Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka

Jiwe jeusi,limesimikwa kule maka,ona hapa video namna jiwe hilo linavyoabudiwa na waarabu
Hivi hii haina tofauti na ile wanayotunanga wakatoliki Sanamu la Bikira Maria au ndio nyani haoni......
 
Huo nao ni ushahidi hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Angekuwapo, angenipa maamuzi.

You are making my point. Without knowing it.
Kawaida unapenda higgidy piggidy tactics kumtoa mtu kwenye reli
 
Ilaumiwe RSA kwa kutokua na mipango mizuri ya kulinda uhai wa binadam, so primitive
 
Kawaida unapenda higgidy piggidy tactics kumtoa mtu kwenye reli
Reli ni kwamba Mungu hayupo.

Umejaribu kunitoa kwenye reli kwa kuniambia kuwa sina maamuzi kuhusu kifo.

Nakurudisha relini kwa kukuambia kuwa hata mimi kutokuwa na maamuzi kuhusu kifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, angekuwapo, angenipa uchaguzi.

Umeshindwa kujibu hoja, unamshambulia mtoa hoja.

Ad hominem attack, logical fallacy.

Tabia ya watu wasio na hoja.
 
R.i.P Classmates...[emoji26]
Uzuri mlikua mnamtafuta Allah...[emoji854]
Inabidi pia kuwe na jaribio la kutengeneza ile barafu artificial wanayotengeneza Dubai ili kuepuka heat kali.[emoji2415][emoji2414][emoji3509]
 
Nakurudisha relini kwa kukuambia kuwa hata mimi kutokuwa na maamuzi kuhusu kifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, angekuwapo, angenipa uchaguzi.
Hii ndio logical fallacy from Argumentum ad Ignorantiam point of view
If not P then not Q, because there is no P then, definitely there will be no Q

Umeshindwa kujibu hoja, unamshambulia mtoa hoja.

Ad hominem attack, logical fallacy.

Tabia ya watu wasio na hoja.
Sijakushambulia kwa sababu umesema hakuna mungu, I call you out sababu swali langu lilikuwa, kwa kuwa huamini mungu wala dini, je mazishi yako yataendeshwa kwa kufuata njia ipi, bear in mind labda una ndugu wakristo au waislamu,
Instead umezungaka na kuleta stori ya uwepo an kutokuwepo kwa mungu, mimi sikukuliza kuhusu uwepo au kutokuwepo kwa mungu.
 
Inahuzunisha watu kufa hivi bila wokovu, wanafia kwenye uabudu wa vitu vya ajabu.
 
Kama wenyewe wanaamini wanaenda peponi wewe kinachokuuma au kukuhuzunisha ni nini? Acheni watu waabudu kile wanachokiamini ni free World kila mtu ana haki ya kuabudu anachotaka
Ungekutana nao enzi za jihadi wakati wanaeneza dini uwaambie una haki ya kuabudu dini nyingine jambia lingekupitia ww. Una bahati umezaliwa kipindi hiki
 
Mungu akiangalia mambo tunayofanya anashangaa tu ww Tangu lini Sehem ya kuomba msamaha iwe saudia jamani hivi hizi akili Mungu alitupa za kuvukia barabara.Mungu atusamehe sana
Kwahiyo kwenda kuungama kwa mchungaji sjui paroko, askofu and the like halafu akuambie umesamehewa ndio sawa? Wakati yeye mwenyewe ana yake anapaswa atubu pia?
 
Hujathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Mimi nakwambia Mungu huyo hayupo, defining characteristics zake zinatengeneza internal contradiction.

Ukikataa hilo, umekataa logic yote, na hata hapo napo bado hujathibitisha Mungu yupo.

In fact, umekataa hoja zote za kuwapo Mungu zinazotumia logic.

Can you even get that through your head?

Kuhusu mazishi.

Nimekuuliza mazishi yangu wewe yanakuhusu nini?

Yani mazishi yangu, wewe yanakuhusu nini? Kwa nini hata unataka kujua yatakuwaje? Ni kitu gani kinakufanya ujisikie kuwa una haki ya kujua mipango yangu ya mazishi yangu?

Hujanijibu.

You are not important enough to me for me to disclose that to you.

That is a private matter for me to know and you to obsess about fruitlessly.

It is also a logical non sequitur fallacy as far as my main point regarding God not existing.

You are really boring me with your personal obsession, it feels like you are trolling me personally because you have no point to defend your positions, that is so shallow.
 
Babu wa Loliondo alifanikiwa ila mwendelezo hamna
Kuna sehemu niliwahi kusikia kuna chemchem ya maji ambayo yanaponya magonjwa sikumbuki ni maeneo ya kusini huko. Sasa ishu kama ile ilitakiwa nchi tuibebee kidedea tupige propaganda hilo eneo pajengewe vizuri patangazwe kitaifa na kimataifa utashangaa watalii lukuki wanamiminika. Sisi hatujakaa kijanja kabisa.
 
Kwahiyo kwenda kuungama kwa mchungaji sjui paroko, askofu and the like halafu akuambie umesamehewa ndio sawa? Wakati yeye mwenyewe ana yake anapaswa atubu pia?
Vyote viwili sio sawa ni ukosefu wa akili.
 
Kifo ni kifoo tu Haijalishi utafia wapi au Utafia nini cha msingi unatakiwa ufe huku ukiwa unamtafuta Muumba wako
 
PRIP wote waliotangulia mbele za haki.
Hivi Manaea na yule Chawa vile walienda haikuwa hija? Walienda hapohapo au kwingine?
I.ani, imani, imani, dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…