Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Kwa hio BRICKS waivunje?Ushirika kama huo uliwahi kuwepo miaka ya nyuma ukiitwa "Non Aligned Movement" lakini ulikuja kufa baadaye sawa tu na huu nao utakavyokufa.
Hayo mataifa ya Brics bado yanahitaji sana kufanya biashara na Marekani na marafiki zake na hawawezi kufanya bila kutumia dola.
This is just the way the countries opposed to the US hegemony are trying to use to overcome their own frustrations but just like the defunct Non Aligned Movement, it will survive just like a burning matchstick before perishing away.
Kwani male ho ys BRICKS ni kutokufanya biashara na NATO. Ni vizuri zaifi tungesoma malengo Ya BRICKS.
Hivi sisi goigoi tulieshindwa kila jambo tunaweza kuwabeza waliotuacha maili elfu?
Sisi tuwe waa galiaji tu pale wanaume wanapotunishiana misuli.
Niipongeze tu SA kuwepo kwenye waasisi wa jambo la kiume. Panya zimejificha ficha huko.