Unajuwa USA amekuwa anaendesha kambi zake 280 nje ya USAAtafirisika tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuwa USA amekuwa anaendesha kambi zake 280 nje ya USAAtafirisika tu
Akili zako banaAlitaka aitawale dunia na aiendeshe kama kwamba yeye ndiye aliyeiumba,
Kiwango cha juu cha kibri chake alitangaza New world order.Ni mwaka sasa imepotea masikioni mwa walimwenguj.
Endelea kuota mchanaHuwezi kuwa watchdog wa dunia, kila vita unaiingilia na kufadhili wadhalimu kwa maslahi yako binafsi, utafilisika na utapigwa tu!
Leo hii shoga marekani na washiriki wake wametangaza kustop kuisaidia Ukraine, means hali ya kiuchumi tayari chini, huko israel napo inalegalega, Afghanistan alipokea kichapo, Syria ameaibishwa, huku anapelekewa moto baharini na Houths. Piga marekani mbwa hao
Wenye akili wanalijua hilo,hawataingia kichwa kichwa.Biden iko kitu ndicho anachokitaka,lengo kuu ni kuivuruga dunia mpaka ikija kutulia america iwe imesimama hapa ilipo na zile zinazoikimbuza kwa kasi ziporomoke,vita za kimkakati hizi
Utawala wa Saudi Arabia na Utawala wa Mazayani ni kitu kimoja, wanapiga porojo tu.
Hawa Saudi Arabia si tumeambiwa ni marafiki na Israel na US!!Huku upepo tufani la Al Aqsa ukizidi kupiga kote kote.Saudi Arabia imeionya Marekani juu ya kihere here chake cha kuwatibua wapganji wa Houth kwenye bahari nyekundu.
Wakati huo huo taifa hilo mashuhuri kwa kusafirisha mafuta duniani limesisitiza juu ya haja ya kusitishwa vita vinavyoendelea Gaza mara moja.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vilivyonukuu onyo hilo,hofu ya Saudi Arabia ni kuwa kujiingiza kwenye vita hivyo kunaweza kukavisambaza vita vya Palestina na Israel kwa eneo lote la mashariki ya kati na kwa haraka sana.
Saudi Arabia inaelewa sana ushujaa wa wapiganaji wa Houth ambao wao hawakuweza kuumaliza kwa njia ya vita juu ya kumilika silaha kali dhidi yao.
Mara kadhaa droni za Houth na makombora mengine viliwahi kupiga maeneo muhimu ya kiuchumi ya Saudi Arabia pamoja na viwanja vya ndege vya kimataifa kitu ambacho hakikuzoeleka huko Saudi Arabia kwa miongo kadhaa.
Hatimae Saudi Arabia ilitiliana saini na watawala hao wa Yemen kusitisha vita na kurudisha udugu wao.
Exclusive-On edge over Red Sea attacks, Riyadh seeks to contain fall-out
Wewe unawaza kwa kutumia makalio au. Mtu asimame huku anapigana vita zisizo na kichwa wala miguu anasimama vipi?Biden iko kitu ndicho anachokitaka,lengo kuu ni kuivuruga dunia mpaka ikija kutulia america iwe imesimama hapa ilipo na zile zinazoikimbuza kwa kasi ziporomoke,vita za kimkakati hizi
Sijakuelewa kabisa.Waarabu wakiacha kumshobokea Mmarekani na nchi za Magharibi ndio siku Ubepari duniani utapata mtikisiko
Ubepari ni unyonyaji.Sijakuelewa kabisa.
Kinyume cha ubepari ni nini?
[emoji3][emoji3][emoji3]Sio ndoto .Marekani atapigwa na watu maskini na wala si mataifa makubwa kama Urusi na China.
Mapigo ya mataifa madogo ni kunyofoa nyofoa nyama za Marekani na kumuachia madonda.
Saudi Arabia ana nguvu za kubadili upepo kwenye bahari nyekundu.Akiamua anaweza akashirikiana na Iran
Saudia amempa onyo marekani asithubutuSaudi Arabia ana nguvu za kubadili upepo kwenye bahari nyekundu.Akiamua anaweza akashirikiana na Iran
Ila ndoto zako nzuri sana aiseeMarekani anazidi kuzongwa na uzito na matatizo aliyokuwa akijitwisha kwa miaka mingi.
Aliachia Afghanistan na Iraq akabeba ya Ukraine.Anatua ya Ukraine anabeba aya Israel nayo inaanza kumpwaya.
Titaona panapo vuja mda si mrefu. Mda kitu muhimu sana