dunia adui una muona rafiki na adui una muona rafiki.